GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Passport ni chanzo cha kipato. Kwa Serikali bunifu, ilipaswa kuwahamaisha raia wake kuwa na passport.Apewe passport ili iweje kwamba watoto wote wanasafiri?
Tumia akili
Kwa afya ya Kisaikolojia, anayeishi Mjini asikose kutembelea maeneo ya vijijini, na wa vijijini nao waende mijini.Ukizaliwa Tanganyika HAKUNA KUTOKA.
Hili ni gereza lililochangamka.
Dada yangu alinyimwa kijinga sana,pumbavu zaoUlishaenda omba PP wakakunyima?
Almanusura niseme "maskini...", lakini kwa sababu sikufahamu, acha nikae kimya.Sababu kubwa ni kuwa Tanzania bado haijaharibika kisiasa, kiuchumi na ubora wa maisha kila mwananchi. Nchini Tanzania hata mwananchi wa kipato cha chini anaweza miliki ardhi. Huko vijijini wananchi kibao wanamiliki ardhi kubwa zenye rutuba. Hali ya hewa ya Tanzania ni ya kipekee sana. Pia majanga ya kiasili sio mengi. Na idadi yetu ni kubwa kiasi kwamba mfanyabiashara smart hawezi kuhama hii nchi kutafuta soko kwingine. Kimsingi Tanzania ni sehemu salama kabisa kuishi.
Sababu nyingine isiyosemwa ni uwepo wa CCM kwenye kuongoza nchi. Uongozi imara wa kidemokrasia chini ya chama pendwa CCM unafanya wananchi wasitake kabisa kutoka nje ya nchi hii. Chini ya mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu tumeona jinsi watanzania waliokuwa nje ya nchi wakizidi kurudi nyumbani.
Kwa sababu ndivyo walivyojengwa na Viongozi wa kijamaa ili iwe rahisi kuwatawala. Hata baba wa Taifa, hayati Nyerere, aliwahi kukiri kuwa utawala wake ulichangia Watanzania wengi kuwa watu wa "ndiyo mzee"Watanzania wengi waoga,wanaogopa Changamoto za Maisha ya nje ya Tanzania.
Muongo. Wacha kupotosha wenzako.Kwa sababu ndivyo walivyojengwa na Viongozi wa kijamaa ili iwe rahisi kuwatawala. Hata baba wa Taifa, hayati Nyerere, aliwahi kukiri kuwa utawala wake ulichangia Watanzania wengi kuwa watu wa "ndiyo mzee"
Wabongo bwana!Mtu anapozaliwa anapaswa kupewa cheti cha kuzaliwa na passport.
Hii ni hoja ya msingi sana. Exposure ni muhimu na ndiyo mwanzo wa kutawala mazingira ya ulimwengu kama kusudio la Mungu kwa wanadamu.Ningependekeza kila anayemaliza form six (21) aende nje hata kwa miezi sita, mwaka mmoja kwa kudhaminiwa na serikali / vyuo.
Ingesaidia sana kuongeza exposure. Miaka 16 kila Mtanzania apewe passport, NIDA, kitambulisho cha kupiga kura.
Uingereza walijenga nchi Yao kwa kutoka na kwenda kuvuta utajiri wa nchi zingineWatanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Hawezi kukuelewaSio kweli
Nchi nyingi zenye machafuko ni kwa sababu mataifa makubwa wanataka kuvuna human capital ya nchi husika pamoja na rasilimali as unakuta watu wa nchi husika ni brain na nchi Yao pia rasilimaliNa nchi zinazoongoza ni zile zenye machafuko......
Middle east na ukanda wa Red sea, ndio zinaongoza hapo.
Unataka watanzania waondoke wanakimbia nini?
Sahihi, sio fahari watoto kushinda kwa jirani wanadoea chakula na kuzurura wakati nyumbani kwao pamefungwa muda wote.Watanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Hakukamilisha taratibuDada yangu alinyimwa kijinga sana,pumbavu zao
Wangekuwa brain wangepiganishwa na wao wakakubali kupigana?Nchi nyingi zenye machafuko ni kwa sababu mataifa makubwa wanataka kuvuna human capital ya nchi husika pamoja na rasilimali as unakuta watu wa nchi husika ni brain na nchi Yao pia rasilimali
Tz unaweza kuvuna rasilimali na kuondoka nazo bila shida ukisaidiwa na wao wenyewe Sasa uweke mgogoro wa Nini!?lakini human capital sio productive uitake ya Nini!?
Mimi nina mpango wa kutembelea nchi tu lakini sio kukaaWatanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Usiumize kichwa chako.World Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.
View attachment 2667693
Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.
Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.
Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Ni umasikini na ushamba wetu ndiyo unaotusumbuaWatanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Hii ni hoja ya msingi sana. Exposure ni muhimu na ndiyo mwanzo wa kutawala mazingira ya ulimwengu kama kusudio la Mungu kwa wanadamu.
Hata hivyo, fikra potofu za kisiasa, ubinafsi unatokana na ujinga wa watunga sera, zinasabisha urasimu usio wa lazima katika taratibu za kutoka na pia diaspora kurudi nchini.
Umasikini kwa ujumla (wa mali na fikra) kuanzia kwa wananchi, watendaji serikalini na hata viongozi ni changamoto.