haswaaa, na hii picha hapa chini, kwa upande wa kulia ndipo lipo jengo la EXM sasa, halafu hii barabaramkuu hilo kanisa hili hapa chini
Now
Flickr 上 David Davies 的 Street corner in down town Dar es Salaam
leo hii kila mbunge na shangingi, au na ndege au helikopita, na hii ni juzi tu hapa 1984, UZALENDO, UMEKWENDA WAPI MMMMH JAMANI....
nimeona picha nyingi sana za wanafunzi wanpiga pamoja ka class, hvi siku hizi kuna tabia kama hii, au ndo zile tunaona tu wanapiga mabwenini wamekumbatiana au nusu uchi, good memory for alumniLindi Secondary School Mwaka 1968
View attachment 74278
Kweli tulikuwa mbali sana! hata Internet cafe zilikuweko siku hizo! ni mwaka gani vile? hapa ni Moshi? naona Mlima Kilimanjaro
View attachment 74479
Huyo kwenye duara mbona anataka kufanania Anna Abdalla?Bila shaka walikuwa ni Kidato cha pili
Nimeipenda sana hii thread sijui ilinipita wapi ..nzuri na imejaa kumbukumbu nzuri sana Nawapa Big up sana wote mlioleta Picha hata sisi wengine tumeweza kuona yaliyokuwepo miaka hiyo Tanzania ilikuwa safi Watu watulivu Mazingira tulivu na ya kuvutia Magari ye mwendo wa Kobe
Halafu watu wanasema hakunA maendeleoHakika tumetoka mbali najiona kama naota hivi! si unajuwa wengi wetu miaka ya 60 either hatukwepo au tulikuwa watoto wadogo.
Nimeipenda sana hii.
View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front
View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s
View attachment 74226
Salender Bridge 1960s
View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!
View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960
View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966
View attachment 74230
Dodoma City Center 1974
View attachment 74231
Bukoba City Center 1972
View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo
View attachment 74233
Korogwe Hotel
View attachment 74234
Same Hotel
View attachment 74235
Musoma 1960
View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo
View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975
View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966
Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Ngoja kwanza, ngoja ngoja ngoja.... kuna miaka hapa tunarushiwa ya uongo.
Ngoja kwanza, ngoja ngoja ngoja.... kuna miaka hapa tunarushiwa ya uongo.
Tanzania Elimu Supply sijui ilikuwepo toka lini lakini hii picha haiwezi kuwa ya mwaka 1947 kwa sababu magazeti ya Uhuru na Mzalendo yanayotangazwa kwenye kituo cha basi hapo hayakuwepo mwaka 1947! Uhuru limezinduliwa desemba 9, 1961, liki replace Sauti ya TANU, Mzalendo limeanza Aprili 30, 1972, sasa iweje picha ya mwaka 1947 ika advertise gazeti la 1972 na 1961?
Kwa hiyo, miaka mingine mingi hapa, labda yote, inawezekana tunadanganywa. I mean, this is one of the most powerful threads on record at JF lakini kuna kamba nyingi sana humu zimechanganywa.
Ngoja kwanza, ngoja ngoja ngoja.... kuna miaka hapa tunarushiwa ya uongo.
Tanzania Elimu Supply sijui ilikuwepo toka lini lakini hii picha haiwezi kuwa ya mwaka 1947 kwa sababu magazeti ya Uhuru na Mzalendo yanayotangazwa kwenye kituo cha basi hapo hayakuwepo mwaka 1947! Uhuru limezinduliwa desemba 9, 1961, liki replace Sauti ya TANU, Mzalendo limeanza Aprili 30, 1972, sasa iweje picha ya mwaka 1947 ika advertise gazeti la 1972 na 1961?
Kwa hiyo, miaka mingine mingi hapa, labda yote, inawezekana tunadanganywa. I mean, this is one of the most powerful threads on record at JF lakini kuna kamba nyingi sana humu zimechanganywa.
Hujasema "miaka 47".... umesema enzi hizo 1947. Tunavyosema? Tunavyosema wewe na nani? Umeandika fixi halafu unataka kuzuga na "tunavyosema miaka 47." Miaka 47 ya nini, ya Muungano?Tunavyosema Miaka 47 Maana yake ni miaka ya kitambo,Hakuna miaka iliyodanganywa hapo
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
View attachment 74479
Huyo kwenye duara mbona anataka kufanania Anna Abdalla? Bila shaka walikuwa ni Kidato cha pili
Inawezekana maana si unaona hao wengine ni Chadema?