Wanafanya kla njia kuhujumu
Ili tu ionekane kuwa hawezi
Kweli watu wabaya kushinda hata wanyama
Yaani wanataka waooooo tuuuuuu
Wazungu ni shidaa sana
 
Airtel wamekata hela umeme hawajaleta.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mkuu linapokuja swala la TEHAMA anything can happens, refer Tigopesa.
Cha kuwashauli wawekeze sana kwenye Computing technology.
 
Hakuna cent hata moja ya wizi kwa mteja, ni wizi wa hela za umma kuwalipa mafundi wanaokorofisha program ili walipwe kuzirudisha zilivyo kuwa.
 
Karibu mkuu upande wa uwajibikaji

#gogo gang
#sukuma gang
#chadema4revolution
 
Kwa tulionunua Umeme siku ya jtatu fedha zipo kwenu zinarudije maana hata mitandao kama Airtel hawapokei simu za wateja tunafanyaje?
Tutaandaa utaratibu mzuri wa kuzifanyia kazi mkuu wetu.Jm
 
yaani nchi nzima haina umeme ila mama anakenua kenu tu ikulu..
fukuza wajinga wote mamluki wa Meko.wanafanya makusudi...yaani humu mama watamzamisha kwenye tope ngoja aendelee kuwachekea tu
 
Kamfate makaburini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…