Umeuona mkataba?Nakuunga mkono Mkuu Pascal Mayalla kuwa huu ndiyo mradi bomba, kuliko yote tuliowahi kuisaini, tokea nchi yetu ipate uhuru...........
Kwani mradi wa Trillion 70, siyo wa kitoto hata kidogo[emoji1]
I heard it right, ubepari!Kipindi Cha chairman Mao au Chiang Kai Shek China ilikua na uchumi Gani ndugu yangu, sembuse Japan was a power but China ilikua maskini kuna mpaka wakati watu zaidi ya million 20 walikufa kwa njaa.
Ukweli ni kuwa toka waache ujamaa na kuhamia ubepari (Yes you heard it right, ubepari) ndioo wawekezaji walimwagika na ndio hata private Chinese entrepreneurs wakapata capacity ya kwenda ku compete na west. Nimekueleza pia walikua Wana tap technology spillover kiasi kwamba reverse engineering iliwezesha waweze kutengeneza bidhaa zao kwa wingi na kuuza nje. Hata Leo hii viwanda vya assembly vingi vimejengwa china na Asia maana labor Iko chini so obviously ajira, branding, technology spillover, multiplier effect etc imekuza uchumi wa China, sasa unawezaje ondoa role ya FDI China hata kama itachangia 30% ya ukuaji wao?
Kujiandaa Is one thing execution is another ndio maana utakuta kuna nchi Zina potential ila hazisongi mbele sio kama hazina wasomi au Nia ila kuna component moja tu ikitick basi uchumi unapaa. So usiondoe role ya FDI China unless uje na data hapa za kwamba china ilikua Ina uchumi mkubwa before wawe open economy .
Itakuchukua muda gani kudungua kuwa mradi utekeezaji huenda ukaanza 2027 au zaidi ya hapo. Na hata probably 2030??Nina imani kuwa wazungu wamesaini mkataba huu huku wakiwa na 'pressure' kubwa ya kutaka kumkomoa Putin na kutaka kuiweka Afrika mikononi mwao dhidi ya mahasimu wao!
KWANINI, KWA MAZINGIRA HAYA, TUSIWE 'OPTIMISTIC' NA KUTARAJIA, HATIMAYE, KUFIKA NCHI YA MAZIWA NA ASALI? (SIO KULAMBISHWA TENA! [emoji28])
Kwenye madini tu miaka zaidi ya 50 Sasa, kaangalie tunachukua dola ngapiHapa tukubali Jiwe alituchelewesha sana. Hii signing ilipaswa kuwa imefanyika tangu 2015, lakini uzalendo uchwara ukaingizwa kuturudisha nyuma. Right now na hii vita ya Ukraine tungekuwa tunavuna dola.
Ni kweli tulijitoa na hata yeye jpm alikua haweki wazi mikatabaJPM alikataza mikataba isiwekwe wazi Wala kupeleka bungeni kwa kujitoa kwenye Open Governance Initiative kwa madai kwamba ni "Siri nyeti za serikali, ikiwekwa wazi itahujumiwa na mabeberu".
Ila kwakua waTanzania ndio hatujui kuhoji tukapiga makofi, sasa hiyo imeshaset precedence wote watafanya Siri!!
Nilikua nimekupa like, Ila baada ya kusoma hadi mwisho nikaitoa. SamahaniMbona TPDC wanao wataalamu na kuna interview ya DG wao akieleza shughuli za kuvumbua mafuta ambazo zimetumia wataalamu wa kiTanzania.
Tunakosa tu maybe vifaa na experience ila wataalamu mbona wapo wengi tu. Sema wengi wanakua poached na mataifa makubwa sababu ya maslahi makubwa kuliko Tanzania. Embu tuweni optimistic kidogo sio Kila kitu kulalamika tutafika lini?
Unapata kwenye nini? Hili swali ulipaswa kuuliza Sasa kwenye gesi tunayotumia kuzalisha umeme. Au unafikiri mradi wa gesi ni huo tu wa LNG huko Lindi?Sawa lakini unajua tunapata ngapi?
Ikiwa mkataba hujauona unasema una manufaa kwetu?It's true, japo bado sijauona huo mkataba or kujua contract details, the bone of contention was the location of LNG plant. Mwekezaji anataka mtambo ujengwe baharini, serikali yetu ikitaka ujengwe nchi kavu for monitoring and kuondoa possibility of siphoning.
Ukinisoma hapa utanielewa Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
P
Unaposema mtu amefaidika au kutofaidika na gas ya Mtwara, unamaanisha nini. Nini vigezo vya kufaidika au kutofaidika? Kama unamaanisha kugawiwa pesa mkononi, sijafaidika.Tuambie mapato yanayopatikana kwenye gas Mtwara umefaidika na nini mpaka sasa???
Mkuu una miss point hapaAcha hasira njoo na facts OGI ilisainiwa na JK ilikua inasubiri utekelezaji tu kuna Sheria kama TAIT Tanzania Extracive Industry Transparency Act yote hii ilitaka mikataba iwekwe wazi kwa wananchi yaani bungeni.
Hizi zote zilipingwa utekelezaji wake na JPM sasa unachobisha ni nini? Si huyu kabudi alisema bungeni kwamba zitto katumwa na mabeberu kisa kahoji mikataba ya madini waliongia ubia na Barrick??
NB: kama mnadai mikataba haikuwa wazi tokea JK sasa why mnataka iwe wazi kwa Samia!! Nyie watu wa JPM mna shida gani?? Kwanini hamkudai iwekwe wazi enzi za JPM wakati Sheria ilikwisha tungwa enzi za mwisho za Kikwete??
Nakubaliana na wewe kwenye ya juu hapo Ila kusema jpm aliweka precedence mbovu nakataa kwa kuwa hata kabla yake mikataba haikuwa wazi na pia mama samia ameonyesha kurekebisha makosa yaliyofanywa na jpm kwa nn sasa kwenye hili useme iliwekwa precedence mbovu?(japo sio kweli)Sasa JK si walisema ni fisadi ndio maana nahoji kwa huyo mzalendo, msafi, malaika, kwanini alitamka kujitoa OGI iliyolazimu disclosure of matters with public interests kama mikataba ya rasilimali n.k?? Mpaka mikataba ya Bombardier, Ndege za ATCL kukamatwa ikawa Siri, Makubaliano ya Serikali na Barrick yakawa Siri maana hatujui hiyo kampuni inaendeshwa kwa mkataba upi n.k
Sasa kituko wafuasi wa mzalendo wanamuita Mama fisadi (Of course CCM wote wezi) anauza nchi kisa mikataba ya gesi haijawekwa wazi. Sasa ndio najiuliza huu unafiki ni kwa faida ya nani? Aliyezuia utekelezaji wa TAIT ni nani? Aliyeitoa Tanzania OGI ni nani??
Ndio natoa taarifa sasa kwamba mama naye hawezi iweka wazi sababu hata mtangulizi wake hakuweka na ndio hapo nasema JPM aliweka precedence mbovu.
Mkuu bagamoyo, my biggest interest ni LNG plant inajengwa onshore or offshore?. Hapa inaonyesha ni LNG plant itajengwa onshore, ila kama nimesikia sasa ni offshore!.The project involves development and construction of an onshore LNG plant to process and liquify natural gas from significant offshore natural gas discoveries in Tanzania and to export liquified natural gas to international markets.
Pamoja na madhaifu ya MagufuliKwenye suala la uvunaji gas, ni kati ya makosa makubwa ya ajabu aliyoyafanya Magufuli. Leo hii Tanzania isingekuwa inafukuzana na vikodi vya kwenye Mpesa.
Mapato ambayo yangepatikana kwenye mradi wa gas, yakilinganishwa na dhahabu, yangekuwa sawa na kulinganisha bahari (gas) na tone (dhahabu) la maji.
Lakini Kivuruge aliharibu, wawekezaji wakaondoka, alipogundua kuwa ameharibu akaanza kuwasihi kwa siri warudi, wakagoma. Walipogoma akaanza kuongea uwongo eti gas ya Tanzania imeuzwa kwa wachina? Wajinga, bila hata ya kujiuliza imeuzwa kwa namna gani, wakamwamini.
Leo ni kama tunaanza upya,wakati tulikuwa tumekaribia hatua ya uzalishaji.
Hapo ndiyo unaona jinsi mtu mmoja anavyoweza kuleta madhara makubwa
Huenda hujaelewa chochote, kilichosainiwa ni HGA.Nilichopenda na realistic timeline! Miaka 7!
Ila, ingekuwa mtu fudenge ungesikia jukwaani mradi lazima ukamilike 2025! Ili azindue hata kama ni theluthi Tu iliyokamilika!
Mradi wa trillion 2, lakini hadi sasa ni miaka 9 bado haijarudi? Si ndio?Kuna sovereign wealth fund imefunguliwa so gesi ya Mtwara kwa inayouzwa mapato yataenda kwenye huo Mfuko ambao unainvest in multiple projects nje na ndani ya nchi.
Kingine gesi ya Mtwara Leo hii imesababisha 60% ya umeme wa Tanzania kutegemea gesi meaning ime double capacity ya umeme wetu at least kwa demand ya miaka 5 iliyopita.
So tusibeze tu Kila kitu faida zinakuja taratibu, Bomba lilicost Mabilion na uchimbaji matrillion so Mradi utajilipa after years kuweni wavumilivu huku mkichekelea umeme wa gesi hapo ulipo na ukipikia gesi maana ushasahau Kuni na mkaa!!!
Umeongea vitu vyepesi sana, sasa kwa Teknolojia ya Leo ulitegemea huduma bado ziwe Kama miaka 10 au 20 iliyopita? Au ulitegemea mishahara ipitie miezi mitatu bila kulipwa?Unaposema mtu amefaidika au kutofaidika na gas ya Mtwara, unamaanisha nini. Nini vigezo vya kufaidika au kutofaidika? Kama unamaanisha kugawiwa pesa mkononi, sijafaidika.
Kama unamaanisha wananchi kupata ajira, nina hakika wapo (japo siyo mimi), kama ni Serikali kupata kodi, nina hakika wanakusanya (japo sijui ni kiasi gani), kama ni wafanyakazi wa umma kulipwa mshahara, najua wanapokea mishahara kwa wakati, tofauti na miaka ya nyuma kabla ya uwekezaji wa makampuni mbalimbali ambapo mfanyakazi alikuwa anaweza kufanya kazi miezi mitatu bila ya kupata mshahara. Kama ni kuwepo kwa baadhi ya huduma za jamii, ingawa bado ni chache na za kiwango duni, lakini kumekuwa na unafuu kuliko hapo zamani.
Kama laiti tungekuwa na kiongpzi mwenye akili timamu wakati wa awamu ya 5, ambaye angewezesha uwekezaji wa dola billion 30 kujenga LNG utimie nchini Tanzania kama ilivyokuwa imepangwa, sasa hivi, na kwa namna kulivyo na uhaba wa gas Duniani, tungekuwa tunachekelea, hata mafuta tungeweza kuilazimisha Setikali itoe ruzuku kubwa zaidi ili bei ya mafuta isipande.
It’s beyond any sane individual kuelewa Barrick kupata 50% ya economic benefit baada ya kuchuma for decades.Mradi wa trillion 2, lakini hadi sasa ni miaka 9 bado haijarudi? Si ndio?
Trillion 70 itachukua miaka mingapi?
Hivi huelewi kwamba hata Marekani enzi za akina Washgton nchi ilikuwa ni maskini?Kipindi Cha chairman Mao au Chiang Kai Shek China ilikua na uchumi Gani ndugu yangu, sembuse Japan was a power but China ilikua maskini kuna mpaka wakati watu zaidi ya million 20 walikufa kwa njaa.