TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Sasa si Bora nyie wenzetu unafractuate lakin mnao , wenzenu tuna mwezi sasa mchana hatuna umeme unawaka usiku unakatika saa 1 asubuhi.
Mvua zimenyesha nchi nzima hakuna isiponyesha,hivi walishatoka hadharani hata mara moja kufafanua sababu za kadhia hii?

Maana tumezoea mara zote wakituambia ni upungufu wa maji kwenye vyanzo vya nishati sasa mara hii vipi?
 
Ni maoni yangu hii thread ya tanesco ifutwe maana Haina maana kwa watanzabia zaidi ya kero tu
 
TANESCO kiboko. Umeme usiku kucha una fluctuate hii ni mara ya pili ndani ya wiki 1.
Mtaunguza vitu vya watu. Si muuzime tuu. Au ndio mmetumwa ili watu waingie hasara.
Nchi Ngumu Hii.
Kama tuko karne ya 17 . Ma Engineer gani awo walioajiriwa TANESCO. HII KITU CHA KUCHEKWA . LABDA KAMA NI MAKUSUDI KUWATIA WATU HASARA ILI WAKANUNUE VITU VIPYA KARIAKOO
Hawa ndiyo umbwa halisi
 
Sasa wewe ndio mmoja wa wasiojielewa ambaye unashindwa ata kujuwa "Power Fluctuation" alafu unasema wenzio.
WE MILEMBE INAKUHUSU.
Na unasema ongera CCM..? ( kama sio "JANI" linazungumza basi sijuwi nini
Msome katikati ya mistari utamuelewa.

Jamaa ana hoja!!!
 
TANESCO kiboko. Umeme usiku kucha una fluctuate hii ni mara ya pili ndani ya wiki 1.
Mtaunguza vitu vya watu. Si muuzime tuu. Au ndio mmetumwa ili watu waingie hasara.
Nchi Ngumu Hii.
Kama tuko karne ya 17 . Ma Engineer gani awo walioajiriwa TANESCO. HII KITU CHA KUCHEKWA . LABDA KAMA NI MAKUSUDI KUWATIA WATU HASARA ILI WAKANUNUE VITU VIPYA KARIAKOO
Wanatuunguzia vitu kwa ujinga wao
 
Sasa wewe ndio mmoja wa wasiojielewa ambaye unashindwa ata kujuwa "Power Fluctuation" alafu unasema wenzio.
WE MILEMBE INAKUHUSU.
Na unasema ongera CCM..? ( kama sio "JANI" linazungumza basi sijuwi nini
Kwahyo unadhani Power Fluctuation/Umeme kucheza inatoka na kitu gani kama sio uzembe wa wafanyakazi wa Tanesco.

ACHA KUPANIKI KIJANA
 
Sii maanishi hivyo. We ndio hujuwi kizungu . Na maanisha unapanda na kushuka . "Power Fluctuation"
Hakika utakuwa CCM .
Ni haibu sana kwa kijana kama wewe kushindwa hata kutumia Google kujifunza kabla ya kujibu.
Sio haibu ni aibu bwege kabisa
 
Naombeni Msaada Mita Yangu Ni Mpya Inagoma Kupokea Unit nimepiga Tanesco Hakuna Msaada Mmoja kasema nibonyeze (0) the Nita Namba Mwingine kasema Niwangoje Huduma kwa Wateja ila Hata Hawajaja
 
Back
Top Bottom