TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU
Wakuu toka jana tarehe 17/ May umeme was Tsnesco kwa mfumo was Luku haupatikani kabisa. Tanesco wanachodai ni Kuwa mfumo upon down. Kwa zaidi ya Masaaki 24 wateja wanakosa huduma ya umeme. serekali nayo inakosa mapato yake.
Najiuliza je hii inaweza kuwa ni hujuma kukwamisha juhudi za mama. Ingefaa wahusika wachunguze kulikoni Ta
nesco?
Sukuma Gang Members wapo kazini kuhakikisha Mzanzibari hatoboi
 
Huwezi amini apa nahangaika kununua umeme kwa simu inagoma. Ata sielewi. Ndo nimewatuma watoto muda huu wakaangalie kwa wakala wenyewe kbs Ili tujue
 
Mkuu nasoma computer science....katika programming hakuna hitirafu ,na hata virus ni program ya computer inayofanya kazi kwa kuipa ubize computa au kupiga copy au kudelete files muhimu na ni mtu anaeza tengeneza virusi, hebu nirud kwenye point, program ikiandikwa haibadiliki, ni pure number ile, I mean automation is perfect, Kama ilivo 1*1=1 it can't change.

Changamoto huwa ni pale uneunda program kwa Kaz flan na ofisi ikaongeza matumizi au huduma ambazo hujaziprogram, yaan zifanyike manually. Jawabu ni kwamba programmers huwa wanachokonoa system ili wapige pesa ya maintenance, Kwan huwa wanaacha backdoors za wao kuingia na kuedit mifumo, hvo program ni solution ya ku automate shughuli mbali mbali, hazibdiliki na ni lazma mumlipe programmer pesa nyingi Kwan inahtajika solution ya haraka ili Mambo yasisimame, believe me namuona mtu akipga pesa ndefu nyuma ya hil tatzo, labda Kama wameuzma ili kuboresha huduma
Hivi kuna uhusiano wowote na ile ya tii araa eei, mkuu.
 
Leo Siku ya tatu, nyumbani umeme umekata, afu shida sielewi Ni nini? Kama niluku sina uwakika kama imeisha Ila umeme ulikata ghafla tu, kwenye nyumba yetu, Na nyumba zingine upo mpka muda huu, lakini toka Jana naweka Luku inagoma, nikajua kwasababu kulikua Na shida ya mtandao, Jana kila ukijalibu kununua umeme, wanakwambia huduma aipatikani kwa sasa jaribu tena, baadae, lakin usiku wa saa nne nikabahatika nikatumiwa tokeni, kila nikiingiza kwenye mashineni ya luku, inaandika reject hata sielewi, shida Ni nini? Kwa mwenye uelewa wa ilo tatizo, anisaidie hata ushauri
TANESCO
 
Apa nahangaika kununua umeme kwa simu inagoma. Ata sielewi, ndo nimewatuma watoto waende kwa wakala wenyewe kbs tuone km utapatikn au lah
 
Wakuu toka jana tarehe 17/ May umeme was Tsnesco kwa mfumo was Luku haupatikani kabisa. Tanesco wanachodai ni Kuwa mfumo upon down. Kwa zaidi ya Masaaki 24 wateja wanakosa huduma ya umeme. serekali nayo inakosa mapato yake.
Najiuliza je hii inaweza kuwa ni hujuma kukwamisha juhudi za mama. Ingefaa wahusika wachunguze kulikoni Ta
nesco?

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Noma sana leo siku ya pili tunamlikia mishumaa
 
Back
Top Bottom