Tanga: Milioni 21 waliyoiomba Wazee kwa ajili ya Tambiko yakwamisha Ujenzi wa Barabara

Tanga: Milioni 21 waliyoiomba Wazee kwa ajili ya Tambiko yakwamisha Ujenzi wa Barabara

Acheni kuwajengea pelekeni sahemu nyingine.
Yaani Kodi zetu zitumike kohonga wachawi? Hapana.
Huu utakuwa mchezo wa wachawi,leo Tanga,kesho utasikia Sumbawanga.

Kila mkoa ukiamua kutumia uchawi kuikwamisha Serikali inaweza.
Sehemu zingine Kuna treni za kichawi.Nao watataka pesa ili wasiikwamishe treni ya kawaida.
Serikali kalipieni upuuzi huu.
 
Wakishapewa hiyo hela watadhulumiana then watalogana wenyewe kwa wenyewe mpaka wote wafe
 
Halafu wote hao Ni waislamu na msikitini wanaenda .Ni aibu kwa uislamu.Sheikh mkuu wa Bakwata nenda haraka kaongee na hao watu wako matambiko na uislamu wapi na wapi? ummy mwalimu waziri wa Tamisemi Zigo lako Hilo watanga wenzio Tena waislamu wenzio na waislamu wenzie na Mama Samia wanataka milioni 21 za tambiko barabara ipite.Mwambie mama Samia muislamu mwenzao awape

Pili huo Ni ushahidi kuwa serikali islaumuwe kuwa kuna maeneo maendeleo hayapelekwi watu hawataki hapo kwa msisi Ni ushahidi
Wewe kila hoja unawashambulia hao waislamu ?!!

Una nini na hao ndugu ?!!!

Wewe dada utakuwa na matatizo makubwa sana ya UDINI....udini umekujaa sana....kwa hiyo sehemu ambazo hao Waislamu ni wachache huwa hakuna UCHAWI ?!!!😳😳🤣

Uko emotional katika mambo yanayotaka CRITICAL THINKING ?!!!

Ungekuwa na uwezo ungeweza kuwafuta uraia wa Tanzania waislamu wote bahati mbaya hunao.....
 
Ndio maana kuna wakati tunasema hakuna demokrasia kwa mpumbavu, ona sasa watu wanakosa barabara eti kisa tambiko na mizimu..
Kama Serikali wakitoa pesa ya walipa Kodi kuwahonga wachawi,basi hatuna serikali Bali wahuni.
 
Yaani watu wanacheleweshewa maendeleo eti kisa tambiko....sasa hayo matambiko yao yangekuwa na maana sitayari wangukuwa na barabara zao wenyewe tangu zama za kale...hayo matambiko na mizimu ingekuwa na msaada wote hao wazee wasingekuwa wamechoka hivyo na kuvaa manguo yamechanika.....DC acha story na hao watu peleka watu waanze kazi tena ikiwezekana peleka JWTZ kabisa hapo wajenge hiyo barabara... kila tukikwama tembezeni kipigo..
Jaribu uone kama hujashushwa shipa size ya tikiti maji kudadeki.
 
tukiendekeza huu ujinga, kuna siku mizimu itakaa Airport kumzuia mama asisafiri tena kwenye kikao UN kabisa....tena hiyo inaweza kudai damu kabisa..
 
Rais wetu wamemudharau Sana,yaani inafikia hatua wachawi wanatoa masharti kwa Serikali?
Tangu nizaliwe sijawahi sikia kokote duniani.
Acha ujinga kwani machifu huwa hawana WAPIGA RAMLI NA WACHAWI ?!!!!
 
Sikuwahi aminisha mtu nyungu ni dawa ya corona mkuu.

Ndo jina tulilobatiza utamaduni wetu wa kuabudu kuita ushirikina, ila nakwambia yana nguvu kama huamini waambie hapo wajenge bila kutambika uone.
Kuwa na nguvu haifuti uhalisia kuwa matambiko ni Ibada kwa Mapepo ambayo kweli yapo.
 
Back
Top Bottom