FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Zile nyimbo na ngonjera za 'miundo mbinu chakavu' zimeshachuja na hazina mashiko tena katika zama hizi za Magufuli. Sina shaka Kigamboni ndio inayoongoza kwa ukatikaji wa umeme hovyo hovyo katika jiji la Dar, kwa wiki umeme unakatika mara tatu hadi nne kutegemea na siku hiyo wameamkaje; shida ni nini, mbona ni Kigamboni tu? Nani awajibishwe?