TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #3,621
Habari,
Eneo Toangoma, kisarawe 2, somangile na kimbiji wanakosa umeme kutokana na laini kubwa kuangukiwa na mnazi jana kutokana na upepo..
Eneo la vikunai, kota za nssf na kibada wateja wanakosa umeme kwa sababu nguzo imekata.
Kazi zote hizi zinafanyika pamoja kuhakikisha huduma inarejea kwa wakati.
Poleni kwa usumbufu unajitokeza kwa wakazi wa Kigamboni.
*TANESCO tunaomba radhi*
Eneo Toangoma, kisarawe 2, somangile na kimbiji wanakosa umeme kutokana na laini kubwa kuangukiwa na mnazi jana kutokana na upepo..
Eneo la vikunai, kota za nssf na kibada wateja wanakosa umeme kwa sababu nguzo imekata.
Kazi zote hizi zinafanyika pamoja kuhakikisha huduma inarejea kwa wakati.
Poleni kwa usumbufu unajitokeza kwa wakazi wa Kigamboni.
*TANESCO tunaomba radhi*