lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Nawashukuru kwa kunijibu na kunipa maelekezo .Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetu
Je umeshapatiwa huduma? Kama bado tusaidie namba yako ya simu
Kuhusu kutakiwa ufike mwenyewe huu ndio utaratibu nchi nzima kwani mteja anapoenda mara ya kwanza mwenye inatusaidia kupata taarifa zake kamili pia inasaidia kuzuia watu wasiowaaminifu kulaghai wateja ( yametokea mara kadhaa) hivyo mteja anawajibika kufika ofisini mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijapata huduma leo hii nimepiga simu na bado jibu lilikuwa lile lile
No yangu ni 0754 695296