Bado wew tunasubiri ushuhuda πππ si unasema mapenz ni utapeli ngoja wifi akushughilikieMapenzi ni utapeli hapo kawekwa kweny chupa
Kama mimi vile,nimegundua mke wangu kwanini ananipenda,kumbe ile kuwa aggressive kidogo ndio silaha yangu ya kufanya nipendwe...Raha ya MWANAUME awe mkali mkali buana
Huyu alipoa sana
Ila isiwe ya kuzidi.. ukali ukizidi mwishowe ni kupuuzwaKama mimi vile,nimegundua mke wangu kwanini ananipenda,kumbe ile kuwa aggressive kidogo ndio silaha yangu ya kufanya nipendwe...
Hapana mi ustadhi mwanamke swala tano hanaga mbambambaBado wew tunasubiri ushuhuda πππ si unasema mapenz ni utapeli ngoja wifi akushughilikie
No Bro , hii ni real , Na imetokea kwenye familia yetuUnatafuta attention na reactions za watu ili ujisikie vizuri wewe narcissist, au sio?
Kama mimi vile,nimegundua mke wangu kwanini ananipenda,kumbe ile kuwa aggressive kidogo ndio silaha yangu ya kufanya nipendwe...
Pwani hakunaga izo mambo na hawako obsessed na mambo ya Mali ..Hakuna kitu kama hicho daim huyo ni mshamba kwanza si unamuona ni mzee kabisaHawa wanawake wa pwani hasa wa dini fulani
Wanapenda sana kugawana mali
Kabisa sio mwanaume amepoa poa mwanaume awe na kaubabe sio kuosha osha vyombo kama mwali ππHakuna kitu raha kama mwanaume awe na upendo halafu misimamo na ukali
Skia,Pwani hakunaga izo mambo na hawako obsessed na mambo ya Mali ..Hakuna kitu kama hicho daim huyo ni mshamba kwanza si unamuona ni mzee kabisa
Sa inategemea bi mama alimpaga nini hadi akapoa hivyooKabisa sio mwanaume amepoa poa mwanaume awe na kaubabe sio kuosha osha vyombo kama mwali ππ