Tatizo la kununua Umeme wa LUKU: Waziri Kalemani amsimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA wa TANESCO

Mimi naogopa hata kujaribu tena....sijui Kama hela zetu zitarudi jamani daah!
Tanesco..Tanesco.. Tanesco eeeeh!! Hela zetu tumezichuma kea uchungu na jasho!!
Msitudhulumu... tukinyanyua mikono JUU mtasibika... na binafsi sisamehe!!!
 
Naombeni sana, hao ndugu watatu wa TANESCO wanafamilia zinawategemea Hata kama wamekosea tuangalie pia upande wa pili
 
Kwa mtumishi asiye mzalendo au aliyekwamia mahalo fulani lazima nidhamu ziro,ila ni wachache na ni suala la muda tu,watajitambua na kazi itaendelea.
 
Hapa kuna kitu mh waziri anakijua haiwezekan awasimamishe siku 10 mama ingilia kati
Ndio maana kelele za waliokwamia mahalo fulani zinaendelea wengine hawana nia njema kisa ,malsahi yao yameguswa.
 
Wafanyakazi watatu wamesimamishwa kazi kwa kushindwa kutatua tatizo la LUKU na waziri mwenye dhamana. Waziri amemuagiza Mkurugenzi Mkuu kuutangazia umma kurejea kwa huduma ya LUKU saa 8 mchana leo
aaagh wapi saa 8 i,epita na LUKU still iko down....hii ngoma bado iko mbichi.....kumbukeni mwendazake hayupo yale mambo yetu kama kawa
 
Hao jamaa waliosimamishwa ndiyo wanajua ABC za mfumo wa LUKU .....duh siasa bhana ngoja tuone
 
ki ufupi utawala wa huyu maana ni wa hovyo sana !

toka nimeijua luku mimi sijawahi kupata sms kwamba huduma haipatikani kabisa ndio mara kwanza kwa Samia japo tulikua tunasumbuka na kupata token ila sio huduma kutopatikana kabisa.

yaani mi naona mama kama ana miaka 9 madarakani maana utawala wake umenichosha mapema.

ame_base kupangua aliyoafanya Magufuli kuliko kujali maslahi ya Nchi
 
Hahahahah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…