mbaga45
Member
- Feb 9, 2015
- 70
- 22
Powah powah.zimefika babuuu.sema me nipo chini uku kinaitwa Bweru. Tanesco wamegoma kutuwashia umeme na cc tunashindwa kkamata fulsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watawasha tu hapo mzee Kifisi tajiri wazamani wakina laban watasaidia kuboostPowah powah.zimefika babuuu.sema me nipo chini uku kinaitwa Bweru. Tanesco wamegoma kutuwashia umeme na cc tunashindwa kkamata fulsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waulize Tanesco Arusha watalujulisheni kuhusu madai ya fidia kwa wateja wake .ambao wamekuwa wakiwazungusha miaka miwili sasa .bila kuwalipa kwa madai nyie Tanesco makao makuu .Mkurugenzi ajasaini chequeMpendw mteja wetu
Tunaomba taarifa zifuatazo
Jina
Namba ya simu
Na fidia ya eneo au kitu gani
TANESCO MAKAO MAKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hata mimi nimewaza hivyo mkuu! Nimetangulia kuuliza swali kabla sijajibiwa lakini mtu amekuja kuuliza swali dakika chache baadae kajibiwa kwa haraka sana.
Majibu sahihi kutoka kwetu yatategemea na ushirikiano kutoka kwako mpendwa mteja kwani Mkoa wetu wa Arusha ni Mkubwa na unapokea taarifa kutoka kwa wateja tofauti tofauti hivyo umgetusaidia taarifa zaidi tukupatie ufafanuziWaulize Tanesco Arusha watalujulisheni kuhusu madai ya fidia kwa wateja wake .ambao wamekuwa wakiwazungusha miaka miwili sasa .bila kuwalipa kwa madai nyie Tanesco makao makuu .Mkurugenzi ajasaini cheque .sasa Sijui ni Mkurugenzi amevunjika mikono mpaka apone ndio asaini yaani ni majibu ya kipuuzi sijapata kuona .embu muulize huyo mkurugenzi wako kama hajui kama kuna madai hapo ofisini kwake ya wateja Wa Arusha !!?? Shame on you Tanesco na haswa huyo mkurugenzi mkuu wenu
Maombi yanafanyika ofisi ya TANESCO iliopo karib na wewe, kumbuka mtu ambae anaweza kuomba mita ya mpangaji ni mwenye nyumba hivyo basi mita ikifungwa haiwezi kuhama itabaki milele kwenye nyumba hioSamahani.nauliza utaratibu wakufunga mita za luku kwenye nyumba ya kupanga ili kila mpangaji awe na luku yake.
Kwa sasa nipo dodoma.nimetoka kidogo kama 3 week ntakuwa nimerudi uko.fuateni maelekezo nilowapatia.nendeni apo bitale -Bweru jaribuni kuhoji raia pale mtapata majibu au nendeni jioni muone giza linavyotawala pale mana.utaanza safari
Tunaifuatilia mkuuKwa sasa nipo dodoma.nimetoka kidogo kama 3 week ntakuwa nimerudi uko.fuateni maelekezo nilowapatia.nendeni apo bitale -Bweru jaribuni kuhoji raia pale mtapata majibu au nendeni jioni muone giza linavyotawala pale mana.utaanza safari
Mwandiga-umeme upo
Kiganza -umeme upo
Bweru - giza
Bitale-umeme upo
Mkongoro -umeme upo
Karinzi - umeme upo
Mkabogo - umeme upo
Naku endelea adi mpakani mwa tz na Burundi umeme upo.kwanini apa Bweru au ni siasa.eneo ilo semeni wananchi wajue
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Tanesco ni wababaishajitu. Nimeuliza swali Mara ya kwanza sijapewa majibu. Nimerudia kuuliza mpaka sasa kimya.Aisee hata mimi nimewaza hivyo mkuu! Nimetangulia kuuliza swali kabla sijajibiwa lakini mtu amekuja kuuliza swali dakika chache baadae kajibiwa kwa haraka sana.
Kuna maswali TANESCO hawapendi kuulizwa nadhani
Nimekutumia Massage.. PM angalia Tafadhali...Tunaomba mita namba yko na kiasi ambacho uliochununua
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Massage....Nimekutumia Massage.. PM angalia Tafadhali...