Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Mtasema yote,sasa kaanza na kuoza tumemsahau.***** zenu mbwanyie
Lakini kaacha Legacy ya nguvu! Vipi mama yako kaacha legacy gani mkuu nasikia alishaoza siku nyingi au amekuacha wewe ass mkubwa?
 
Hata Mimi hua nawaonea huruma sana vifaranga ni viumbe kama viumbe vingine bora wangetaifisha kuliko kuviua
 

Kwan ukishikwa na nyavu haramu huwa wanafanyaje!! Nachojua mm wameteketeza kwasababu n mzigo haramu!!
Ciyo tu anakwepa kodi ila inaweza kuingiza magonjwa nchini ya mifugo au ya binadamu

Ndyo maana kukawa na utaratibu wa kuingiza bidhaa
 
Sheria inataka viteketezwe,
Unapata faida gani baada ya kuviteketeza,
Ni vema ukamuadhibu mhusika kwa kukwepa kodi, vifaranga viende vikapimwe, kama ni vizima vifugwe, vitoe mayai yauzwe serikali ipate kodi
 
Kwan ukishikwa na nyavu haramu huwa wanafanyaje!! Nachojua mm wameteketeza kwasababu n mzigo haramu!!
Ciyo tu anakwepa kodi ila inaweza kuingiza magonjwa nchini ya mifugo au ya binadamu

Ndyo maana kukawa na utaratibu wa kuingiza bidhaa
Ukishikwa na biashara haramu ya kusafirisha binadamu pia nayo...............

Cha msingi na sekondari Sheria iangaliwe upya tu, hakuna namna!
 
Na ile nyama waliobeba wazee wa buku 5 ya kubrashia viatu pale buguruni kama kidhibiti iliteketezwa wapi!
 
Vifaranga vinasambaza magonjwa kwa haraka sana mkuu. Ungekuwa umefanya biashara ya kufuga kuku ungejua ukweli huo. Nafikiri unajua ugonjwa wa mafua ya ndege.
Inaeleweka hiyo, basi wangechunguza kwanza, tena wawapatie chanjo kisha vichukuliwe iwe mali ya serikali,na huyo mfanya biashara alipe fine kwa kosa la kufanya kazi bila barua. Simple like that!
Hiyo ni pesa kumbuka na ni uhai pia ata kama ni mnyama. Serikali wavichukue hata wawape raia wenye kipato cha chini, wapige kazi wajiendeleze kimaisha!
 
Kwan ukishikwa na nyavu haramu huwa wanafanyaje!! Nachojua mm wameteketeza kwasababu n mzigo haramu!!
Ciyo tu anakwepa kodi ila inaweza kuingiza magonjwa nchini ya mifugo au ya binadamu

Ndyo maana kukawa na utaratibu wa kuingiza bidhaa
Hata akili hutumika pia, sio kila sheria inamaana!
 
safi sana, it's payback time bitches
Payback tena, hivi una akili wewe?
Mfanyabiashara ni wenyu, vifaranga ni vyake, ashanunua ujue, hatorejeshewa hela na muuzaji!
So payback ya nini wakati mnawaumiza /mnaumizwa nyie raia wa Tz na serikali yenyu mnayoipenda... NB: πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
eat a dick..
 
eat a dick..
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
ukweli ni kwambatanzania ina upungufu mkubwa wa vifaranga kwa miaka miwili sasa.
 
Sheria haisemi hivyo waambie wabunge wako wakaibadirishe hiyo sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…