Dah.. mkuu unatuvua nguo hapa umefungua code kabisa hebu futa hii kitu tafadhali [emoji3][emoji120]
Ili uwe salama kwenye hii kitu lazima nyumba yako iwe na fensi na geti kubwa na iwe marufuku mtu mgeni kuingia ingia hovyo getini kwako mpaka kwa apointment
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama nyumba haina fensi popo wakipita lazima wakudake.
 
Ili uwe salama kwenye hii kitu lazima nyumba yako iwe na fensi na geti kubwa na iwe marufuku mtu mgeni kuingia ingia hovyo getini kwako mpaka kwa apointment
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama nyumba haina fensi popo wakipita lazima wakudake.

Bila kusahau mita lazima iwe ni ile ya ukutani. Siku hizi washenzi wameshtuka wanaweka mita juu kwenye nguzo kule
 
Bila kusahau mita lazima iwe ni ile ya ukutani. Siku hizi washenzi wameshtuka wanaweka mita juu kwenye nguzo kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiweka kwenye nguzo huna ujanja.
 
Yaani sijui tunakwenda wapi!! zaidi ya siku ya 3 kila tukijaribu kununua umeme kwa mitandao yote hakuna kitu!! Na hakuna hata anayejali wala kufuatilia tatizo, watu wametulia tuliii!? sa sijui tunakwenda wapi!!

Nenda kanunue kwa foleni huko ofisini! Sasa siku tatu zote hizo unakula giza huku ukikorokochoa simu?
 
Hawa sukuma gang wana nguvu ee?
 
Tulieni jamani haya mambo ndio yanaleta hela mtaani.

Si mlikuwa mnalalamika hakuna hela mtaani

Sasa nchi inafunguliwa acheni kazi iendleee
 
jana 18/5 nimenunua kutoka tigo pesa bila shida, try today
Mkuu ilikuwa nia bahati yako, kuna watu wachache wachache waliyoweza kufanikiwa kununua, but all in all system za ununuzi wa luku bado unasumbua.
 
Na Kalemani kakaa tu kimya, umeme tangu juzi haununuliki kwenye simu watu wako gizani hakuna chochote kinachoendelea hela zinaliwa ,mtu kanunua umeme mitandao kama minne hela zinaliwa umeme token haziji Tanesco wanafeli sana
 
Hawa sukuma gang wana nguvu ee?
Wazitoe wapi nguvu??, Ha ha ah yawezekana tu mmoja kakata waya.
Baadaye utawasikia STIGLERS wakati Stigler haina uhusiano na Luku!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…