Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
Watu wanashindwa kuelewa hili hizi n returns wanarudisha kwa nchi wanazochuma pesa,ukiona hivi ujue mnaibiwa zaidi
 
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545

wazee wa kula tunda kimasihara ndiyo wajipange
 
Tanzania nI nchi maskini inayohitaji misaada na mikopo ili kujiendesha . Sababu hizi hapa.
1. Idadi kubwa ya watanzania ni watoto hawajaweza kuingiza kipato. Kumbuka nguvu kazi ya tanzania ni watu milioni 25 kati ya watanzania milion 68.
2. Idadi ya walipa kodi walio sajiliwa na TRA ni watanzania milion 4
3. Katia idadi ya watu wanaoweza kufanya kazI tanzania 18-65 ambao wapo milion 25, idadi kubwa ya wanawake hawafanyi kazi kwa kudai sio jukumu lao. Pia kuna vijana jobles na wanafunzi wa vyuo.

Hitimisho . Ili tuondoke kwenye umaskini nilazima kila.mtu ajitambue
 
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
Ndio CCM walikua wanapitia humo humo
 
Alafu hizo pesa matumizi yake ndo utacheka,.
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
 
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
unaambiwa hadi matundu ya vyoo yanatoka Marekani! Ila viongozi wananunua ma vieite kibao yaani!
 
Tanzania tulikuwa tunapata hela za directly kuingia Serikalini wakati wa JK via MCC ila tulishaondolewa pale ndiko tulijenga Barabara,umeme nk

Baada ya hapo ni stori za uongo na ukweli via NGOs which has no significance Kwa Government.

Mwisho hiyo ni Trilioni 1 tuu ,Sasa Tanznaia inashindwaje ku cover hela ndogo kama hiyo?
"Has no significance"
Ni ela inayoingia kwenye mzunguko hapa nchini na ina cover ombwe la ukwasi kwa kiasi kikubwa sanaaa...kutoa trillion kwenye mzunguko lazma tofauti kubwa sana ionekane, na lazma serikali itumie akili kupunguza matumiz yasiyo ya lazma, kuongeza makusanyo na kuanzisha vyanzo vingine vya mapato, uchungu wa hili haukwepeki!
Serikali inakopa bank kias kikubwa, ikiwa ni pamoja na hizo hela za USAID ,WORLD BANK NA AFDB..elewa!
 
Back
Top Bottom