TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Dungu mteja token zako ni: 38102842227586130917
 
Mmmhhh namba naogopa kwa kuwa huyu mtu ni hatari sana ila ninachiweza kuwasaidia nitawaelekeza na mtafika hapo.
1.Kiwanda kilipo;mbele ya frem za Maduka ya serikari ya mtaa wa ndumbwi kata ya mbezi juu.
2.kiwanda kipo mkono wa kulia ukiwa unatokea kanisa katoriki mt dominical
3.waya ulipopita ukiwa unazingalia hizo frame kuna frem ya 13 kama sikosei kuna mtu anauza kitimoto karibu na hapo kuna bar ya Felix sasa basi kabla ujafika kwenye hiyo hapo wanapotengeneza kitimoto kuna nguzo ya umeme sasa kutoka hapo ndio wamechimbia waya chini umevuka barabara kwenda kwenye hicho kiwanda. Cha kuwasaidia zaidi nitawatafutia namba ya mtu aliyehusika kupitisha huo waya ,mmiliki mwenye kiwanda .pia nitakutumia barua ya malakamiko kutoka kwa wamiliki wa maduka .nipeni muda.
Tunaomba namba zako mpendwa mteja wetu
 
tarehe 07/11/17<br />muda : 15:10 alasiri<br />kiasi : 10000<br />namba : 0687237985<br />mita : 22124473921<br /><br /> namba token sijapokea
3810 2842 2275 8613 0917
 
Toka juzi usiku umeme kwangu umekatika na inaonekana tatizo lipo kwenye nguzo au waya za kuja kwenye Luku nipo Morogoro ,Changalawe jirani na Mzumbe University na nimeripoti juzi usiku nikapewa namba 0389 mpaka leo siku ya pili imeisha Tanesco hamjaja kila nikiulizia naambiwa wanakuja sasa sijui hiyo ni Emergency au ni after emergency mnakera sanaaaaa.....bora tuwe hata na Mashirika binafsi lbd tutaheshimiana....... Tooo much sijui
 
Toka juzi usiku umeme kwangu umekatika na inaonekana tatizo lipo kwenye nguzo au waya za kuja kwenye Luku nipo Morogoro ,Changalawe jirani na Mzumbe University na nimeripoti juzi usiku nikapewa namba 0389 mpaka leo siku ya pili imeisha Tanesco hamjaja kila nikiulizia naambiwa wanakuja sasa sijui hiyo ni Emergency au ni after emergency mnakera sanaaaaa.....bora tuwe hata na Mashirika binafsi lbd tutaheshimiana....... Tooo much sijui
Tumeipokea mpendwa mteja kwa hatua zaidi
 
Nimeomba kuvutiwa umeme kwenye nyumba yangu mpya kigamboni lakini mpaka leo nazungushwa.

Nimejaza form mara mbili na mata mbili zote wamenilipisha pesa za watu kwenda ku ona site na nina amini hizo pesa ni rushwa na mpaka leo sijavutiwa umeme wakati hata jirani yangu ana umeme ninasikitika sana. Imefikia mahala naona bora niweke umeme wa solar.
 
Nafikiri kuna sababu nyingi za kuwaangalia vizuri hawa wanaopokea simu kutoka kwa wateja na wale wanaokutana na wateja moja kwa moja either kwa kuwaongezea mafunzo ya huduma kwa wateja au kuwakumbusha wajibu wao mara kwa mara maana na wao ni binadamu coz inafika wakati wanaiona kama tanesco ni mali yao binafsi.

Jitahidini sana mimi nilimepata shida sana week iliyopita nimelala giza siku tano bila sababu ya msingi na kila nikipiga huduma kwa wateja mbezi dah aisee ilinibidi nionyeshe rangi yangu halisi ndipo nilipata huduma haraka sasa najiuliza je kwa wenzangu na mimi sijui inakuaje.

Alafu niliuliza swali sikujibiwa ila kwa kuwa nilikua bize sikutaka kufuatilia, sikuwahi kupeleka malalamiko ya kuhusu mita ya luku niliyonayo na haikuwahi haribika lakini walikuja kuitoa na kufunga mita nyingine kisa ile mita ilikua na units nyingi alikua anakaa staff sasa najiuliza huo ndio utaratibu?

Na je hiyo mita inaenda fungwa wapi? Maana yake inaenda fungwa illegal au inabadirishiwa location na kulikua na sababu gani za kuitoa mita yote badala ya kufuta units tu? Mna utaratibu mpya siku hizi au?
 
Nafikiri kuna sababu nyingi za kuwaangalia vizuri hawa wanaopokea simu kutoka kwa wateja na wale wanaokutana na wateja moja kwa moja either kwa kuwaongezea mafunzo ya huduma kwa wateja au kuwakumbusha wajibu wao mara kwa mara maana na wao ni binadamu coz inafika wakati wanaiona kama tanesco ni mali yao binafsi. Jitahidini sana mimi nilimepata shida sana week iliyopita nimelala giza siku tano bila sababu ya msingi na kila nikipiga huduma kwa wateja mbezi dah aisee ilinibidi nionyeshe rangi yangu halisi ndipo nilipata huduma haraka sasa najiuliza je kwa wenzangu na mimi sijui inakuaje. Alafu niliuliza swali sikujibiwa ila kwa kuwa nilikua bize sikutaka kufuatilia, sikuwahi kupeleka malalamiko ya kuhusu mita ya luku niliyonayo na haikuwahi haribika lakini walikuja kuitoa na kufunga mita nyingine kisa ile mita ilikua na units nyingi alikua anakaa staff sasa najiuliza huo ndio utaratibu? Na je hiyo mita inaenda fungwa wapi? Maana yake inaenda fungwa illegal au inabadirishiwa location na kulikua na sababu gani za kuitoa mita yote badala ya kufuta units tu? Mna utaratibu mpya siku hizi au?
Tunaomba taarufa kamilia ya unacholalamikia
Mkoa
Wilaya
Eneo
Mita namba
Tatizo
Namba ya simu
 
Nimeomba umeme

Nimeomba kuvutiwa umeme kwenye nyumba yangu mpya kigamboni lakini mpaka leo nazungushwa. Nimejaza form mara mbili na mata mbili zote wamenilipisha pesa za watu kwenda ku ona site na nina amini hizo pesa ni rushwa na mpaka leo sijavutiwa umeme wakati hata jirani yangu ana umeme ninasikitika sana. Imefikia mahala naona bora niweke umeme wa solar.
Ulivyolipa ulipewa stakabadhi yaani receipt? Ulimpa nani namba yako ya simu na jina uliloombea
 
Nguzo zikiwa 5 njia moja bei yake ni sh ngapi?
Tafadhali chukua fomu ya maombi ya umeme kisha tutapima na kukupa gharama ya makadirio kwa kuwa ni lazima gharama zote stahiki zibainishwe mara baada ya kufamya survey
 
Ndugu mteja Nguzo tano ni mradi, kwa maelezo zaidi tunaomba ufike Ofisi ya TANESCO iliyo karibu.
 
Hata tukiwatumia hamna msaada malizeni kwanza shida zenu na mkiwa teari kushirikiana na wana nchi ndo muombe mviombavyo ila kwa sasa huu ni upuuzi mtupu
 
Mbona ardhi ya wananchi wa same mjini mliochukua hamtulipi? Kilimo na ujnzi vyote vimesimama.
 
Mbona ardhi ya wananchi wa same mjini mliochukua hamtulipi? Kilimo na ujnzi vyote vimesimama.
Ndugu mpendwa mteja
Kwa swala lako tafadhali fika ofisi ya Wilaya ya Same kwa maelezo zaidi au tupayie taarifa za jina, eneo, namba ya simu, unachodai kisha tutawasiliana na wewe
 
Back
Top Bottom