Habari..
Alhamisi usiku nyaya zilipiga shoti, kesho yake wakaja watu wa service wakatoa waya na kuondoka huku wakisema watarudi kesho..
Mpaka leo hii hawajarudi na hatuna huduma ya umeme, tumewasiliana na huduma kwa wateja zaidi ya mara 10, wakaishia kutupa namba ya supervisor 0655989935, huyu mtu ukipiga simu hapokei kabisa, na ukituma meseji unakuwa umefanya kosa, anakuweka blacklist..
Hivyo tangu alhamisi hatuna umeme..
Chanika mwisho, gogo kwa ndevu mbili...
0765 050591..
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..