TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mpendw mteja wetu
Tunaomba taarifa zifuatazo
Jina
Namba ya simu
Na fidia ya eneo au kitu gani

TANESCO MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Waulize Tanesco Arusha watalujulisheni kuhusu madai ya fidia kwa wateja wake .ambao wamekuwa wakiwazungusha miaka miwili sasa .bila kuwalipa kwa madai nyie Tanesco makao makuu .Mkurugenzi ajasaini cheque

sasa Sijui ni Mkurugenzi amevunjika mikono mpaka apone ndio asaini yaani ni majibu ya kipuuzi sijapata kuona .embu muulize huyo mkurugenzi wako kama hajui kama kuna madai hapo ofisini kwake ya wateja Wa Arusha !!?

Shame on you Tanesco na haswa huyo mkurugenzi mkuu wenu
 
Kwaiyo nyie Tanesco mnachagua maswali ya kujibu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hata mimi nimewaza hivyo mkuu! Nimetangulia kuuliza swali kabla sijajibiwa lakini mtu amekuja kuuliza swali dakika chache baadae kajibiwa kwa haraka sana.


Kuna maswali TANESCO hawapendi kuulizwa nadhani
 
Tanesco nimelipia umeme mkoa wa Dsm, wilaya Ilala toka tarehe 10/7/2017 mpaka Leo sijafungiwa umeme tatizo nini
 
Mkoa wa Simiyu watoa elimu ya matumiz bora ya umeme na usalama katika shule za msingi Somanda A na B.

Afisa Uhusiano na Wateja mkoa wa Simiyu ndg Ben Kirumba aliongoza semina hio kwa wanafunzi
5ff7b5d953fa8ae4cc188e7167ba5a46.jpg
44e111f7e6ded039f024d062c3c5d406.jpg
87d13658cb970733fad05c32a8e965a9.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Waulize Tanesco Arusha watalujulisheni kuhusu madai ya fidia kwa wateja wake .ambao wamekuwa wakiwazungusha miaka miwili sasa .bila kuwalipa kwa madai nyie Tanesco makao makuu .Mkurugenzi ajasaini cheque .sasa Sijui ni Mkurugenzi amevunjika mikono mpaka apone ndio asaini yaani ni majibu ya kipuuzi sijapata kuona .embu muulize huyo mkurugenzi wako kama hajui kama kuna madai hapo ofisini kwake ya wateja Wa Arusha !!?? Shame on you Tanesco na haswa huyo mkurugenzi mkuu wenu
Majibu sahihi kutoka kwetu yatategemea na ushirikiano kutoka kwako mpendwa mteja kwani Mkoa wetu wa Arusha ni Mkubwa na unapokea taarifa kutoka kwa wateja tofauti tofauti hivyo umgetusaidia taarifa zaidi tukupatie ufafanuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani.nauliza utaratibu wakufunga mita za luku kwenye nyumba ya kupanga ili kila mpangaji awe na luku yake.
 
Jana nimenunu umeme saa tatu kupitia Tigo pesa hadi leo sijaupata! Unanisaidia vipi?
Shukrani.
 
Samahani.nauliza utaratibu wakufunga mita za luku kwenye nyumba ya kupanga ili kila mpangaji awe na luku yake.
Maombi yanafanyika ofisi ya TANESCO iliopo karib na wewe, kumbuka mtu ambae anaweza kuomba mita ya mpangaji ni mwenye nyumba hivyo basi mita ikifungwa haiwezi kuhama itabaki milele kwenye nyumba hio

Mita ya Tanesco haiwezi kuhama pindi mpangaji akitaka kuondoka atachoweza kuondoka nacho ni unit tu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Tunaomba namba yako ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa nipo dodoma.nimetoka kidogo kama 3 week ntakuwa nimerudi uko.fuateni maelekezo nilowapatia.nendeni apo bitale -Bweru jaribuni kuhoji raia pale mtapata majibu au nendeni jioni muone giza linavyotawala pale mana.utaanza safari
Mwandiga-umeme upo
Kiganza -umeme upo
Bweru - giza
Bitale-umeme upo
Mkongoro -umeme upo
Karinzi - umeme upo
Mkabogo - umeme upo
Naku endelea adi mpakani mwa tz na Burundi umeme upo.kwanini apa Bweru au ni siasa.eneo ilo semeni wananchi wajue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUKOSEKANA UMEME MKOA WA TEMEKE HUSUSAN ENEO LA MBAGALA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke linaomba radhi kwa Wateja wake kutokana na kukosekana kwa umeme kutokana na hitilafu kwenye laini ya kurasini mbagala

Mafundi wako kazini ili kurekebisha hitilafu Hiyo.

Maeneo yanayoathirika ni mbagala na baadhi ya maeneo ya yombo

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano na huduma kwa Wateja
TANESCO -Temeke

16 August, 2017

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Kwa sasa nipo dodoma.nimetoka kidogo kama 3 week ntakuwa nimerudi uko.fuateni maelekezo nilowapatia.nendeni apo bitale -Bweru jaribuni kuhoji raia pale mtapata majibu au nendeni jioni muone giza linavyotawala pale mana.utaanza safari
Mwandiga-umeme upo
Kiganza -umeme upo
Bweru - giza
Bitale-umeme upo
Mkongoro -umeme upo
Karinzi - umeme upo
Mkabogo - umeme upo
Naku endelea adi mpakani mwa tz na Burundi umeme upo.kwanini apa Bweru au ni siasa.eneo ilo semeni wananchi wajue

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaifuatilia mkuu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Aisee hata mimi nimewaza hivyo mkuu! Nimetangulia kuuliza swali kabla sijajibiwa lakini mtu amekuja kuuliza swali dakika chache baadae kajibiwa kwa haraka sana.


Kuna maswali TANESCO hawapendi kuulizwa nadhani
Hawa Tanesco ni wababaishajitu. Nimeuliza swali Mara ya kwanza sijapewa majibu. Nimerudia kuuliza mpaka sasa kimya.

My take. Jipangeni upya achani ubabaishaji waki ndezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkoa wa Ruvuma wazindua miradi ya REAIII
Tiikite kuyang'asha maisha yenu
4f5c91664bbfb6bc520217262508b8cf.jpg
03f40ff2eeb9428c977b86faa062879e.jpg
c302d7979ce8bcdbfa7232b55a034334.jpg
f0bc0a3ba95ab933d7285c4d8a4a6933.jpg
1ca6af38286e1e372d202c6da1983ef6.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Mkoa wa Simiyu waendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi Dami Bariadi
70f64efa08e3b682dab939cbc87ae845.jpg
ede752f8ed90e37b841b56303897f96e.jpg
9158c2bf09d9d6375fd0521d32ae85fa.jpg
6b4968455382f050f0a5bb13c59add70.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Back
Top Bottom