TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Habari wakuu,


Nadhani inafahamika kuwa kulikuwa na utaratibu wakukatwa deni kwa wateja tuliokuwa tuna maden ya Umeme,yaan ukinunua umeme wa 20000 unakatwa 10000 kama deni then unapewa umeme wa 10000.

Ila siku hizi hali imebadilika yan wanakwambia ulipe kiasi Fulani kikubwa cna pesa kulipa deni then ndo utoe tena pesa nyingine ununue umeme dah!Mfano hapa ninapoishi wamepewa shart la kulipa 90000 kila mwezi kama malipo ya deni then ndo ununue umeme!

Tanesco mtatuua jaman hali mbaya sn.

Tafadhalini turudishien utaratabu wa zamani.
 
Nenda ofisi ya tanesco ambayo inawahudumia, onana na meneja au andika barua kwa meneja ukiomba muwekewe utaratibu wa kulipa nusu kila mnaponunua umeme. Kwamba mkatwe nusu ya pesa kila mara mnaponunua umeme.

Mwambie hamna uwezo wa kulipia hiyo fixed amount kila mwezi ila hiyo ya kulipia nusu ni ahueni na afadhali kwako.

Ila kama hilo deni linatokana na wizi wa umeme na sio madeni ya zamani ya kushindwa kulipa bili hakuna namna, lazima ulipe kwa utaratibu huo waliokuwekea sasa.

Hivyo ndivyo navyojua, ila kwa maelezo zaidi fika ofisini kwao.
 
Nimenunua umeme leo tarehe 12/12 /2017
Saa 7;36 pm
Mbaka muda 20:44 sijapata token Voda imethibitisha umetuma imetumwa kwa LUKU 2 ~TANESCO
Kiasi sh 10,000

Mita no 24219180114

Sim 0754 569799
Dar ~bubju
NAMBA ZA MADAWATI YA DHARURA -TANESCO DAR ES SALAAM

ILALA-CITY CENTRE

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

WILAYA YA TABATA

0684 001068/ 0715 768589

WILAYA YA GONGO LA MBOTO

0688001071/ 0715768584

WILAYA YA VIWANDA/TAZARA

0684001066/ 0715768587

WILAYA YA YOMBO

0783360411/0765654767

MKOA WA KINONDONI KUSINI/MAGOMENI

0784271461/ 0715271461

WILAYA YA KIMARA

0788379696/ 0717379696

MKOA WA KINONDONI KASIKAZINI/MIKOCHENI

0784 768584/ 0716 768584

WILAYA YA MBEZI BEACH

0658 768583/ 0713 768581

WILAYA YA TEGETA

0658 768584/ 0717 650 878

MKOA WA TEMEKE/KURASINI

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

WILAYA YA KIGAMBONI

0788499014/ 0736501661

WILAYA YA MBAGALA

0714 073 588

KITUO CHA MIITO YA SIMU/CALL CENTRE

0768 985 100/0222194400

MITANDAO YA KIJAMII

Facebook: Like
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter:Follow
www.twitter.com/tanescoyetu

Webiste
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Nimenunua umeme leo tarehe 12/12 /2017
Saa 7;36 pm
Mbaka muda 20:44 sijapata token Voda imethibitisha umetuma imetumwa kwa LUKU 2 ~TANESCO
Kiasi sh 10,000

Mita no 24219180114

Sim 0754 569799
Dar ~bubju
Tunakuangalizia umeme wako mkuu
 
Tar...4/12/2017 nilinunua umeme kupitia nmb mobile meter no...07068234553 umeme Wa sh 7000 token sikupata nilijaribu tena kununua mpesa umeme Wa 2000 tuu token nilipata baada ya kupita mda mrefu Leo nikanunua tena kwa kutumia mpesa umeme Wa 5000 nashangaaa napata units 12 wakati awali nilikuwa napata units 41.9 kwa 5000/= ndiyo nauliza kwanini nitolewe kwenye tariff niliyokuwepo ilikhali token za sh elf7 hadi sasa sijazipata na pesa ilikatwa kwenye akaunti?
Umezidi kiwango cha wastani wa manunuzi wa unit 75 kwa mwezi hivyo umewekwa kwende kundi la matumizi yako
 
Sasa hii biashara gani
Pesa kwenye akaunt mnakomba
Token amleti au ndio mnatushangisha pesa kinguvu za kubomolea jengo lenu
Leo ninalala giza kwa uzembe wenu mnilipe fidia.
NAMBA ZA MADAWATI YA DHARURA -TANESCO DAR ES SALAAM

ILALA-CITY CENTRE

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

WILAYA YA TABATA

0684 001068/ 0715 768589

WILAYA YA GONGO LA MBOTO

0688001071/ 0715768584

WILAYA YA VIWANDA/TAZARA

0684001066/ 0715768587

WILAYA YA YOMBO

0783360411/0765654767

MKOA WA KINONDONI KUSINI/MAGOMENI

0784271461/ 0715271461

WILAYA YA KIMARA

0788379696/ 0717379696

MKOA WA KINONDONI KASIKAZINI/MIKOCHENI

0784 768584/ 0716 768584

WILAYA YA MBEZI BEACH

0658 768583/ 0713 768581

WILAYA YA TEGETA

0658 768584/ 0717 650 878

MKOA WA TEMEKE/KURASINI

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

WILAYA YA KIGAMBONI

0788499014/ 0736501661

WILAYA YA MBAGALA

0714 073 588

KITUO CHA MIITO YA SIMU/CALL CENTRE

0768 985 100/0222194400

MITANDAO YA KIJAMII

Facebook: Like
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter:Follow
www.twitter.com/tanescoyetu

Webiste
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Sasa hii biashara gani
Pesa kwenye akaunt mnakomba
Token amleti au ndio mnatushangisha pesa kinguvu za kubomolea jengo lenu
Leo ninalala giza kwa uzembe wenu mnilipe fidia.
Tarehe uliyonunua
Kiasi
Namba ya simu
Namba ya mita
Tunaomba hizo taarifa mpendwa mteja
 
Habari wakuu,


Nadhani inafahamika kuwa kulikuwa na utaratibu wakukatwa deni kwa wateja tuliokuwa tuna maden ya Umeme,yaan ukinunua umeme wa 20000 unakatwa 10000 kama deni then unapewa umeme wa 10000.

Ila siku hizi hali imebadilika yan wanakwambia ulipe kiasi Fulani kikubwa cna pesa kulipa deni then ndo utoe tena pesa nyingine ununue umeme dah!Mfano hapa ninapoishi wamepewa shart la kulipa 90000 kila mwezi kama malipo ya deni then ndo ununue umeme!

Tanesco mtatuua jaman hali mbaya sn.

Tafadhalini turudishien utaratabu wa zamani.
Ndugu mpendwa mteja
Hii inategemea na kiasi cha deni unalodaiwa mfano unadaiwa 20m halafu unanunua umeme wa 5000 kwe mwezi itakuchukua miaka mingapi kumaliza hivyo lazima tukiongezee kiasi cha kulipa
 
Umezidi kiwango cha wastani wa manunuzi wa unit 75 kwa mwezi hivyo umewekwa kwende kundi la matumizi yako
Kuhusu token za sh elfu saba nilizonunua ambazo sijazipata hadi sasa zilizopelekea haya yote ya kupandishwa tariff inakuwaje au ndio pesa yangu imepotea
 
Kuhusu token za sh elfu saba nilizonunua ambazo sijazipata hadi sasa zilizopelekea haya yote ya kupandishwa tariff inakuwaje au ndio pesa yangu imepotea
Tunaomba namba yako ya mita na ya simu tukuambie manunuzi yako kwa kuwa mtu habadilishwi kwa matumizi ya mwezi mmoja
 
Tar..4/12/2017 nilinunua umeme kupitia nmb mobile tsh. 7000/= sikupata token baada ya kukaa mda mrefu bila kupata SMS ya token ilinibidi ninunue umeme mwingine kupitia mpesa tsh. 2000/= nikapata token nilitegemea ile token ya nmb mobile ningeipata baada ya system kukaa sawa Leo nimejaribu kununua umeme mwingine Wa tsh 5000/= kupitia mpesa nimepata token lakini nimepata units tofauti na mwanzo kwani nipo kwenye matumizi madogo tokea mwaka 2015 meter number 07068234553. Sasa hapo mtanisaidieje nirudi kwenye matumizi madogo kama mwanzo?

Maana nimekaa kama week bila kupata token ya mwanzo ndiyo nikaamua kununua umeme tena namba ya Simu 0762393783
 
Asanteni TANESCO kwa kuwa karibu na wateja, Naelewa kuwa matatizo mengine ni nje ya uwezo wenu ila wateja hatuelewi hilo.

Mimi swali langu ni kuwa nimefungiwa Tarrif 1 badala ya Tarrif4 kama sijakosea herufi, ni fanyaje wanipeleke kwa wateja wanaotumia Umeme wa unit chini ya 75, na ni kiasi gani gharama?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Mnakata umeme Arusha upande mmoja kila siku mchsna na usiku, lakini upande mwinginw unawaka kila siku maanake ni nini.

Arusha mianzini, sekei, sakin huko umeme upo kila kukicha ila ngulelo, moshono, njiro, stand kubwa mpka kwa morombo huko umeme hamna kila kukicha mnakata mna sababu 1 tu
 
Jaman tanesco kwanin wilaya ya mbarali mkoa wa mbeya huwa mnakatakata umeme? Imekua kero kwenye mioyo ya wanambarali,please wekeni mambo sawa
 
Habar wakuu,<br /><br />Kwa masikitiko makubwa napenda niwaombe TANESCO waje watoe kila kilicho chao majumbani mwetu ili tujue moja.<br /><br />Wameanzisha utaratibu wa ajabu kwa wateja wanaodaiwa madeni. Mwanzo walikuwa wanatukata madeni kupitia mfumo wa Luku, yaani tunanunua umeme tunapewa nusu ya pesa tulionunua umeme. Tukinunua umeme wa 10000 tunakatwa 5000 tunapewa umeme wa 5000<br /><br />Chaajabu hivi sasa hawataki tena tulipe kwa mfumo huo! Yaani wanataka ulipe kiasi kikubwa cha pesa, mfano nyumbani wametuambia tunatakiwa kulipa Tsh. 85000 kila mwezi halafu ndo turuhusiwe kununua umeme! Tusipotoa hiyo hela hatupati umeme!<br />[emoji24]<br /><br />Hili haliwezekani hata kidogo, umeme tunaotumia kwa mwezi ni wa 10000. Je tutawezaje kumudu hiyo 85000 kila mwezi?<br /><br /><br />TANESCO Tuoneeni huruma jamanii vyuma vimekaza. Leo ni siku ya NNE tupo kizani.
 
Habar wakuu,<br /><br />Kwa masikitiko makubwa napenda niwaombe TANESCO waje watoe kila kilicho chao majumbani mwetu ili tujue moja.<br /><br />Wameanzisha utaratibu wa ajabu kwa wateja wanaodaiwa madeni. Mwanzo walikuwa wanatukata madeni kupitia mfumo wa Luku, yaani tunanunua umeme tunapewa nusu ya pesa tulionunua umeme. Tukinunua umeme wa 10000 tunakatwa 5000 tunapewa umeme wa 5000<br /><br />Chaajabu hivi sasa hawataki tena tulipe kwa mfumo huo! Yaani wanataka ulipe kiasi kikubwa cha pesa, mfano nyumbani wametuambia tunatakiwa kulipa Tsh. 85000 kila mwezi halafu ndo turuhusiwe kununua umeme! Tusipotoa hiyo hela hatupati umeme!<br />[emoji24]<br /><br />Hili haliwezekani hata kidogo, umeme tunaotumia kwa mwezi ni wa 10000. Je tutawezaje kumudu hiyo 85000 kila mwezi?<br /><br /><br />TANESCO Tuoneeni huruma jamanii vyuma vimekaza. Leo ni siku ya NNE tupo kizani.
Hii inategemea na kiasi cha deni ulilonalo mfano unadai 10m kwa mwezi unanunua umeme wa 5000 itakuchukua miaka mingapi kumaliza deni
 
Back
Top Bottom