TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
TANESCO ni kweli mna tabia ya kukopa Unit kwa wateja wa luku? Yaani eti kwa mfano ni kinunua Unit 14 zikiisha mnaanza kuniwekea deni ili siku nikiweka mnikate? Na imekaaje wakati sio makubaliano na mteja,

Iko hivi nimenunua umeme wa 10k nikapewa Unit kama kawaida,ila baadaeye nmeingiza umeme zikaingia Unit chache na token ilivyosomeka,Kwanini mnafanya hvyo? Hamuoni huu ni wizi wa aina yake..
 
Ndugu zangu Tanesco inachukua muda gani kubadilishiwa mita ya LUKU baada ya kupripoti ikiwa mita ya awali imeharibika/imeshindwa kufanya kazi?
 
Ndugu zangu Tanesco inachukua muda gani kubadilishiwa mita ya LUKU baada ya kupripoti ikiwa mita ya awali imeharibika/imeshindwa kufanya kazi?
Tafadhali tusaidie

Namba ya mita

Wilaya

Namba ya taarifa

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

TANESCO Makao Makuu
 
Tafadhali tusaidie

Namba ya mita

Wilaya

Namba ya taarifa

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

TANESCO Makao Makuu
Nyie tanesco sijui nini mnataka nyumba iunguee ama tupigwe shoti tangu 2019 tunawaletea malalamiko muje muinue waya zenu zipo chini yaani ukinyoosha mkono tyu unazifikiaa mbaya zaidi zimepita kwenye nyumba yangu kiasi kwamba ni hatari kwa mazingiraaa ila mnapotezeaaa mnashidaa gani nyie majamaa
 
Nyie tanesco sijui nini mnataka nyumba iunguee ama tupigwe shoti tangu 2019 tunawaletea malalamiko muje muinue waya zenu zipo chini yaani ukinyoosha mkono tyu unazifikiaa mbaya zaidi zimepita kwenye nyumba yangu kiasi kwamba ni hatari kwa mazingiraaa ila mnapotezeaaa mnashidaa gani nyie majamaa
Tafadhali tusaidie taarifa hizo hapo juu tukuhudumie
 
Habari za kazi. Nimejenga nyumba manzese, ina wapangaji wanne kila mmoja anajitegemea. Sasa nimeomba meter nne za umeme TANESCO Magomeni. Nimepatiwa mbilik tu hizo nyingine naona mda mrefu nafuatilia. Nimejibiwa kuwa haiwezekani nyumba moja kuwa na meter nne. Swali langu meter separation haipo tena TANESCO? Maana muhudum kanijibu kama namkera kidogo. Kwa sababu appartment ukiweka meter moja nyumba kubwa unakosa wateja wanaotaka kutumia kila mtu meter yake ili ku even gharama ya umeme.
 
Habari za kazi. Nimejenga nyumba manzese, ina wapangaji wanne kila mmoja anajitegemea. Sasa nimeomba meter nne za umeme TANESCO Magomeni. Nimepatiwa mbilik tu hizo nyingine naona mda mrefu nafuatilia. Nimejibiwa kuwa haiwezekani nyumba moja kuwa na meter nne. Swali langu meter separation haipo tena TANESCO? Maana muhudum kanijibu kama namkera kidogo. Kwa sababu appartment ukiweka meter moja nyumba kubwa unakosa wateja wanaotaka kutumia kila mtu meter yake ili ku even gharama ya umeme.
Ili kuwa na mita zaidi ya moja lazima tujiridhishe kuwa mita ya sasa imefikia matumizi yanayotulazimu kuwa na mita nyingine, kama ni kwa ajili ya usimamizi wa wapangaji wako unadhauriwa kufunga mifaa maalumu vya kusoma matumizi yao na sio kuongeza mita nyingine.

Ahsante sana
 
Tafadhali tusaidie taarifa hizo hapo juu tukuhudumie
Salaaam!
Mimi naishi Shinyanga mjini, maeneo ya Ushirika, karibu na shule ya msingi ya Ushirika, kuelekea Magereza. Imekuwa ni kawaida maeneo yetu kukatika umeme mara kwa mara, maeneo yetu haya. Tunatoa taarifa sehemu husika, lakini kuja kurekebisha, zinaweza kupita hata siku mbili.
Cha kushangaza, maeneo haya, kwa mwezi umeme unakatika, hata mara tatu. Hivi, mmekosa njia ya kulimaliza hili tatizo? Kule Tanesco, sina shaka kile kitabu cha taarifa, zimejaa taarifa zetu.
Niandikapo taarifa hii, toka jana mchana hatuna umeme, na taarifa tuliitoa, lakini hatujapata msaada.
 
Tafadhali onesha namba ya simu kwa hatua zaidi
 
Ukishalipia kuunganishiwa umeme kama hapahitaji nguzo inachukua siku ngapi
 
Ukishalipia kuunganishiwa umeme kama hapahitaji nguzo inachukua siku ngapi
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ndugu Mhe. Makamba (W)

Nawasilisha malalamiko ya utendaji wa mashaka wa chombo hiki kilicho chini ya mamlaka yako, wanqnchi tunateseka tunahitaji umeme lkn chombo hiki utendaji wake ni wa kusua sua

Mtu anawasilisha maombi ya umeme lkn inachukua karibu Mwezi mzima Surveyor kufika ktk site ya muombaji , ukiuliza wana kwambia tuna shughulikia ...hii lugha ya tuna shughulikia imezidi sana. Hapo bado kuna. Kusubiria kuletewa umemw mwenyewe sasa ambapo napo ni mtihani mkubwa mnooo.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Jina : Abdallah Bakari Mohamed
Eneo: Mbezi msumi ( Tegeta A)
Wilaya; Ubungo
Simu: 0767106090
Tatizo: Imenichukua miezi miwili kasoro kupata control namba, baada ya kupata control namba nimeambiwa nikalipie kisha nikaambiwa nisirudi tena mpaka nitakopigiwa simu lakin sijaambiwa inachukua muda gani mpaka kupigiwa simu. Eneo langu halihitaji nguzo
 
Jina : Abdallah Bakari Mohamed
Eneo: Mbezi msumi ( Tegeta A)
Wilaya; Ubungo
Simu: 0767106090
Tatizo: Imenichukua miezi miwili kasoro kupata control namba, baada ya kupata control namba nimeambiwa nikalipie kisha nikaambiwa nisirudi tena mpaka nitakopigiwa simu lakin sijaambiwa inachukua muda gani mpaka kupigiwa simu. Eneo langu halihitaji nguzo
Malipo.yako yamepokewa tarehe 8/10/2021 tuneyapokea kwa hatua zaidi
 
Back
Top Bottom