Tanga: Mwanaume anyanyaswa na mwanamke kwa miaka 7

Tanga: Mwanaume anyanyaswa na mwanamke kwa miaka 7

Huyo mwanaume alilishwa libwata. Ila hata kama ni libwata huyo mwanamke asingemtesa hivo huyo mwanaume khaaah?

Yaani adeki , aoshe vyombo, amfulie na aleee watoto na bado umnyime unyumba jamani?
 
View attachment 2524843

Mwanaume pichani anaomba msaada baada ya mateso makali aliyopitia kwenye ndoa yake ikiwemo kunyimwa unyumba kwa miaka saba mbali ya mapenzi makubwa aliyompatia mke wake ikiwemo kudeki nyumba, kumfulia nguo, kumfungulia maduka pamoja na kumnunulia gari.

Pia anadai yeye ndio aliyekuwa anawapeleka wanae klinik pindi walipokuwa wadogo.

Cha kushangaza mbali na mapenzi yote aliyomuonesha Anadai mkewe ameibuka mahakamani kuomba talaka na mahakama imeamua nyumba iuzwe wagawane mali bila kujali kwqmba nyumba hiyo ni mali ya watoto.

Bwana said anaomba msaada nyumba Ibaki isiuzwe kwakuwa watoto watakosa mahala pa kuishi.

Wakataa ndoa nawaona leo wanavyojishindia points

Ila jaman mwanaume wa kufanya yote hayo anakeraaa. Mwanaume usilegee sana kwa mwanamke... hadi kudeki??? Hapana. Wa hivyo anaboa.
Tanga line
 
Huyo mwanaume alilishwa libwata. Ila hata kama ni libwata huyo mwanamke asingemtesa hivo huyo mwanaume khaaah?

Yaani adeki , aoshe vyombo, amfulie na aleee watoto na bado umnyime unyumba jamani?
Na Bado naona alidaiwa talaka akaw hatoi Hadi mwanamke kudai mahakamani ni huzuni
 
Aibu hii kwenye ukoo wake na familia yake kwa ujumla...Halafu huyo mwanamke kwenye hali halisi tu kabla ya kumchukua vipimo ni tahira kabisa...Hivi alishikwa uchungu kweli wakati wa kujifungua huyo...

Wanawake mmekua na tamaa sana yani mnatapatapa kama mfamaji...Nguvu ya usawa ndani mnaitaka,Nguvu ya pesa ndani mnataka,Tamaa za mali zimewajaa tele,Roho za unyanyasaji zimejaa vifuani mwenu,Ukatili mnaongoza....

Wanawake sio viumbe sahihi hata kidogo kuwawekea dhamana kwenye suala lolote lile kwani kukubadilikia ni mdaa wowote ule..
 
Bwana Saidi mkazi wa Jijini Tanga anaelezea alivyonyanyasika na mkewe ambaye kwa sasa amemuacha na kuivunja ndoa yao kwa Kadhi. Huku bado manyanyaso hayo yakiendelea baada ya mkewe kutaka nyumba waliokuwa wakiishi iuzwe wagawane mali.

Majirani wamesema mwanaume huyo alikuwa akimpenda mkewe hadi kufikia hatua ya kumfulia nguo zake, kupiga deki, kuchota maji, kupeleka watoto kliniki, kumfungulia maduka manne sambamba na kumpa gari lakini haikuwa dawa kwake hatimaye ameamua kumwacha.

Mwanaume huyo anaomba msaada asaidiwe.

View attachment 2524869

------
Mwanaume pichani anaomba msaada baada ya mateso makali aliyopitia kwenye ndoa yake ikiwemo kunyimwa unyumba kwa miaka saba mbali ya mapenzi makubwa aliyompatia mke wake ikiwemo kudeki nyumba, kumfulia nguo, kumfungulia maduka pamoja na kumnunulia gari.

Pia anadai yeye ndio aliyekuwa anawapeleka wanae klinik pindi walipokuwa wadogo.

Cha kushangaza mbali na mapenzi yote aliyomuonesha Anadai mkewe ameibuka mahakamani kuomba talaka na mahakama imeamua nyumba iuzwe wagawane mali bila kujali kwqmba nyumba hiyo ni mali ya watoto.

Bwana said anaomba msaada nyumba Ibaki isiuzwe kwakuwa watoto watakosa mahala pa kuishi.

Wakataa ndoa nawaona leo wanavyojishindia points

Ila jaman mwanaume wa kufanya yote hayo anakeraaa. Mwanaume usilegee sana kwa mwanamke... hadi kudeki??? Hapana. Wa hivyo anaboa.

Huyu jamaa ameudhalilisha uanaume wake for 7 fukin years? Unafikiri mwanamke atakuheshimu?
 
Back
Top Bottom