Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Toeni majibu ya kueleweka ,mtu anauliza swali la msingi nyie mmekomaa tu "mmepokea taarifa" ndo jibu gani hilo mnakera kinyama,tunataka kujua tuliolipia 27000 gharama mpya inatuhusu!!? Badala ya kutoa majibu ya kueleweka mnaleta mipasho[emoji34][emoji34][emoji34]Tumepokea taafifa kwa hatua zaidi