Yaani Dubai waje kuendeleza bandari Tanzania??
Huu ni ulemavu wa aina Gani lakini??
Hawa wasomi wanaomaliza vyuo kila siku wanafanya nini na elimu zao??
Mbona huko ulaya hawatuiti tukaendeleze za kwao??
katika hilo tunazembea sana ...Kwa vile ni taasisi za serikali mtu anajua hawezi kufukuzwa kazi kabisa.Tatizo ni usimamizi na mfumo mbovu wa ajira. Ilitakiwa kuwe na usimamizi madhubuti pamoja na wepesi wa kuwatimua wazembe na wasio na tija katika ofisi za serikali bila mlolongo mrefu wa taratibu.
Upuuzi kama huu mnatoa mifano nje... Mkiambiwa huko nje bei ya mafuta, vocha na vyakula mnasema tuacheni na Tanzania yetuAcheni ujima nyie,huko ulaya kwenyewe bandari zinaendeshwa na wawekezaji na sio serikali,hao DP world wanaendesha bandari nyingi tu ulaya yan mje kulalamika kwa iko kibandari chenu uchwara,ngojeni waje hao DP muone kama kuna meli itakaa bandarini siku 3 au wiki kule out anchor kusubiri kuingia bandarini,hao meli ndani masaa tu ishadischarge na kuondoka na nyingine inaingia,acheni upuuzi na ujuha
Hata accacia wanamiliki migodi mingi duniani ila wapo Tanzania jiulize wameisaidia nini nchiView attachment 2646897
DP world wanaendesha port ya london ni kampuni kubwa ambayo ipo nchi nyingi tu za ulaya binafsi ninavyoijua hiyo kampuni ni neema sana kuja Tanzania
Si Kweli Bandari nyingi anaendesha DP world kwenye Hizo Nchi.Kama kila mahali pakishindwa kuendeshwa wanapewa wageni tutafanyika watumwa katika nchi yetu. Wajerumani na Waingereza wanaendesha bandari zao wenyewe.
Samia anauza nchi wajinga wanafurahia,Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.
Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili
Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.
Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia
Kwa kuibia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.
---
Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.
This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.
The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.
He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.
Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.
“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.
It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.
Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.
Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.
On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.
The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.
“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.
“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”
This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.
The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.
The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.
Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.
He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.
“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.
“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”
Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.
He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.
“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.
Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.
It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.
Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.
This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.
Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.
DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.
The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.
Source: The Citizen
Ikibinafsiswah kwani ushuru ndo utapimgua hujui kuww kodi ni swala la TRAWacha waje waendeshe wenye hakili timamu
Siyo wake washenzi una nunua gari ya mil 100 af eti ushuru mil 150
Huu SI uchizi huu Bora ibinafsishwe
Hao wanajulikana ni kikundi fulani cha kudandia matukio na kuyafanya ajenda mbaya baada ya muda ccm huleta mpya!CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.
[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.
[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?
[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.
[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.
Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?
Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.
DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.
[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%
[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.
[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.
[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.
[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.
[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Safari ya kwenda Uingereza na Marekani uliyoipigia debe humu JF kwamba tukimchagua GWAJIMA tutaenda imefikia wapi??maana ulikuwa na mihemko humu lakini mwaka wa Tatu huu kimyaaaa!!!hakika akili zako Bwana JUMA JUMA zipo makalioniCHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.
[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.
[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?
[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.
[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.
Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?
Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.
DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.
[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%
[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.
[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.
[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.
[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.
[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Yani kwa hiki ulichoandika ndio wapewe kwa 100yrs?CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.
✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe...