TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU
Tunaomba tujuzwe na TANESCO kuna matatizo gani yametokea kwenye mtambo wa luku toka jana jioni mpaka alfajiri hii.
Wananchi tupo kizani nchi nzima kwa kushindwa kununua umeme.
Tunakuomba Waziri wa Umeme Mhe.Medard Kalemani ujitokeze hadharani na kutupa maelezo ya kina juu ya jambo hili.
TANESCO wapo kimya bila kueleza chochote kuhusiana na kadhia hii.Nini tatizo jamani?Au ni hujuma kwa Rais wetu mpendwa mama Samia Suluh Hassan?
 
Tunaomba tujuzwe na TANESCO kuna matatizo gani yametokea kwenye mtambo wa luku toka jana jioni mpaka alfajiri hii.
Wananchi tupo kizani nchi nzima kwa kushindwa kununua umeme.
Tunakuomba Waziri wa Umeme Mhe.Medard Kalemani ujitokeze hadharani na kutupa maelezo ya kina juu ya jambo hili.
TANESCO wapo kimya bila kueleza chochote kuhusiana na kadhia hii.Nini tatizo jamani?Au ni hujuma kwa Rais wetu mpendwa mama Samia Suluh Hassan?
Karne ya 21,system ya kununua umeme ina collapse zaidi ya saa 24,na hakuna tamko lolote,
Kwanini kusiwe na saver tofauti japo kila mkoa kuepusha Hili balaa,yaani system ikifa,ni nchi nzima.
Hii ni aibu kabisa,system zinazotumiwa hazina tofauti na system za vocha za simu,au malipo ya vingamuzi,sasa LUKU inafeli,na hakuna taarifa yoyote,hawa watu wa IT wa Tanesco kama kazi imewashinda bora waachie ngazi tu,
 
Sukuma Gang Members wapo kazini kuhakikisha Mzanzibari hatoboi
Bujibuji unajishushia heshima Sasa. Kwani huko tanesco Kuna wasukuma tuu?
Lazima tuukubali ukweli kwa Sasa ofisi nyingi za umma zinarudi kwa Kasi Sana kueoekea awamu ya nne. Wafanyakazi wengi Sasa wapo busy kupinga soga maofisini uwajibikaji unapungua kwa Kasi. Kuna sehemu waya wa tanesco ulikatika mjini kabisa na tanesco walikuja baada ya masaa 36, nikajiuliza enzi za Magufuli Hawa jamaa wangetumia muda gani?
Subiri Sasa bwawa la mtera litaanza kuisha maji tuanze kununua majenereta.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu toka jana tarehe 17/ May umeme was Tsnesco kwa mfumo was Luku haupatikani kabisa. Tanesco wanachodai ni Kuwa mfumo upon down. Kwa zaidi ya Masaaki 24 wateja wanakosa huduma ya umeme. serekali nayo inakosa mapato yake.
Najiuliza je hii inaweza kuwa ni hujuma kukwamisha juhudi za mama. Ingefaa wahusika wachunguze kulikoni Ta
nesco?
jana 18/5 nimenunua kutoka tigo pesa bila shida, try today
 
TANESCO hakuna wala haijatokea hujuma hata siku moja, ila uvivu, rushwa, wizi, kutokuwajibika, kufanya kazi kwa mazoea, kutokuelewa iko pale kutunisha mfuko wa dola, kutukosesha umeme hawajuwi wanapoteza mapato, KUKOSA UPINZANI KIBIASHARA, undezi na undorobo, kudemka kijinga jinga ofisini.....
Ongezeeni nanyi..
 
Mama chaguo la Mungu, hawawezi kumuhujumu. wachape kazi.
 
Mbona watu sio waelewa? Tatizo la mfumo wa luku linapotokea na kusababisha mtu kununua umeme sio nchi nzima inakuwa ni baadhi ya maeneo tu, sasa mtu wa shinyanga anakuambia amenunua umeme ww mtu wa kusini unasema kwangu inakataaa kwanza umeambiwa hili ni jambo la taifa zima? Alafu unapozungumzia hasara kwnn mnaiyangalia tanesco kuliko ninyi watumiaji? Unaweza umeme ukakatwa kwa zaidi ya masaa 10 na bila taaarifa yeyote je unajua mtumiaji anakuwa amepata hasara kiasi gani? Hao wanaoshindwa kununua umeme na kusabaisha shughuli zao zisimame unajua wamepata hasara kiasi gani ? Nikija kukuuliza umepata hasara gani kwa kukosa huduma ya umeme unaweza kuniambia lkn nikikuuliza selikali imepata hasara kiasi gani kwa watu kushindwa kununua umeme unaweza nijibu ? Kumbuka tatecso inatukwamisha cc zaid inavyoikwamisha selikali.
 
Kuna taarifa yoyote imetolewa? Shida ya hizi nchi zetu uwajibikaji sifuri. Vinginevyo watu wangepoteza kazi. Tangu asubuhi nahangaika kununua umeme bila mafanikio. Naelekea kulala giza!!
Eti kuna mtu amekaa anakuna kitambi siku nzima anajiita dk,injinia,profesa nk
Yani sisi bado sana
 
Mbona watu sio waelewa? Tatizo la mfumo wa luku linapotokea na kusababisha mtu kununua umeme sio nchi nzima inakuwa ni baadhi ya maeneo tu, sasa mtu wa shinyanga anakuambia amenunua umeme ww mtu wa kusini unasema kwangu inakataaa kwanza umeambiwa hili ni jambo la taifa zima? Alafu unapozungumzia hasara kwnn mnaiyangalia tanesco kuliko ninyi watumiaji? Unaweza umeme ukakatwa kwa zaidi ya masaa 10 na bila taaarifa yeyote je unajua mtumiaji anakuwa amepata hasara kiasi gani? Hao wanaoshindwa kununua umeme na kusabaisha shughuli zao zisimame unajua wamepata hasara kiasi gani ? Nikija kukuuliza umepata hasara gani kwa kukosa huduma ya umeme unaweza kuniambia lkn nikikuuliza selikali imepata hasara kiasi gani kwa watu kushindwa kununua umeme unaweza nijibu ? Kumbuka tatecso inatukwamisha cc zaid inavyoikwamisha selikali.
Ni sehemu nyingi mimi nimejaribu Kagera na Dodoma mambo ni hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom