TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tangu xmas mwaka jana sina umeme...nmewafuata mpaka ofisin na documents mkasema et akaunt moja tunatumia watu wawili....nkaambiwa baada ya siku 2 mita itafunguliwa

Siku ya tatu leo kimya...!!mnatutakia nini lakini nyie??

Mita nov43021829478

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hilo suala kuwa "awatume watu kutoka dar waje kuonana na wewe kwa ajili ya suala hilo"

dalili za kichwa uanza pole pole
Yani nyie TANESCO mmenishangaza sana nimetoa malalamiko yng kuhusu tatizo la umeme Liwale lkn kuna wafanyakazi wenu wanatoa kauli ambazo kwa tafsiri yake ni km wanatutishia sisi wananchi yn inaonesha kwamba tusiwe tunatoa kero zetu bali tuwe tunawasifia tu kuna mfanyakazi wenu alinipigia simu anasema natoa habari za uongo kwamba Liwale hakuna tatzo la umeme wakati ukweli halisi kuna tatizo kubwa la umeme huyo jamaa namba zake ni 0782 546 024 badala ya kufanya uchunguzi yeye analazimisha kwmb umeme upo Liwale na wananchi wanasifia kwmb umeme haukatiki katiki wakati ukweli ni kwamba umeme uku Liwale haueleweki isitoshe yeye anaishi Dar hajui chochote kuhusu Liwale na kinachonishangaza zaidi anataka kutuma watu wake tukutane nyumbani kwng kana kwmb mm ndo mwenye shida ya umeme peke angu ilihali tatizo ni la Liwale nzima ss badala ya kusolve hii changamoto inageuka uhasama baina ya shirika na sisi walipa kodi tunaomba watumishi TANESCO mtusaidie cc wananchi na co kututishia kwn hz kero tunapozitoa tunazielekeza kwa shirika na co mtu binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo ndani ya mita mita 30 utajengewa ndani ya siku 30 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi na kama ni ndani ya mita 30 hadi 70 utajengewa ndani ya siku 60 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nini sababu ya tofauti hii ya muda wa kusubiri hata kama tumelipia siku moja?
 
ELIMIKA NA TANESCO
IMG_20200119_120641_805.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco Token ya LUKU nimenunu kwa Njia ya M-Pesa, ninapoja kwenye Remote ya Mita hazisomi kabisa.
Token No: 32299143136337163220
Namba ya Mita 54183997508
 
Tanesco nimerudi tena mwaka wa 2019 nao umepinduka sasa tuko 2020 , naomba kuwakumbusha tena juu ya ahadi yenu ya kushughulikia suala la kutupatia umeme wa REA maana ni karibia miaka mitatu imepita nahaidiwa kuwa tutapatiwa umeme wa REA hivyo natumai huu ndo mwaka wa mwisho kupewa ahadi bali mnakuja kutekeleza mwaka huu. Nitafurahi kusikia kutoka kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manager Tanesco Kanda ya Kilimanjaro naona kazi imekushinda sana.Line ya umeme katika Kijiji cha Lyamungo sinde ipo chini kiasi ambacho hata mtoto wa chekechea anaweza kugusa nyaya hizo akiwa amesimama.Sijajua tatizo ni nn kwani hadi leo kuna nguzo zimelala takribani miaka 4 bila marekebisho yeyote yale.Mnatia aibu mno na kinachofuata ni kuwasiliana na Waziri mwenye dhamana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manager Tanesco Kanda ya Kilimanjaro naona kazi imekushinda sana.Line ya umeme katika Kijiji cha Lyamungo sinde ipo chini kiasi ambacho hata mtoto wa chekechea anaweza kugusa nyaya hizo akiwa amesimama.Sijajua tatizo ni nn kwani hadi leo kuna nguzo zimelala takribani miaka 4 bila marekebisho yeyote yale.Mnatia aibu mno na kinachofuata ni kuwasiliana na Waziri mwenye dhamana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kule Kata ya karansi iliyopo wilaya ya siha ni siku ya tano Sasa hakuna umeme kata nzima na hakuna sababu ya msingi iliyojulikana hadi Sasa.wananchi wanateseka tu na huduma zakijamii zimesimama bila maelezo kutoka Tanesco.
Ni shida kubwa.
 
TANESCO kama mmefanya mabadiriko kiutendaji basi hongera sana kwa menejimenti yote kutoka juu.
Ndugu yangu alilipia umeme tarehe 26.12.2019 shs 560kl kwa ajili ya nguzo moja na kuunganishiwa.

Kutokana na taarifa zenu ilipaswa afungiwe umeme mwezi wa pili katikati ila juzi kafungiwa ikiwa ni ndani ya mwezi mmoja.

Kutokana na comments nyingi humu jamvini zikionyesha malalamiko kwake hii anasema ni MUUJIZA 😲.

Hongera kwa mh. JPM kuondoa vurugu mechi na timbwili zilizokuwepo huko nyuma.
 
TANESCO kuna tatizo katika Kijiji cha mang'ula wilaya ya kilombero.morogoro umeme hukatika gafla kwa bahadhi ya mita kisha kurudi baada ya dakika moja kwa zaidi ya mara 7 hadi 10 kwa siku
 
Hivi nianzie kwa balozi, Police, wakili au nirudi kutoa tena taarifa dawati la dharula kwani huu ni mwezi wa tatu familia nne tumeripoti na hakuna hatua iliyochukuliwa na mvua hizi nguzo ndio inazidi kulala na inatishia uhai na mali zetu, nyumba nayo inazidi kupasuka ...ndugu zanguni naomba ushauri muafaka nanyie Tanesco mnapenda kuwa kijiweni au mnatubeep wateja wenu?
 

Attachments

  • 1579778534776-1151993000.jpg
    1579778534776-1151993000.jpg
    230.7 KB · Views: 2
  • 1579778593815301964766.jpg
    1579778593815301964766.jpg
    163.1 KB · Views: 2
  • 15797786849281192345020.jpg
    15797786849281192345020.jpg
    113 KB · Views: 2
TANESCO nini shida? imekuwa kama mchezo wa kuigiza sasa,hujafanya kile,umeme umezimika hujafanya kile,umeme umezimika ni nini tatizo?Kama kuna shida genuine tuambieni basi,sisi ni wananchi wenzenu, tutawaelewa,mkikaa kimya na huku mnatu-bore na kutukwamisha katika mambo yetu hatuwaelewi,be serious guys.

Sasa hivi ninapo-post hii post umeme hakuna.Au ni yale yale ya kujaribu kumfanya mkulu aonekane si chochote si lolote in style?Mkitumbuliwa tunaomba msilalamike jamani.It's too much.Wengine tume invest hela kwenye miradi ya umeme,sasa hii on and off inatufanya tusifaidi investments zetu.Kama mambo ni hivi sasa,sijui SGR ikija itakuaje.

Lastly,nimepeleka ombi la kuwekewa luku kwenye nyumba ya mpangaji wangu tangu mwaka wa jana June 2019,na mpaka leo almost Februari 2020, sijapata huduma.Halafu hata mawasiliano kuwa tatizo ni nini hakuna.Nimejaribu kuwasiliana na Meneja na hata ile ofisi ambayo niliambiwa nipeleke form yangu ya maombi ya huduma but all in vain.Sijui shida ni nini.
 
Kule Kata ya karansi iliyopo wilaya ya siha ni siku ya tano Sasa hakuna umeme kata nzima na hakuna sababu ya msingi iliyojulikana hadi Sasa.wananchi wanateseka tu na huduma zakijamii zimesimama bila maelezo kutoka Tanesco.
Ni shida kubwa.
TANESCO ni kero jamani,mm.
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Asante kwa namba,ila hazitusaidii sana.Hao jamaa wakishajua kwamba una grievance outstanding hawapokei simu yako,shida tupu.
 
Back
Top Bottom