charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,992
Jamani nipeni namba za Waziri Mbarawa, maana TANESCO mmezidisha maskhara hivi mwez wa tatu huu unaenda hamniwekei umeme lakini mna nini nyie? Nimechoka kuja ofisini kwenu kwakweli mnanikwaza! Basi nirudishie pesa zangu niweke solar,nguzo moja tu inawashinda kuniwekea hapo Kimara??? ingekua kijijini je?