Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 680
- 421
Tanesco mfanye kazi kwa kuzingatia miiko ya kazi zenu.Sio kwa hizi zima washa,zima washa Kama Kuna mtoto mdogo anachezea. Kabla atujaanza kuwachoma kwa wenye mamlaka. Mnatukera sana, hata taarifa hamtoi Kama hamjui kazi yenu, au mnataka serikali iwasaidie.Hakuna haja ya kuuliza ni wapi,kwa mkipita na hicho Kigali chenu cha emergence service hamuoni giza au Kama ni mchana hamuoni ukimwa, mpaka mpigiwe simu japo mnapita pale pale. Nendeni na wakati.