Msemaji_
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 602
- 801
Mm nipo mkoa wa songwe wilaya ya mbozi kata ya mlowo nimepimiwa na surveyor tokea mwezi wa sita lkn mpka Leo sijafungiwa umeme nikiuliza wanadai nguzo ni chacheDodoma Emergency
Mobile 026 232 1728
Home 0782 161 643
Work +255 734 173 368
Tumeamua kujiunganisha/ kujikusanya wananchi wanne tulio teyar kwa maombi ili tushare nguzo yaan kila mmoja nguzo mbili mbili tokea kwenye chanzo lkn wapi
Shida ni nn Jman mbona mnatutesa wapiga kura