Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Wakati atm ni 1200 kutuma ni bure na kuchukua ndo unakatwa iyo.Biashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.
Sure mkuu unamwambia vumilia kesho nakuja Moshi ninakuja nayo. Binafsi hata mie makato tu hata sh kumi inaniuma kinouma Mana ikitoka kwa laki sio laki Tena.Nipo Arusha jamaa yangu Extrovert yupo Moshi ananidai laki tano. Nikimtumia nakatwa karibu 8000/- nae akienda kutoa anakatwa zaidi ya 10,000/-. Jumla ya Transaction costs ni zaidi ya 20,000/-....
Hii yako umetoa wapi?.Biashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.
Tafsiri yake ni kwamba, hela zitakuwa nyingi sana mtaani so msiogope. there is a positive thing in every negativ thingView attachment 1853406
View attachment 1853410
View attachment 1853411
View attachment 1853412
View attachment 1853415
KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye akaunti yako ya M-Pesa wakati wowote ukikamilisha usajili wako
• Hakikisha kama umesajiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#
• Unapotuma pesa, siku zote kumbuka kuhakikisha namba ya mpokeaji kuepuka usumbufu
• Unapofanya muamala kwa wakala utahitajika kuonyesha kitambu-lisho chako
• Baada ya ku swap namba yako ya Vodacom, unaweza kuanza kutumia M-Pesa baada ya masaa 48
• Kupata vigezo na masharti ya kutumia M-Pesa tembelea duka la Vodacom lililopo karibu nawe au www.vodacom.co.tz
• M-Pesa huonyesha salio kwenye SMS ya kila muamala BURE. Endapo utafanya muamala wa kuangalia salio, utatozwa gharama ya Tsh 60
• Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa na huduma ya LIPA KWA SIMU kupitia M-Pesa, utatozwa gharama za kawaida za kutuma pesa kwa wateja waliosajiliwa
• Ada za M-Pesa zilizoainishwa zimejumuisha ushuru wa serikali (Excise duty)
• PIN yako ya M-Pesa ni SIRI yako. Usimpatie mtu yeyote, hata kama ni wakala wa M-Pesa au mfanyakazi wa Vodacom
• Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga
Nilikuwa nawazoom tu wanavyopiga makofi na kushangilia eti nchi inafunguliwa, now wameanza tena nyimbo 😁!.Yani hii bajeti ipo toka enzi za magufuli?
Nyie nyumbu za mr dj vipi?
Si mlikuwa mnademka nae humu kwamba anaupiga mwingi? Na bado
Piga hesabu kwenye hizo jedwali gharama za kutuma+za kutolea kisha urudiHii yako umetoa wapi?.
CAG anatoa Audit report watu wamepiga pesa ndefu hawafikishwi popote mbele ya sheria. Wanadunda mtaani.Sasa tutajengaje nchi yetu kama hatutaki kuumia kidogo kea maendeleo yetu. Tukubaliane tu mambo mwisho yatakuwa sawa. Mbaya tune kusikia escrow,meremeta nk . Hamna jinsi tuswe wazalendo tu.
Wanyonge wengi wapo below 50k mkuu.huku juu ni wao ndo wengi so wamejirahisishiaWhy 50,000-99,000?
Yani hapa ni kiasi kipo katika hio range naenda kukichomoa fastaWanyonge wengi wapo below 50k mkuu.huku juu ni wao ndo wengi so wamejirahisishia
Punguza kuropoka. Hiyo ni kodi?Tulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
Watu wasiende kula Bata ulaya na dubei ama paris na kufanyiwa masaje na watt wakali Kama Hawa.VAT na PAYE vinaenda kupunguzwa next year Ili ku stimulate uchumi.
Uzuri wa kodi hizi mpya zinaenda maeneo specific yaani zinarudi kujenga madarasa zaidi ya 10,000 ,,vituo vya afya,miradi ya maji , barabara nk kwa hiyo sio pesa za kulipa salary.
Kama unabisha uliza wakandarasi na mafundi jinsi miradi ilivyofurika,safi Sana mama na Mwigulu kamatia hapo hapo.