*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO*
*TAARIFA YA UBIRESHAJI WA MIUNDOMBINU MKOA WA TABORA*
Shirika la umeme Tanzania Tanesco mkoa wa Tabora, linapenda kuwataarifu wateja wake wote wa wilaya ya Nzega kuwa kutakuwa na kazi ya uboreshaji wa miundombinu yaTanesco meeneo ya Uchama siku ya jumamosi ya tarehe 16/09/2017.
*MUDA* Kuanzia saa 2:00 asubuhi_12:00 jioni.
*MAENEO YATAKAYOATHIRIKA*
Nzega mjini, Honge, Itilo, Utwigu, Mwanhala, Mwambaha, Ngukumo, Nkiniziwa, Busondo, Puge na Ndala, Itobo, Bukene, Mbutu, Mambali na Ishihimulwa.
*TAHADHARI*Tafadhali usiguse, usikanyage wala usishike waya uliokatika maana ni hatari kwako.
*MAWASILIANO* Piga dawati la dharura:
0788 684535, 0786 558 810,
KITUO CHA MIITO MAKAO MAKUU: 0222194400/0768 985 100
*TOVUTI*
www.tanesco.co.tz
*TANESCO INAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA*
*IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO HUDUMA KWA WATEJA TANESCO MKOA WA TABORA.*
[15/09, 21:58] Vesso: SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA UMEME LAINI YA KIBARA 66KV SIKU YA JUMATATU NA ALHAMISI TAREHE 18 & 21 SEPT 2017 KUANZIA SAA 01:30 ASUBUHI HADI SAA 12:30 JIONI.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Mara Wilaya ya Bunda linawataarifu wateja wake kuwa njia ya umeme ya msongo wa kilovolti 66 Bunda Kibara itazimwa ili kupisha matengenezo siku ya JUMATATU NA ALHAMISI 18 & 21 Septemba 2017, kuanzia Saa 07:30 Asubuhi hadi Saa 12:30 Jioni ili boresha hali ya upatikanaji wa umeme.
SABABU: Kubadilisha nguzo 18 zilizooza.
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Kisiwa cha Ukerewe, Kibara, Sikiro, Kabirizi, Gege, Namalebe, Nakatuba, Masahinga, Bulendabufe, Mchigondo, Igundu, Chitengule, Busambara, Makwa, Mwitende.
UONGOZI UNAPENDA KUOMBA RADHI KWA USUMBUFU UTAKAOJITOKEZA, MAFUNDI WETU WATAKUWEPO KAZINI WAKIFANYA MAREKEBISHO KUHAKIKISHA MAENEO YOTE YANAPATA UMEME PINDI KAZI ITAKAPOKAMILIKA.
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kudondoka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu nawe.
Wasiliana nasi kupitia namba za simu zifuatazo: -
Kituo cha Miito ya Simu 2194400 na 0768 985100
Kitengo cha dharura Wilaya ya Bunda
0282621225/0683408068/0758531068
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja
TANESCO-MARA.
15/09/2017
[15/09, 22:15] Samuel Mandari: SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
(TANESCO)
TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEME MKOA WA KILIMANJARO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kilimanjaro
kuwa kutakuwa na katizo la umeme kupisha zoezi la ukataji miti kwenye njia kuu za umeme na maboresho ya miundo mbinu.
Katizo la umeme litakuwa kama ifuatavyo:
16.09.2017 .Jumamosi
Kuanzia saa 02:00 asubuhi mpaka 11:00 jioni.
MAENEO YATAKAYOTHIRIKA
-Manispaa ya Moshi:-
NI.Kiborilon, KDC, Mbokomu, Old Moshi Tela, Majengo Ngangamfumuni na Rau Sabasaba,
-Wilayani Mwanga:- Kagongo,National nyabinda, Lang'ata, Kiti cha Mungu, Handeni, Bunge bora, na ustawi wa jamii.
17.09.2017
Jumapili Kuanzia saa 02:00 asubuhi mpaka 11:00 jioni.
MAENEO YATAKAYOTHIRIKA NI.
-Wilaya ya Mwanga :-
Kagongo, National nyabinda, Lang'ata, Kiti cha Mungu, Handeni, Bunge bora, na ustawi wa jamii.
Kwa dharura yoyote wasiliana na dawati.la dharura Mkoa wa Kilimanjaro kwa simu namba 0272755007/ 0272755008/0682771310/0765397925
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
Imetolewa na:
Ofisi ya Afisa uhusiano na huduma kwa wateja- TANESCO KILIMANJARO
15/09/2017
[15/09, 22:16] Robert Mbavai: SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA UMEME MKOA WA KAGERA.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kagera linawataarifu baadhi ya wateja wake wa Mkoa wa Kagera kuwa kutakuwa na katizo la Umeme tarehe 16.9.2017 muda wa saa 02:00 asubuhi hadi 11:00 jioni.
SABABU; kubadili Miundombinu chakavu na kukata miti iliyo karibu na laini.
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Kibeta Busisi,Rwamishenye,kagondo,kyamzinga yote,yabugabo,kaifo,karuguru,Kyakairabwa,mugana,maeneo yote ya Kanyingo,maeneo yote ya Kashasha,Bugandika,Ruzinga na Kitobo.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo:
Dawati la dharura Mkoa wa Kagera : 0785 787898/0753 120701.
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti:
www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano na huduma kwa Wateja
TANESCO -Kagera
14.09.2017
TANESCO
MAKAO MAKUU
HUDUMA KWA WATEJA
Kituo cha miito:0768985100 AU 022 2194400
Barua pepe:customer.service@tanesco.co.tz
Tovuti:
www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.twiter.com/tanescoyetu
www.facebook.com/tanescoyetu