usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji115]Hiv ukilipia umeme bank direct,
Na ukilipa Kwa agent wa bank
Kunatofaut yoyote as long as umetoka na risit
Ya malipo? Naomba kujua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji115]Hiv ukilipia umeme bank direct,
Na ukilipa Kwa agent wa bank
Kunatofaut yoyote as long as umetoka na risit
Ya malipo? Naomba kujua
Wapuuzi nyie TANESCO kila siku niwapeni taarifa zangu na sioni msaada wowote ,kutoa taarifa lini mtanifungia umeme hamtoi,nishawafuta PM mnanipigia simu mnaniletea ngonjera tu.Tafadhali onesha umelipia kwa jina gani, namba ya simu , wilaya kwa hatua zaidi
Ndugu zangu wa TANESCO, hivi ni kwa nini namba zenu za huduma za dharura huwa hazipatikani kwa wakati!? Namba ambazo zipo katika mitandao ama zilikuwa hazipokelewi na nyingine kujibiwa kuwa hazipo tena.Ndio kwa kasi kubwa kabisa, je weww umelipia lini? Namba ya simu tafadhali
Ila tanesco jaman, yaan nimechoka na hili jibu hamjui tu.. imagine hamjali wateja wenu, yaan unareport kila leo lakini hata kupiga simu kuuliza kwa undani hakuna.. aisee.Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
Amsmamishwe kabisa maana akihamishwa anapeleka tatzo Kwa wengine inakua n kama kupga upepo rangiTafadhari, fundi mkuu Wilaya ya Serengeti, mbadilisheni/ mmhamishe, amefikia hatua ya kubadilisha Taratibu za quotation kama anavyotaka yeye!
Chonde! Chonde! Kwa ufanisi wa TANESCO Wilaya ya Serengeti, mmamlaka husika chunguzeni mtabaini utendaji wake
Anajiamini kuliko kawaida, gharama za serikali zinaeleweka, Sera ya serikali juu ya kuweka umeme ni umbali wa mita 0 hadi mita 120, na idadi ya nguzo zisizidi 3!Amsmamishwe kabisa maana akihamishwa anapeleka tatzo Kwa wengine inakua n kama kupga upepo rangi
nakaziaTANESCO hivi wale waliolipia umeme tokea mwaka Jana mwezi 10,11 kabla ya tarehe 05/01/2022 na mkawatumia ujumbe wa simu kua wateja wetu wote mliolipia umeme kabla ya Tangazo la mh Rais tutawawekea umeme kabla ya tarehe 30/03/2022 na hizo meseji zilitumwa January hivi hilo tangazo lenu bado lipo valid kweli? Maana kesho ndo mwisho wa mwezi March na umeme bado shida nini? Watu wanasubiri umeme kwa zaidi ya miezi 4 kweli? Ni Tanzania tu ambapo unalipia huduma kwa control no alafu unasubiri miezi zaidi ya minne..
Danganya toto hiyo mkuu,hata Mimi kwangu hamna kituTANESCO leo si ndo deadline ya kuwaunganishia umeme wateja waliolipia 27k .....na.mpaka dakika hii hapa kwangu sijaona Yanesco kuja kuniwekea Umeme sijui hawa Tanesco Kibaha wana deadline yao wamejiwekea ?
Umbali wa 120 si n nguzo mbili??Anajiamini kuliko kawaida, gharama za serikali zinaeleweka, Sera ya serikali juu ya kuweka umeme ni umbali wa mita 0 hadi mita 120, na idadi ya nguzo zisizidi 3! True anataratibu na kanuni nje ya hizi, wanyonge wanapigwa, amejiwekea genge la kupiga hela
Dah na kweli wametuweza maana mir nilijua leo wana maliza hesabu maana nilikuwa nawatazama tu wanavyojipitisha hapa mtaan nikajua on March 31 watakuja mtegoniDanganya toto hiyo mkuu,hata Mimi kwangu hamna kitu