tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,971
Yani huku chang'ombe ndo hatuna umeme toka asubuh mpaka hii saa 5 usiku
Wanatuonea sana Tanesco huku, Kama weekend ya juzi walikata umeme kuanzia Jumamosi saa11 jioni wakaurudisha Jumapili saa2 usiku,,, yaani zaidi ya masaa 24 hakuna umeme