Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Hakuna mtu wa kututetea sasa hivi 😥Mamlaka Zipo Ila Kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu wa kututetea sasa hivi 😥Mamlaka Zipo Ila Kimya
Mvua zimenyesha nchi nzima hakuna isiponyesha,hivi walishatoka hadharani hata mara moja kufafanua sababu za kadhia hii?Sasa si Bora nyie wenzetu unafractuate lakin mnao , wenzenu tuna mwezi sasa mchana hatuna umeme unawaka usiku unakatika saa 1 asubuhi.
Mama kavunja "BODI".. Yajayo yanafuraishaMvua zimenyesha nchi nzima hakuna isiponyesha,hivi walishatoka hadharani hata mara moja kufafanua sababu za kadhia hii?
Maana tumezoea mara zote wakituambia ni upungufu wa maji kwenye vyanzo vya nishati sasa mara hii vipi?
Hawa ndiyo umbwa halisiTANESCO kiboko. Umeme usiku kucha una fluctuate hii ni mara ya pili ndani ya wiki 1.
Mtaunguza vitu vya watu. Si muuzime tuu. Au ndio mmetumwa ili watu waingie hasara.
Nchi Ngumu Hii.
Kama tuko karne ya 17 . Ma Engineer gani awo walioajiriwa TANESCO. HII KITU CHA KUCHEKWA . LABDA KAMA NI MAKUSUDI KUWATIA WATU HASARA ILI WAKANUNUE VITU VIPYA KARIAKOO
Msome katikati ya mistari utamuelewa.Sasa wewe ndio mmoja wa wasiojielewa ambaye unashindwa ata kujuwa "Power Fluctuation" alafu unasema wenzio.
WE MILEMBE INAKUHUSU.
Na unasema ongera CCM..? ( kama sio "JANI" linazungumza basi sijuwi nini
Wanatuunguzia vitu kwa ujinga waoTANESCO kiboko. Umeme usiku kucha una fluctuate hii ni mara ya pili ndani ya wiki 1.
Mtaunguza vitu vya watu. Si muuzime tuu. Au ndio mmetumwa ili watu waingie hasara.
Nchi Ngumu Hii.
Kama tuko karne ya 17 . Ma Engineer gani awo walioajiriwa TANESCO. HII KITU CHA KUCHEKWA . LABDA KAMA NI MAKUSUDI KUWATIA WATU HASARA ILI WAKANUNUE VITU VIPYA KARIAKOO
Wana mambo ya kijinga snHawa ndiyo umbwa halisi
Majangili yote yamerudi kwenye system kupiga pesa za ummaHakuna mtu wa kututetea sasa hivi 😥
Mama kavunja "BOODI".. YAJAYO YANAFURAISHAMajangili yote yamerudi kwenye system kupiga pesa za umma
Kwahyo unadhani Power Fluctuation/Umeme kucheza inatoka na kitu gani kama sio uzembe wa wafanyakazi wa Tanesco.Sasa wewe ndio mmoja wa wasiojielewa ambaye unashindwa ata kujuwa "Power Fluctuation" alafu unasema wenzio.
WE MILEMBE INAKUHUSU.
Na unasema ongera CCM..? ( kama sio "JANI" linazungumza basi sijuwi nini
Mara ya 3 anavunja toka ameingia, bodi haifanyi kazi bodi wanapewa report kutoka kwa Management, tatizo ni MakambaMama kavunja "BOODI".. YAJAYO YANAFURAISHA
Upo sahihi snKwahyo unadhani Power Fluctuation/Umeme kucheza inatoka na kitu gani kama sio uzembe wa wafanyakazi wa Tanesco.
ACHA KUPANIKI KIJANA
Sio haibu ni aibu bwege kabisaSii maanishi hivyo. We ndio hujuwi kizungu . Na maanisha unapanda na kushuka . "Power Fluctuation"
Hakika utakuwa CCM .
Ni haibu sana kwa kijana kama wewe kushindwa hata kutumia Google kujifunza kabla ya kujibu.
Watu wengi hawalijui hili. Tatizo uzalishaji kiduchu matumizi makubwa.Uzalishaji wa umeme bongo ni mdogo. Tatizo sio mvua wala waziri bali uchakataji wenyewe no more no less.