SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUTOKEA HITILAFU KWENYE LAINI YA ILALA KURASINI
Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Temeke inapenda kuwajulisha wateja wa mkoa huo kuwa kumetokea hitilafu kwenye laini ya kurasini kufuatia tatizo la under frequency
Mafundi wako kwenye eneo la Tukio kurekebisha hali hiyo
MAENEO YANAYOATHIRIKA:
kurasini,malawi cargo,transcargo, gate no 3, nhif, unifreight, trh,baraza la maaskofu,uhamiaji, baadhi ya maeneo ya Mbagalana maeneo ya jirani.
Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Dawati la Dharura Temeke: 0712052720, 0758880155, 0732997361
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.