TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
NAOMBA KUWAULIZA TANESCO

MLIKUWA NA NIA YA KUTWAAA ARDHI ENEO LA MSALATO DODOMA KWA AJILI YA KUJENGA SUB-STATION NA TADHMINI ILISHAFANYIKA MWAKA JANA LAKINI HADI SASA MPO KIMYA NA WANANCHI WENYE MAENEO WANALALAMIKA.

MASWALI
1. JE NIA YA KUTWAA ARDHI HUSIKA BADO IPO?

2. KAMA IPO, KWA NINI MPO KIMYA HADI SASA?

3. JE HAMUONI YA KUWA UKIMYA WENU UNAWEZA KUIBUA SINTOFAHAMU KATI YA TANESCO NA WANANCH


AHSANTENI.
Tunaomba namba yako ya simu kwa ufatiliaji na hatua zaidi
 
Inawezeana upata statement yangu ya manunuzi ya luku kwa kipindi cha mwaka?
 
Hili la kutolipia nguzo limekaaje, Morogoro tunatozwa nguzo kwa madai kuwa ni mradi
 
Hakika ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuona umeme ukikatika/kukatwa mara mara pasipo taarifa zozote za awali.

Hivi nyinyi TANESCO mnafeli wapi hasa,je kuna mgao wa UMEME wa kimyakimya siku hizi.Maana limekuwa jambo la kwawaida sana siku hizi kushndisha watu kwenye GIZA pasipo sababu zozote zile za msingi.
Nadhani ni wakati sasa muwajibike kwa huu uzembe ambao mmekuwa mkituonyesha,kwa mfano jioni mmekata UMEME karibia KIMARA nzima,lengo lenu hasa nini?.

Kwa mwendo huu kweli viwanda na TANZANIA ya viwanda tutaifanikisha kweli?.

Hebu muwe serious na makini kati utendaji wenu,msitufanye WaTanzania wajinga kwa kukata UMEME bila TAARIFA na pale mnapojisikia ili hali watu wanabishara,viwanda na shughuli zinazotegemea UMEME kwa kiasi kikubwa.
 
Huko TANESCO kumejaa vilaza na wapigaji kwa kwenda mbele. Pamoja na viongozi wa juu kujinadi kila uchwao kuwa kukatika kwa umeme sasa ni historia... Bado umeme unakatwa kila siku na hakuna taarifa zinazotolewa. Shirika la umma la hovyo kabisa!.
 
Weee jamaa ulinisababia BAN siku 3 nyuma Yani una Mambo ya kiboya sana kila kitu unatetea hata Kuna uozo unafanyika unakera sana
Mwenyewe nahisi nitakula ban muda sio mrefu huyu mwanamke ni matayo sana
 
Ikishazidi nguzo mbili inakuwa mradi hivyo haiupaswi kulipia bali kusubiri huduma ya umeme ikaribie eneo lako kupitia miradi yetu
Nashukuru sana na umenijibu vizuri sana na nimekuelewa ndugu Tanesco, je km hilo eneo halimo kwenye mradi na Tanesco\REA hawana mpango wa kunifikishia umeme kwenye eneo hilo linalo hitaji nguzo 11 , na tayari umeniambia kuwa ikizid nguzo mbili huo unajulikana km mradi nifanyeje ili nipatiwe huduma ya umeme?
 
Huku niliko umeme haueleweki unakatika katika hovyo.

Kwa taarifa, Mbeya na Morogoro hakuna umeme sijui mikoa mingine mingine.
 
Back
Top Bottom