TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
TANESCO huu umeme maokatakata huku mbezi Jogoo kila saa mnakera sana. Usiku wote huu mnakata sijui m ashirikiana na wezi!!!
 
Hivi TANESCO mkoa wa dar mna nn na huu mtaa wa raha/mchikichi?

Juzi kulikuwa na short kwenye nguzo mkarekebisha ila swali langu kwa nn haka kama tena nyumba tatu au nne kila wakati umeme unakatika majibu ni line yenu tunarekebisha
Tumechoka !
 
Kikweli Tanesco mnakatisha watu/wafanyabishara wa kariakoo na Watanzania wote tamaa kama kweli ninyi mpo kwa ajili ya yao !
 
TANESCO NAOMBA KUPATA MUONGOZO WA GAHARAMA ZA KUKATIWA MITI ILIYOPO KARIBU KABISA NA NYAYA ZA UMEME.
SABABU NI KWAMBA TUMEWAOMBA MJE MTUKATIE MITI TUNAAMBIWA TUTOE GARAMA ZA MAFUTA ILI VIJANA WAJE KUKATA MITI. NAOMBA MUONGOZO
 
Wewe ni Askari Polisi?

TANESCO NAOMBA KUPATA MUONGOZO WA GAHARAMA ZA KUKATIWA MITI ILIYOPO KARIBU KABISA NA NYAYA ZA UMEME.
SABABU NI KWAMBA TUMEWAOMBA MJE MTUKATIE MITI TUNAAMBIWA TUTOE GARAMA ZA MAFUTA ILI VIJANA WAJE KUKATA MITI. NAOMBA MUONGOZO
 
TANESCO NAOMBA KUPATA MUONGOZO WA GAHARAMA ZA KUKATIWA MITI ILIYOPO KARIBU KABISA NA NYAYA ZA UMEME.
SABABU NI KWAMBA TUMEWAOMBA MJE MTUKATIE MITI TUNAAMBIWA TUTOE GARAMA ZA MAFUTA ILI VIJANA WAJE KUKATA MITI. NAOMBA MUONGOZO
Sisi huku Mbezi ya Kimara,DSM eneo la Mshikamano tunaohudumiwa na ofisi ya Kibamba hatuna umeme toka juzi Jumatano usiku baada ya nyaya kuangukiwa na mti. Tulitoa taarifa na kuelezwa kuwa taarifa hiyo ni namba 5819.

Jana wamekuja mafundi wa emergency wakatuelekeza tukate matawi ya miti watakapopititisha nyaya nasi tukatekeleza mara moja. Lakini hadi sasa hatujarudishiwa huduma hii muhimu licha ya mafundi wa kitengo cha emergency na wale wa kitengo cha maintenance kufika eneo la tukia kama mara tatu na kushuhudia hali halisi ya madhira yetu.

Tunawashukuru wanaopokea malalamiko ( c c) kwa kutoa majibu ya staha, lakini utekelezaji wake ni tatizo.
 
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
NDUGU SHIRIKA LETU PENDWA LA UGAVI WA UMEME TANESCO, OFISI ZENU ZA MWANZA UFISADI NA RUSHWA DHIDI YA KUPATIWA HUDUMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME ZIMERUDI TENA. HUKU NI KUANGUSHA JITIHADA ZA RAISI WETU WA AWAMU YA SITA, MLIOMBA TOZO YA ELF 27 IONDOLEWE MAMA AKAWASIKIA, NA WANANCHI TUMEKUBALI KULIPA GHARAMA ZILE ZA ZAMANI KUANZIA LAKI 3 MPAKA MILLION 1 KWA HUDUMA, LAKINI INSHANGAZA BADO HAMTUPATII HUDUMA KWA WAKATI NA KWA KIWANGO KILE CHA THAMANI YA PESA TILIZOLIPIA KISINGIZIO NI MITA HAKUNA, SWALI INAWEZEKANAJE NILIPIE PESA ALAFU VIFAA VISIWEPO INAMAANA PESA ZETU MNAKULA NA HAMZINUNULII VIFAA?, MBAYA ZAID MMEKUWA HURU KUTUOMBA RUSHWA WAZI WAZI , KWA KISINGIZIO CHA KWAMBA MAHITAJI NI MENGI BIDHA NI CHACHE KWA HILI HALIKUBALIKI NA HALIVUMILIKI KAMWE. MKURUGENZI MKUI TANESCO NAOMBA JITASMINI.

cc.Wazir wa Nishati na umeme (January Makamba)
 
Meter yangu napo taka kununua ruku inatoa majibu no meter haitambuliki nipo tabora fom Issa Shaban Hamis meter 37243879337
 
NDUGU SHIRIKA LETU PENDWA LA UGAVI WA UMEME TANESCO, OFISI ZENU ZA MWANZA UFISADI NA RUSHWA DHIDI YA KUPATIWA HUDUMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME ZIMERUDI TENA. HUKU NI KUANGUSHA JITIHADA ZA RAISI WETU WA AWAMU YA SITA, MLIOMBA TOZO YA ELF 27 IONDOLEWE MAMA AKAWASIKIA, NA WANANCHI TUMEKUBALI KULIPA GHARAMA ZILE ZA ZAMANI KUANZIA LAKI 3 MPAKA MILLION 1 KWA HUDUMA, LAKINI INSHANGAZA BADO HAMTUPATII HUDUMA KWA WAKATI NA KWA KIWANGO KILE CHA THAMANI YA PESA TILIZOLIPIA KISINGIZIO NI MITA HAKUNA, SWALI INAWEZEKANAJE NILIPIE PESA ALAFU VIFAA VISIWEPO INAMAANA PESA ZETU MNAKULA NA HAMZINUNULII VIFAA?, MBAYA ZAID MMEKUWA HURU KUTUOMBA RUSHWA WAZI WAZI , KWA KISINGIZIO CHA KWAMBA MAHITAJI NI MENGI BIDHA NI CHACHE KWA HILI HALIKUBALIKI NA HALIVUMILIKI KAMWE. MKURUGENZI MKUI TANESCO NAOMBA JITASMINI.

cc.Wazir wa Nishati na umeme (January Makamba)
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
NDUGU SHIRIKA LETU PENDWA LA UGAVI WA UMEME TANESCO, OFISI ZENU ZA MWANZA UFISADI NA RUSHWA DHIDI YA KUPATIWA HUDUMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME ZIMERUDI TENA. HUKU NI KUANGUSHA JITIHADA ZA RAISI WETU WA AWAMU YA SITA, MLIOMBA TOZO YA ELF 27 IONDOLEWE MAMA AKAWASIKIA, NA WANANCHI TUMEKUBALI KULIPA GHARAMA ZILE ZA ZAMANI KUANZIA LAKI 3 MPAKA MILLION 1 KWA HUDUMA, LAKINI INSHANGAZA BADO HAMTUPATII HUDUMA KWA WAKATI NA KWA KIWANGO KILE CHA THAMANI YA PESA TILIZOLIPIA KISINGIZIO NI MITA HAKUNA, SWALI INAWEZEKANAJE NILIPIE PESA ALAFU VIFAA VISIWEPO INAMAANA PESA ZETU MNAKULA NA HAMZINUNULII VIFAA?, MBAYA ZAID MMEKUWA HURU KUTUOMBA RUSHWA WAZI WAZI , KWA KISINGIZIO CHA KWAMBA MAHITAJI NI MENGI BIDHA NI CHACHE KWA HILI HALIKUBALIKI NA HALIVUMILIKI KAMWE. MKURUGENZI MKUI TANESCO NAOMBA JITASMINI.

cc.Wazir wa Nishati na umeme (January Makamba)
Wanasema Mita zimechelewa kwasababu ya Vita kati ya RUSSIA/UKRAINE.
 
Sisi huku Mbezi ya Kimara,DSM eneo la Mshikamano tunaohudumiwa na ofisi ya Kibamba hatuna umeme toka juzi Jumatano usiku baada ya nyaya kuangukiwa na mti. Tulitoa taarifa na kuelezwa kuwa taarifa hiyo ni namba 5819 . Jana wamekuja mafundi wa emergency wakatuelekeza tukate matawi ya miti watakapopititisha nyaya nasi tukatekeleza mara moja. Lakini hadi sasa hatujarudishiwa huduma hii muhimu licha ya mafundi wa kitengo cha emergency na wale wa kitengo cha maintenance kufika eneo la tukia kama mara tatu na kushuhudia hali halisi ya madhira yetu. Tunawashukuru wanaopokea malalamiko ( c c) kwa kutoa majibu ya staha, lakini utekelezaji wake ni tatizo.
Pamoja na madhira tuliyoyapata hatimae na angalau leo Jumamosi adhuhuri mafundi wa kitengo cha maintenance wameweza kutatua tatizo letu.

Tunashukuru uongozi wa TANESCO ofisi ya Kibamba, DSM kwa usimamizi wenu.
 
nimefungiwa umeme nikaambiwa unit zikibaki 2 nisajiriwe haya nisajiri huko kwenye mitambo nilipie umeme, na mnipe na tathimini nilipe sh ngapi.
 
NDUGU SHIRIKA LETU PENDWA LA UGAVI WA UMEME TANESCO, OFISI ZENU ZA MWANZA UFISADI NA RUSHWA DHIDI YA KUPATIWA HUDUMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME ZIMERUDI TENA. HUKU NI KUANGUSHA JITIHADA ZA RAISI WETU WA AWAMU YA SITA, MLIOMBA TOZO YA ELF 27 IONDOLEWE MAMA AKAWASIKIA, NA WANANCHI TUMEKUBALI KULIPA GHARAMA ZILE ZA ZAMANI KUANZIA LAKI 3 MPAKA MILLION 1 KWA HUDUMA, LAKINI INSHANGAZA BADO HAMTUPATII HUDUMA KWA WAKATI NA KWA KIWANGO KILE CHA THAMANI YA PESA TILIZOLIPIA KISINGIZIO NI MITA HAKUNA, SWALI INAWEZEKANAJE NILIPIE PESA ALAFU VIFAA VISIWEPO INAMAANA PESA ZETU MNAKULA NA HAMZINUNULII VIFAA?, MBAYA ZAID MMEKUWA HURU KUTUOMBA RUSHWA WAZI WAZI , KWA KISINGIZIO CHA KWAMBA MAHITAJI NI MENGI BIDHA NI CHACHE KWA HILI HALIKUBALIKI NA HALIVUMILIKI KAMWE. MKURUGENZI MKUI TANESCO NAOMBA JITASMINI.

cc.Wazir wa Nishati na umeme (January Makamba)
@TANESCO NYAKATO ni mabingwa wa kuomba rushwa ,yani kuunganisha umeme imekua kama hisani wakati ni haki yetu na tumelipia, Mimi unaingia mwezi wa 6 sasa sijaunganishiwa umeme tangu nilipie mwaka Jana mwezi wa 10,kuna boya wa hapo Nyakato anaomba rushwa ya laki 2 Ili nipatiwe huduma wakati nilishalipa 27 elfu. Poor Tanesco
 
Back
Top Bottom