johnsonfrank
Member
- Oct 23, 2018
- 19
- 4
Wadau nimelipia umeme tar 11/9/2018 mpk tar 23/10/2018 nilitimiza siku 30 lakni nimefuatilia na simu nimepiga sana lakini hawajakuja kuniunganishia.
Naombeni ushauri jinsi ya kufanya kwa hawa TANESCO.
Naombeni ushauri jinsi ya kufanya kwa hawa TANESCO.