Mfumo kweli lakini kubadilisha huo mfumo lazima kuna mwanzilishi wa hilo Wazo la mabadiliko!Huu utaratibu haufutwi kwa jitihada za mtu bali kwa mfumo usiotegemea watu. Unaona sasa unaongelea mtu aliyekufa?
Thanks
Mfumo kweli lakini kubadilisha huo mfumo lazima kuna mwanzilishi wa hilo Wazo la mabadiliko!
Nakubaliana na mawazo ya Askofu Bagonza. Mabadiliko ninayumhusisha nayo mwendazake ni mabadiliko kwanza ndani ya ccm kutokuwa tegemezi wa wafanyabiashara kwa kuwa na vyanzo vyake vya mapato!! Kufanya hivyo kunaisadia serikali kutokuwekwa mifuko hivyo kupunguza rushwa kwenye chama na serikali!! Bila kukithibiti chama ni vigumu kubadilisha mifumo ya serikali kwa utaratibu uliopo!!Huyo mwendazake uliyemtaja ndiye alikuwa kizingiti #1 wa wazo la mabadiliko.
Waanzilishi wa mawazo ya mabadiliko? Utakuwa na umri gani duniani mkuu? Kwani hata hawa nao hujawasikia?
Askofu Bagonza: Tunahitaji Tanzania Mpya inayowezesha Raia wake kuishi kwa furaha na watu wasiokubaliana nao
Nakubaliana na mawazo ya Askofu Bagonza. Mabadiliko ninayumhusisha nayo mwendazake ni mabadiliko kwanza ndani ya ccm kutokuwa tegemezi wa wafanyabiashara kwa kuwa na vyanzo vyake vya mapato!! Kufanya hivyo kunaisadia serikali kutokuwekwa mifuko hivyo kupunguza rushwa kwenye chama na serikali!! Bila kukithibiti chama ni vigumu kubadilisha mifumo ya serikali kwa utaratibu uliopo!!
Kuwa mwendazake alikuwa mpinga mabadiliko #1 sina hakika; Mimi nadhani it was just a question of timing when to strike the iron! Ingawaje sikukubaliana na jinsi ya mambo mengine alivyokuwa anaexecute!
Sina pingamizi na mawazo yako. Mimi siamini kuwa mwendazake alikuwa anapinga kupatikana kwa katiba mpya bali alikuwa anataka kuwa strategic kutokana na upinzani ndani ya chama chake! Ingawa matamshi yake yalikuwa hivyo!Tambua mabadiliko ya msingi ni katika nchi.
Nchi ni vyote. Tanzania ina watu 60m+ si sahihi kwa awaye yote kufungamanisha CCM au Chadema na Tanzania mpya.
Kwamba mwendazake hakuwa kikwazo kwa Tanzania mpya? Labda wewe kama ni mgeni duniani.
Kumbuka Tanzania mpya = Mustakabala mpya = Katiba mpya
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Sina pingamizi na mawazo yako. Mimi siamini kuwa mwendazake alikuwa anapinga kupatikana kwa katiba mpya bali alikuwa anataka kuwa strategic kutokana na upinzani ndani ya chama chake!
Kwa jinsi nchi yetu na watu wake tulivyo kuwa unlike nchi nyingine, utashi wa vyama vikuu vya siasa ni muhimu ili katiba ya wananchi kupatikana kwa Amani!
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Africa tumelaaniwaMuhoozi Kainerugaba (Mtoto wa Rais Museveni) atangaza kustaafu Jeshi. Je, ni maandalizi ya kurithi kiti cha Urais?
Picha: Baba(Rais), Mtoto (Luteni Jenerali), Mama (Waziri wa Elimu) Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni nani? Muhoozi Kainerugaba ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda na mama Janet Museveni, ambaye ni waziri wa elimu na michezo tangu mwaka 2016. Ni mume wa Charlotte Nankunda Kutesa aliyemuoa...www.jamiiforums.com
Huu UZI unaingia hapa, kwenye huu UZI mwingine wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana, ngoja kesho nikipata muda mzuri tutajadali kwa kina namna au jinsi huu MFUMO unavyofanya kazi.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Hali ya maisha ni ngumuUmewaza Nini?
Kuna kesi aliwahi kuifanya au kuisimamia akashinda akiwa kama wakili?Mkuu ungeleta CV yake kwa ushaidi!
1. Form four Shaban Robert
2. Form six Mkwawa High School
3. Degree ya Sheria UDSM
4. Advocate wa High Court
Mwisho wa kufikiri kwakoHebu tusiwe brainwashed jamani! Kua Wakili sio lazima uwe unasimama kutetea watu mahakamani! Jaji Joseph Sinde Warioba unajua kama ni moja ya Wakili hatari?? Je ulishawahi sikia kasimama mahakamani kutetea mtu au watu?? Kuna wanasheria ni wataalam wa sheria za majini,mipaka au katiba na wengine criminal na wengine biashara,kila sehemu wapo! Elewa hilo
2. Sio kweliTusiwe na chuki hadi tupate maradhi ya mwili!
Ungesema Ridhiwan Kikwete hana Elimu yakuweza kushika hiyo nafasi,hapo ningekuona wa maana sana! Lakini sio kuja na ngonjera tu!
1. Nyerere mwanae Makongolo
2. Mwinyi mwanae Hussein
3. Mkapa mwanae ni Katibu wizara flani
4. Kikwete mwanae ni NW
5. Magufuli watoto wake Lucy alikua DAS Morogoro sina uhakika kama bado yupo,Jesca alikua REA sina uhakika kama bado yupo
6. Samia sijui watoto wake wana posts gani,lakini ipo siku tutajua tu, stay tuned
Wewe mwenyewe una elimu. Mbona usipewe NW?Wewe ndiyo mwisho wakufikri kwako! Tuwe na aibu hata kidogo! Hivi kuna mzazi anayependa mtoto wake apate shida na wakati ana nafasi zakuweza kumsaidia?? Na bado mtoto ana Elimu yakuweza kushika hiyo nafasi??
Ninakupendaga sana kwa sabubu wewe huwa unakubali kusema ukweli kila wakati.Sihitaji siasa mkuu! Hiki kibarua kinanitosha kabisa kuweza hudumia familia yangu!
Nakupa notice za mwisho!
Fuatilia viongozi walio wengi,utakuta Baba zao au ndugu zao,walishawahi kua viongozi huko vipindi vya nyuma