TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU
Wanafanya kla njia kuhujumu
Ili tu ionekane kuwa hawezi
Kweli watu wabaya kushinda hata wanyama
Yaani wanataka waooooo tuuuuuu
Wazungu ni shidaa sana
 
Airtel wamekata hela umeme hawajaleta.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mkuu linapokuja swala la TEHAMA anything can happens, refer Tigopesa.
Cha kuwashauli wawekeze sana kwenye Computing technology.
 
Nimehangaika leo siku nzima kununua Umeme, hadi naandika hapa saa nne na dk 22 usiku hakuna huduma ya LUKU, tunajua mnachokifanya, mpo mnavuruga system ili mtuibie kirahisi! Hakika tutamkumbuka JPM maana kesho mtu alikuwa anachomolewa ofisini kwenye kitu chake cha kuzunguka!
Hakuna cent hata moja ya wizi kwa mteja, ni wizi wa hela za umma kuwalipa mafundi wanaokorofisha program ili walipwe kuzirudisha zilivyo kuwa.
 
Kwanza nianze kwa kukiri kwamba mimi ni sio mwanasiasa ila kwa kipindi fulani nilikuwa shabiki mkubwa wa chadema.Kiukweli miongoni mwa wale waliokuwa wakimponda sana na hata kutokuhuzunishwa na kwenda kwa mwendazake na mimi nilikuwemo.Ninakiri wazi kuwa nilifanya makosa makubwa sana na sikujua kuwa nilikuwa nakataa almasi kwa kukusanya kokoto...
Karibu mkuu upande wa uwajibikaji

#gogo gang
#sukuma gang
#chadema4revolution
 
Kwa tulionunua Umeme siku ya jtatu fedha zipo kwenu zinarudije maana hata mitandao kama Airtel hawapokei simu za wateja tunafanyaje?
Tutaandaa utaratibu mzuri wa kuzifanyia kazi mkuu wetu.Jm
 
yaani nchi nzima haina umeme ila mama anakenua kenu tu ikulu..
fukuza wajinga wote mamluki wa Meko.wanafanya makusudi...yaani humu mama watamzamisha kwenye tope ngoja aendelee kuwachekea tu
 
Nimehangaika leo siku nzima kununua Umeme, hadi naandika hapa saa nne na dk 22 usiku hakuna huduma ya LUKU, tunajua mnachokifanya, mpo mnavuruga system ili mtuibie kirahisi! Hakika tutamkumbuka JPM maana kesho mtu alikuwa anachomolewa ofisini kwenye kitu chake cha kuzunguka!
Kamfate makaburini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom