chankele kigoma
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 199
- 121
Naoungana na hoja ya mjumbe aliye tangulia halo nyumakwa kuwataka TANESCO wamuongezee mtumiaji wa tarrif 4 units zifike 100 and if possible 150 ni bora zaidi Kwan ukiwa umeunganishwa na tarrif 4 kiukweli unakuwa mtumwa na mwisho kilasiku husababisha Migogoro nyumbani ktk matumizi ya umeme nyumbani yote hii ni kubana matumizi ya umeme
Kitu kingine naomba TANESCO wabadirishe mfumo MITA zote tiakazo tolewa kwa matumizi ya nyumbani zitolewe kwenye mfumo wa TARRIF 1 zisajiliwe kwenye TARRIF 4 Mona kwa moja hii itajichambua kutokana na matumizi ya mtu wenyewe yakizidi hizo UNITS automatically inampeleka kwenye TARRIF 1
Hii itasaidia kuokoa muda kwa wateja kupanga foleni pia kuombwa soda wakati wa napohitaji huduma hiyo
Mkifanya hivo mtakuwa mume wasaidia wengi kwani wapo wengi wanatumia TARRIF 1 hali yakuwa matumizi yao hata units 50 hazifiki ila hawajui lakufanya kwasababu mfumo huu umefanywa kama siri na wanao ufahamu niwachache tena unakuta wanao utumia ni wenye matumizi makubwa ndo wanaufaufaham mfumo huo.
Kitu kingine naomba TANESCO wabadirishe mfumo MITA zote tiakazo tolewa kwa matumizi ya nyumbani zitolewe kwenye mfumo wa TARRIF 1 zisajiliwe kwenye TARRIF 4 Mona kwa moja hii itajichambua kutokana na matumizi ya mtu wenyewe yakizidi hizo UNITS automatically inampeleka kwenye TARRIF 1
Hii itasaidia kuokoa muda kwa wateja kupanga foleni pia kuombwa soda wakati wa napohitaji huduma hiyo
Mkifanya hivo mtakuwa mume wasaidia wengi kwani wapo wengi wanatumia TARRIF 1 hali yakuwa matumizi yao hata units 50 hazifiki ila hawajui lakufanya kwasababu mfumo huu umefanywa kama siri na wanao ufahamu niwachache tena unakuta wanao utumia ni wenye matumizi makubwa ndo wanaufaufaham mfumo huo.