TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Dar sahivi mgao wa Maji na umeme umepungua. Hawana kiteteo.
 
Schedule mantainance na maandalizi ya kuuza umeme nje ya nchi, ili nchi yetu iendelee kufunguka zaidi kuwa mvumilivu hali itakaa sawa.

Mwendazake kaondoka na yake.
 
Nimeamini enzi za upigaji zimerudi

Jana hapa Mara umeme umekata saa 12 asubuhi umerudi saa sita usiku

Saa tatu usiku miji ilikuwa giza la hatari ikipigwa tafu na mbalamwezi, na Makamba yupo ofisini nchi haina umeme

Mvua zinanyesha lakini tunashangaa huu mgawo unatoka wapi?

Inyeshe isinyeshe mgawo, enzi za upigaji zimerudi nimeamini, mbona kipindi cha JPM haya madudu hayakuwepo?

Nchi hii tuna safari ndefu sana zaidi ya karne 5

Itakuwa miundo mbinu tu! Nina miezi 5 toka nije Dar hakuna siku umeme umekata zaidi ya nusu saa Na sio zaidi ya Mara 5
 
Itakuwa miundo mbinu tu! Nina miezi 5 toka nije Dar hakuna siku umeme umekata zaidi ya nusu saa Na sio zaidi ya Mara 5
Upo Dar sehemu gani hiyo mkuu ambayo umeme haujakatika for more than 30 minutes kwa muda wa miezi mitano?
 
Nadhani TANESCO kunatatizo kubwa kuliko tunalo ambiwa.

Nahisi kuna vitu vinafanyika kuandaa mazingira kukubaliwa kwa umeme wa dharura.

Hakuna sababu ya kuwa na tatizo la umeme kiasi hiki wakati miaka 5 iliyopita tulisahau habari hizi.

Sababu zinazo tolewa haziishi

1. Mitambo chakavu
2. Mito kukauka
3. Data za uongo
 
Nadhani TANESCO kunatatizo kubwa kuliko tunalo ambiwa.

Nahisi kuna vitu vinafanyika kuandaa mazingira kukubaliwa kwa umeme wa dharura.

Hakuna sababu ya kuwa na tatizo la umeme kiasi hiki wakati miaka 5 iliyopita tulisahau habari hizi.

Sababu zinazo tolewa haziishi

1. Mitambo chakavu
2. Mito kukauka
3. Data za uongo
Tafadhali onesha ni eneo gani, Wilaya na namba ya simu kwa ufatiliaji na hatua zaidi

Zingatia

Inapotokea hitilafu au tatizo sehemu fulani au kwa mteja mmoja ni vema ukapata taarifa kamili kabla ya kuwa na dhana kadhaa dhidi ya tatizo husika, tupo kukupatia ufafanuzi na taarifa kamili.
 
TANESCO! Nimefungiwa umeme mwezi wa kumi, inakuaje leo nikinunua umeme nauziwa unit 1 kwa shlng 300?
 
Tabata mwananchi umeme mmekata Tena jioni hii kwanini? Kuna tatizo?
 
Eneo gani haswa na namba yako ya simu tafadhali
0686289389
Screenshot_20211215-201008.jpg
 
T-Mwananchi mtaa wa magengeni na viunga vyake Vyote umeme Hamna, umekatika jioni hii
IMG_20211215_201337_135.jpg
 
Back
Top Bottom