kila mmoja anatamba kwenye eneo lake.kudadeq.............hii inch ni hatare sanaaaa
Hiyo ndiyo asili yetu mkuu. Mengine tunaiga tu.Hii nchi tunaelekea pabaya sana aisee.
Tunafikia hatua ya kuamini mambo ya kishirikina hadi kutumia mamilioni ya wananchi kuyapeleka milima korelo?
Wewe kila hoja unawashambulia hao waislamu ?!!Halafu wote hao Ni waislamu na msikitini wanaenda .Ni aibu kwa uislamu.Sheikh mkuu wa Bakwata nenda haraka kaongee na hao watu wako matambiko na uislamu wapi na wapi? ummy mwalimu waziri wa Tamisemi Zigo lako Hilo watanga wenzio Tena waislamu wenzio na waislamu wenzie na Mama Samia wanataka milioni 21 za tambiko barabara ipite.Mwambie mama Samia muislamu mwenzao awape
Pili huo Ni ushahidi kuwa serikali islaumuwe kuwa kuna maeneo maendeleo hayapelekwi watu hawataki hapo kwa msisi Ni ushahidi
Kama Serikali wakitoa pesa ya walipa Kodi kuwahonga wachawi,basi hatuna serikali Bali wahuni.Ndio maana kuna wakati tunasema hakuna demokrasia kwa mpumbavu, ona sasa watu wanakosa barabara eti kisa tambiko na mizimu..
π€£π€£Wakishapewa hiyo hela watadhulumiana then watalogana wenyewe kwa wenyewe mpaka wote wafe
Jaribu uone kama hujashushwa shipa size ya tikiti maji kudadeki.Yaani watu wanacheleweshewa maendeleo eti kisa tambiko....sasa hayo matambiko yao yangekuwa na maana sitayari wangukuwa na barabara zao wenyewe tangu zama za kale...hayo matambiko na mizimu ingekuwa na msaada wote hao wazee wasingekuwa wamechoka hivyo na kuvaa manguo yamechanika.....DC acha story na hao watu peleka watu waanze kazi tena ikiwezekana peleka JWTZ kabisa hapo wajenge hiyo barabara... kila tukikwama tembezeni kipigo..
Halafu mtu kutoka Tanga anataka kuwa rais? πππππ.Nchi ya kifala sana.
Duuh π€£π€£π€£Jaribu uone kama hujashushwa shipa size ya tikiti maji kudadeki.
Wapewe tu ππWanasema walishakaa kikao wakapiga hesabu za gharama sioni sababu ya kuwacheleweshea mpunga wao.π
π€£π€£Kuna mkoa usio na imani hizo za kishirikina?!!!!Halafu mtu kutoka Tanga anataka kuwa rais? πππππ.
Rais wetu wamemudharau Sana,yaani inafikia hatua wachawi wanatoa masharti kwa Serikali?Sasa hawa wazee si wafanye tambiko barabara ipite juu ya miti yenyewe, wafanye tena tambiko lingine kijiji chao kiwe kama malaga Spain vile..
Hakuna ushirikina wa kuzuia maendeleo,Kama hawa wachawi kwa mgongo wa wazee.π€£π€£Kuna mkoa usio na imani hizo za kishirikina?!!!!
Nitajie na wanaotaka urais kutoka huko.....
Acha ujinga kwani machifu huwa hawana WAPIGA RAMLI NA WACHAWI ?!!!!Rais wetu wamemudharau Sana,yaani inafikia hatua wachawi wanatoa masharti kwa Serikali?
Tangu nizaliwe sijawahi sikia kokote duniani.
Kuwa na nguvu haifuti uhalisia kuwa matambiko ni Ibada kwa Mapepo ambayo kweli yapo.Sikuwahi aminisha mtu nyungu ni dawa ya corona mkuu.
Ndo jina tulilobatiza utamaduni wetu wa kuabudu kuita ushirikina, ila nakwambia yana nguvu kama huamini waambie hapo wajenge bila kutambika uone.
Kule Iringa "kulipochepushwa" umeme ni wilaya ya Tanga kule?!!!Hakuna ushirikina wa kuzuia maendeleo,Kama hawa wachawi kwa mgongo wa wazee.