ndikumangenge
Member
- Jan 6, 2019
- 86
- 68
Mm nimenunua airtel Hera wamelamba token hakuna huyu mama sidhani km atatoboA mbona haya mambo tulikua tumeshaanza kuyasahau?Kuna kila rangi ya hujuma..nimenunua kupitia halotel hela wamekata na token hakuna
Hivyo tuendelee kuvumilia giza kweli? embu kwa hapa tulipofikia uchumi wa kati mambo kama haya hayafaiTutatoa taarifa kamili tafadhali
Medard kalemani amka, tanesco inahujumiwa .SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 18, 2021.
Unamwita jamaa mzushi lakini kuna watu wengi tu, wabahatisha wamenunua umeme!Acha uzushi mkuu
Pore Mahera!Mm nimenunua airtel Hera wamelamba token hakuna huyu mama sidhani km atatoboA mbona haya mambo tulikua tumeshaanza kuyasahau?
Madai yake ni ya uongo haiwezekani kila mtu analalamika eti yeye kafanikiwa. Labda kama ni exceptional case.Unamwita jamaa mzushi lakini kuna watu wengi tu, wabahatisha wamenunua umeme!
Sukuma Gang Members wapo kazini kuhakikisha Mzanzibari hatoboi
Duuh hii hatari,kwahiyo kwa siku tatu umeme hamna..SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 18, 2021.
Nendeni site acheni blah blah. Wekeni ata huduma ya kurudhiana units kama vipi, watu mafriji yana mazaga zaga yakiharibika? Joto na mbu wa Dar bila feni?SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 18, 2021.
Niwapongezeni sana kwa kuja na kujibia hili, utendaji huu ndio tunaoutaka ktk nchi hii, jtahidini tuweze kuipata huduma kwa kadiri itakavyo wezekana.SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 18, 2021.
Katika waongo wewe nimuongo labda ulikuwa unaota ndoto
Nimekuscreen is umeme nilionunua Jana saa 11 jioni.Katika waongo wewe nimuongo labda ulikuwa unaota ndoto
Bando aliasisi Shujaa....Maza hakuna kitu bando tu zimemshinda