peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah.. mkuu unatuvua nguo hapa umefungua code kabisa hebu futa hii kitu tafadhali [emoji3][emoji120]
Ili uwe salama kwenye hii kitu lazima nyumba yako iwe na fensi na geti kubwa na iwe marufuku mtu mgeni kuingia ingia hovyo getini kwako mpaka kwa apointmentDah.. mkuu unatuvua nguo hapa umefungua code kabisa hebu futa hii kitu tafadhali [emoji3][emoji120]
Ili uwe salama kwenye hii kitu lazima nyumba yako iwe na fensi na geti kubwa na iwe marufuku mtu mgeni kuingia ingia hovyo getini kwako mpaka kwa apointment
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nyumba haina fensi popo wakipita lazima wakudake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiweka kwenye nguzo huna ujanja.Bila kusahau mita lazima iwe ni ile ya ukutani. Siku hizi washenzi wameshtuka wanaweka mita juu kwenye nguzo kule
Tulia wewe!TANESCO wapo likizo sasa
Labda uende kwa fundi welding akuchomelee yale maviatu ya kupandia kwenye nguzo 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiweka kwenye nguzo huna ujanja.
Yaani sijui tunakwenda wapi!! zaidi ya siku ya 3 kila tukijaribu kununua umeme kwa mitandao yote hakuna kitu!! Na hakuna hata anayejali wala kufuatilia tatizo, watu wametulia tuliii!? sa sijui tunakwenda wapi!!
Hawa sukuma gang wana nguvu ee?Hizi njama za Sukuma Gang!
Mama anafutia wanyonge kesi, za kubambikiwa.
Waziri atuombe radhi! Ajiuzulu!
Maigizo ya Majaliwa ya kujipa promo na ziara bandarini, ilitakiwa sasa ndiyo atuonyeshe anatatua hili.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mkuu Mwenyezi Mungu yupi wa wakristo, waisilamu au wahindu, hebu fafanua, na ni dini ipi iliyoanzia kwako ambayo haikuanzia kwa mabauzako?Yeye anaamini dini moja tuu ya mwenyezi Mungu hizo nyingine kawaombee mababu na mabibi huko kwenu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ushamaliza matanga mama."Mtanikumbuka.."
Kazi iendelee...
Tanesco, TRA, TPA,polisi na tamisemi, ni taasisi ambazo mtumishi wake akifa huwezi kuhuzunika.Wewe ni mpumbavu
Mkuu ilikuwa nia bahati yako, kuna watu wachache wachache waliyoweza kufanikiwa kununua, but all in all system za ununuzi wa luku bado unasumbua.jana 18/5 nimenunua kutoka tigo pesa bila shida, try today
Wazitoe wapi nguvu??, Ha ha ah yawezekana tu mmoja kakata waya.Hawa sukuma gang wana nguvu ee?