MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Mkuu Erythrocyte , asante kuni tag, nimetia timu, Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)Nakala imfikie Pascal Mayalla
fikilia mwalimu wa mathematics 1 shule nzima ya kata ,cheo hawezi pata kwa ukilaza wa watoto kwenye ilo somoEwaaaa! Ni walimu wangapi hawatapanda madaraja kama kigezo kitakuwa performance?
Tatizo wanaotegemewa kupandisha mishahara nawenyewe performance yao ni zero kabisa!Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.
Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.
Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.
Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.
Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Performance appraisal ni mtindo unaotumika hata hapa nchini kwenye mashirika/taasisi binafsi ambazo zinafanya kazi kimataifa kama migodini na kwingineko.Sijuwi mfumo wa Tanzania upoje. Hizo "performance appraisal" kwa Tanzania anazijaza nani?
Mfano nchi niliyokuwepo kuna "performance appraisal" lakini inajazwa na "Private inspecting consultants". (Factor) kigezo cha kwanza kabisa ni katika kila kazi kuna kitu kinaitwa "fundamentals "za hiyo kazi. Inspector ndicho kitu cha kwanza anatazama. Asiyefata "fundamentals" za hiyo kazi anarudishwa akaisomee tena hiyo kazi (akiwa kazini), Akirudishwa huko ni automatically "entry level pay" yake inashuka kwa nusu nzima, inakuwa ni ya mwanafunzi wa kazi.
The bottom line ni kwamba appraisal inafanyika hapa nchini.Mkuu Idugunde , appraisal haifanywi na ofisa utumishi, inafanywa na your line manager, kazi ya ofisa utumishi ni usimamizi na kuzituma.
Sijaingia kwenye hicho kifungu cha katiba kuhusu mishahara, ila kwenye hili la mishahara, niliwahi kutofautiana na Blaza wangu,Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote
kufunga macho kufungua!, aliweza!. Aliwezaje?!, sijui!.
P
Bongo serikalini si wana kitu kinaitwa OPRAS?Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.
Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.
Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.
Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.
Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Siasa mbovu, poor leadershipRais wa Tanzania (yeyote awaye) hana muda kabisa wa kuwa mzembe.
Mfano Nyerere, hakuwa mzembe kabisa lakini alishindwa kabisa kuuinua uchumi wa Tanzania kwa miaka 23 au zaidi aliyotawala, matokeo kang'atuka nchi ikiwa masikini hohehahe. Naamini tatizo kubwa ni watendaji na utendaji, Rais sio mtendaji, Rais ni facilitator. Kumbuka hilo.
Unyonge wa mwafrika!πππ
View attachment 2208177
mmmh bongo tunavyopenda connection, hapo hakuna atakae chapa kazi bali wataanza kutafuta connection tuSijuwi mfumo wa Tanzania upoje. Hizo "performance appraisal" kwa Tanzania anazijaza nani?
Mfano nchi niliyokuwepo kuna "performance appraisal" lakini inajazwa na "Private inspecting consultants". (Factor) kigezo cha kwanza kabisa ni katika kila kazi kuna kitu kinaitwa "fundamentals "za hiyo kazi. Inspector ndicho kitu cha kwanza anatazama. Asiyefata "fundamentals" za hiyo kazi anarudishwa akaisomee tena hiyo kazi (akiwa kazini), Akirudishwa huko ni automatically "entry level pay" yake inashuka kwa nusu nzima, inakuwa ni ya mwanafunzi wa kazi.
Maajabu! Hivi inakuwaje watu wanapinga hata mawazo chanya yanayoweza kuleta mabadiliko.Unamshauri nani?
Na ni kazi gani hizo ambazo uta monitor utendaji wa kila mtu?
Nikupe mfano Wizara ya mambo ya ndani inapandisha vyeo kwa mtindo hii miwili moja Elimu pili muda wako kazini haina mingine.
Mtu wa kidato cha nne asiye na fani yoyote anapata cheo kwa muda wa miaka mitatu hadi kumi anapata cheo. Kwa mwenye elimu ya zaidi ya form 4 au fani ni faida zaidi hii wizara performance ni nyumbani kwenu kwa maarabu huko
Rais alisema Tucta wawe wanakuja na tija ya wafanyakazi wao kama msingi wa hoja ya kudai maslahi yao vinginevyo hakuna salary increase.Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.
Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.
Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.
Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.
Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.