Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

mungu wangu.... Hiyo silaha unataka kuuwa binadam yaan sisi au ndege na wanyama
 
Wakuu nimewasoma hii kitu bongo ni muhimu kuliko manati. Mtaani wananigwaya maana wanajua kitu ya moto iko ndani. Siku moja tukiwa baa tukaamriwa wote kulala chini kumbe jamaa walikuwa na SAR risasi mbili ndani mmoja walipiga walipotinga ndani ya pili pale mhudumu alipokaidi amri. Walipotakakupiga ya tatu kukock hamna kitu.

Ndipo kwa ujasiri nikawasha hewani mbili kwa mkupuo.walipiga timu hakuna mfano ka SAR kao wakakarushia counter. Niliibuka shujaa. Leo nikitinga pale npiga tungi bureeeee!!!
 
"I got a nine millimeter
Ready to go off any minute so you feel it
Because of the law, I had to conceal it
If you f**k around you gone make me reveal it ay"
 
bana hebu acheni kuzingua MJESHI halafu anaulizia habari za taratibu za kununua silaha?

Huyo hayuko siriasi anataka kuzingua kijiwe bwana na bahati mbaya hii siyo sehemu ya kujipaisha! Kwa bongo yetu ukishakuwa mjeshi unaheshimiwa hadi na vibaka ukitaka kuprove hilo jaribu kuvaa kombati halafu katiza anga zao heshima utadhani anayepita ni rais na kama ni wale jamaa wa kujitoa muhanga hao wakiamua kuja wanakuja tu hata ukiwa umepaki kifaru uani kwako na mbaya zaidi we unakuwa na moja wao wanakuja kama nane na kila mmoja anayoyake na anajua kuitumia!
 
Jamani hiyo Browning CZ 7.65 ni cha mtoto sana mbele ya Glock 19. Isitoshe basi CZ 7.65 inalingana size na Glock 19.

Nina uzoefu mkubwa na hiyo CZ (CZ83) na nimeshaamua kuacha nayo.

KIMEO NARUDIA TENA, GO FOR GLOCK 19 (3rd Generation au 4th Generation). 3rd Generation in a muda mrefu sokoni (worldwide) kuliko 4th generation ambayo iko sokoni kama miaka miwili hivi sasa.

Browning CZ 7.65 ukichukua, utakuja tamani utafute Glock baadaye.
 
Mzinga hawana Glocks, wale wana Brownings na Star za kichina.
 
Wakuu nimewasoma hii kitu bongo ni muhimu kuliko manati. Mtaani wananigwaya maana wanajua kitu ya moto iko ndani.Siku moja tukiwa baa tukaamriwa wote kulala chini kumbe jamaa walikuwa na SAR risasi mbili ndani mmoja walipiga walipotinga ndani ya pili pale mhudumu alipokaidi amri.Walipotakakupiga ya tatu kukock hamna kitu.Ndipo kwa ujasiri nikawasha hewani mbili kwa mkupuo.walipiga timu hakuna mfano ka SAR kao wakakarushia counter.Niliibuka shujaa.Leo nikitinga pale npiga tungi bureeeee!!!

Sikuwa na chotechote cha kuchangia lakini baada ya kuiona hii nimeipenda, hasa hapo kwenye kipengele cha kuchapa maji bure. Duh! Mkuu silaha imekunufaisha ile mbaya. Kwa hiyo mwisho vyupa vingapi au unagonga tani yako?
 
Hata ukiipata wauzaji wataituma kwenye agent aliyeteuliwa kuhifadhi silaha. Huwezi kuja nayo wewe kama wewe na hata ukikubaliwa lazima u-hand it over to pilot then ataikabidhi kwa bohari la silaha. Kwa hapa kwetu ni Tanganyika arms. Wataihifadhi mpaka hapo utakapokamilisha taratibu za kuimiliki.
Kuna vikao vya ulinzi na usalama vya kijiji hadi mkoa vitakavyokaa na kukupitisha ili umiliki silaha. Then Mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa atapeleka jina lako Wizarani then kama una bahati utapewa KIBALI thereafter unaenda Tanganyika Arms kuchukua msala wako.
Kwa wanaomiliki silaha ni kitu hatari sana! Huna uhuru hata kidogo. Ukiacha nyumbani lazima uwe na uhakika wa safety locker. Ukiwa nayo kwenye gari omba vibaka wasiipitie! Ukiiweka kiunoni omba watu wasiione na usiingie nayo bar! Usiwe na hasira za haraka! Yaani jamaa anatoka huko atokako kapanda ile mbaya afu anamshika your my wife makalio! Lazima uchomeo ka mguu ka kuku (Yule askari pale Moshi alikasirishwa akenda kuchukua SMG kwenye corola). Achilia mbali wale wenye mabinti ukute kapindwa kwenye ua wa pale home! Saa nyingine wale wenzetu wanakufata wanakwambia hawajajia kingine wanataka JEMBE na ukibisha wanakutoa roho. Si kitu muhimu sana kuwa nacho kwa kweli.

Ujumbe umesheheni ya muhimu na dimu wengi kukupata maana na tahadhari ya chombo hicho. Wenye kujua maana ya amani ya moyoni hawahangaikii na wanaishi kwa amni zaidi.

Nilishauriwa na vyombo vya dola pamoja na idara za serikali nchi fulani huko ughaibuni kununua kwa ajili ya kujilinda ambako ni za kumwaga na hakuna mizengwe ya upatikanaje wake kama ilivyo bongo. Unaenda duka la kununua silaha, na wauzaji wanakufanyia mipango yote ya kujaza form na kisha kukufikishia kunakohusika ili kupata kibali kwa vile kila mkazi halali huwa na full information kwenye system ya serikali. Siku chache si zaidi ya wiki unapata kibali chako na kupangiwa siku ya kwenda kwenye mazoezi ya mafunzo ya kutumia trigger hiyo pamoja na kujizoesha kulenga shabaha. Ni muda mfupi tu kisha unakabidhiwa trigger yako na kukabidhiwa masharti ya umiliki.

Niliwaomba radhi sana kwamba kwangu mimi sihitaji chombo hicho adimu kwani kwanza kitanikosesha raha muda wote, na pili mlinzi wangu ni Mungu pekee na jamii inayonizunguka. Na ukishafahamika una trigger vibaka usiku na mchana wanahangaika namna ya kukuingilia wainyakue na hivyo mwenyewe kujiweka katika mazingira magumu ya usalama wako.
 
Jamani hiyo Browning CZ 7.65 ni cha mtoto sana mbele ya Glock 19. Isitoshe basi CZ 7.65 inalingana size na Glock 19.

Nina uzoefu mkubwa na hiyo CZ (CZ83) na nimeshaamua kuacha nayo.

KIMEO NARUDIA TENA, GO FOR GLOCK 19 (3rd Generation au 4th Generation). 3rd Generation in a muda mrefu sokoni (worldwide) kuliko 4th generation ambayo iko sokoni kama miaka miwili hivi sasa.

Browning CZ 7.65 ukichukua, utakuja tamani utafute Glock baadaye.

Zungukeni kooote but a Berreta 9mm is the only gun I can trust!
 
Akdal Mini 03 is the best deterant with 6.35mm bullets you will always be with it cause it is friendly and lovable..it is has a lead Burrell so it does not turn red after hundred rounds. Find it from Turkey
 
Wajameni mimi naitamani ile ya kwenye "Tha man with the golden gun" au zile Smith & Wesson Colt A.38 na A.45 za Wille Gamba!.
 
Jamani hiyo Browning CZ 7.65 ni cha mtoto sana mbele ya Glock 19. Isitoshe basi CZ 7.65 inalingana size na Glock 19.

Nina uzoefu mkubwa na hiyo CZ (CZ83) na nimeshaamua kuacha nayo.

KIMEO NARUDIA TENA, GO FOR GLOCK 19 (3rd Generation au 4th Generation). 3rd Generation in a muda mrefu sokoni (worldwide) kuliko 4th generation ambayo iko sokoni kama miaka miwili hivi sasa.

Browning CZ 7.65 ukichukua, utakuja tamani utafute Glock baadaye.
Only one person I know knows weapons in this depth...meet me at john's corner
 
Katika silaha zote, aina ya bastola, Glock 19 ni bastola nzuri zaidi, hasa hii ya 4th generation. Glock 17 nayo ilikuwa ni nzuri lakini inapitwa ubora na glock 19. Kwa utendaji kazi, Glock 19 ni bunduki. Na ndiyo maana katika nchi za wenzetu hii bastola hairuhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi.

Kuthibitisha kwamba Glock 19 ni silaha nzuri, ndo maana hata askari wa UN wanatumia Glock 19. Bereta na Browning zina weakness moja, ukipiga sana, huwa zina pata moto na zinajam upesi.

Kwa upande wa bei ni sahihi, bereta na browning zinauzwa kirahisi na bei ya Glock 19 imechuchumaa, but it's value for money.

Feature nyingine nzuri kwa Glock 19 ni kwamba, Glock 19 ina expandable magazine yenye uwezo wa kubeba risasi 64 na hivyo kukufanya wewe mtumiaji uwe huru zaidi kubeba risasi unazotaka. Lakini pia risasi za 9mm ambazo Glock 19 inatumia zipo readily available hapa Tanzania. Glock 19 ni bunduki. Ni nzuri.
 
Katika silaha zote, aina ya bastola, Glock 19 ni bastola nzuri zaidi, hasa hii ya 4th generation. Glock 17 nayo ilikuwa ni nzuri lakini inapitwa ubora na glock 19. Kwa utendaji kazi, Glock 19 ni bunduki. Na ndiyo maana katika nchi za wenzetu hii bastola hairuhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi.

Kuthibitisha kwamba Glock 19 ni silaha nzuri, ndo maana hata askari wa UN wanatumia Glock 19. Bereta na Browning zina weakness moja, ukipiga sana, huwa zina pata moto na zinajam upesi.

Kwa upande wa bei ni sahihi, bereta na browning zinauzwa kirahisi na bei ya Glock 19 imechuchumaa, but it's value for money.

Feature nyingine nzuri kwa Glock 19 ni kwamba, Glock 19 ina expandable magazine yenye uwezo wa kubeba risasi 64 na hivyo kukufanya wewe mtumiaji uwe huru zaidi kubeba risasi unazotaka. Lakini pia risasi za 9mm ambazo Glock 19 inatumia zipo readily available hapa Tanzania. Glock 19 ni bunduki. Ni nzuri.
Mkuu tatizo kubwa la Glock hasa kwa watumiaje binafsi ni kwamba haina security lock hivyo inabidi uwe makini sana,vinginevyo inaweza kukutoa roho mwenyewe
 
Back
Top Bottom