Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Biashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.
Wakati atm ni 1200 kutuma ni bure na kuchukua ndo unakatwa iyo.

Jamaa wameshindwa hata kuwabana wabunge wao ndo vipato vyao viko juu bado wananyonga wa chini.

Kiukweli utakufa yaani makampuni ya simu yataanza kuisoma namba na voda wanavyotoaga kamisheni ndogo kwa mawakala.
Wanaua biashara wenyewe. Mbona Tina madini na mbuga za wanyama jaman.

Yaani hapa wenye makampuni ya mabasi wakiibukia hii biashara mtu anatumia ofisi ya Zakaria pale Tarime afu mtu anachukulia ofisi ya Zakaria ya hapa mza.

Yapige kimya kimya tu sema Tiss wasenge watawakamata
 
Nipo Arusha jamaa yangu Extrovert yupo Moshi ananidai laki tano. Nikimtumia nakatwa karibu 8000/- nae akienda kutoa anakatwa zaidi ya 10,000/-. Jumla ya Transaction costs ni zaidi ya 20,000/-....
Sure mkuu unamwambia vumilia kesho nakuja Moshi ninakuja nayo. Binafsi hata mie makato tu hata sh kumi inaniuma kinouma Mana ikitoka kwa laki sio laki Tena.
 
View attachment 1853406
View attachment 1853410
View attachment 1853411
View attachment 1853412
View attachment 1853415

KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye akaunti yako ya M-Pesa wakati wowote ukikamilisha usajili wako
• Hakikisha kama umesajiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#
• Unapotuma pesa, siku zote kumbuka kuhakikisha namba ya mpokeaji kuepuka usumbufu
• Unapofanya muamala kwa wakala utahitajika kuonyesha kitambu-lisho chako
• Baada ya ku swap namba yako ya Vodacom, unaweza kuanza kutumia M-Pesa baada ya masaa 48
• Kupata vigezo na masharti ya kutumia M-Pesa tembelea duka la Vodacom lililopo karibu nawe au www.vodacom.co.tz
• M-Pesa huonyesha salio kwenye SMS ya kila muamala BURE. Endapo utafanya muamala wa kuangalia salio, utatozwa gharama ya Tsh 60
• Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa na huduma ya LIPA KWA SIMU kupitia M-Pesa, utatozwa gharama za kawaida za kutuma pesa kwa wateja waliosajiliwa
• Ada za M-Pesa zilizoainishwa zimejumuisha ushuru wa serikali (Excise duty)
• PIN yako ya M-Pesa ni SIRI yako. Usimpatie mtu yeyote, hata kama ni wakala wa M-Pesa au mfanyakazi wa Vodacom
• Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga
Tafsiri yake ni kwamba, hela zitakuwa nyingi sana mtaani so msiogope. there is a positive thing in every negativ thing
 
Ila tutazoea na kuona kawaida

Wakiona tumekubali wanakuja kwenye mabenki

Tukikubali wanatulazimisha tutumie cashless hapo ndo watatubana hadi mapumbu
 
Mtumishi anakatwa Kodi akinunua bidhaa Zina Kodi k.v sukari ,mafuta akiweka kwa gari yake Yana Kodi afu akituma hela kwa mwanae aliyeko chuoni anakupa Tena kodi.yaani Kodi kila sehemu.

Ila kiukweli lazima hii biashara Ife ya miamala itabakia ile dharura yaani dharura kweli. Kama demu wako unamwambia panda hiace uje uchukue hela.

Unayo 20k ya kumpatia afu ya kutuma na kutokea jumla Bei gani. Hawa jamaa wao wanapewa mafuta 500lita bure kwa mwezi so hawana maumivu kabisa.

Hii Sera inakufa.

Yaani Kama maza home anasubiria mtu wa nyumbani akienda ndo anaenda nayo ama unamtumia anachukua kwa atm over
 
Yani hii bajeti ipo toka enzi za magufuli?
Nyie nyumbu za mr dj vipi?
Si mlikuwa mnademka nae humu kwamba anaupiga mwingi? Na bado
Nilikuwa nawazoom tu wanavyopiga makofi na kushangilia eti nchi inafunguliwa, now wameanza tena nyimbo 😁!.
 
Tulikubaliana kila mwezi kuuza
Nyumbu 10,
Tembo 10,
Nyati. 10,
Kiboko. 10,
Twiga. 10,
Nk
Zinaweza kufidia huo ujinga wa kodi za uzalendo ndani ya kodi.

Hao wanyama wamekuwa wengi sana hadi wanauwa watu mitaani.
Hakuna mtu huwa anawalisha,nizawadi toka kwa Mungu.

Tuna rasilimali nyingi sana zaweza kuleta mapato ya kodi.
 
Sasa tutajengaje nchi yetu kama hatutaki kuumia kidogo kea maendeleo yetu. Tukubaliane tu mambo mwisho yatakuwa sawa. Mbaya tune kusikia escrow,meremeta nk . Hamna jinsi tuswe wazalendo tu.
CAG anatoa Audit report watu wamepiga pesa ndefu hawafikishwi popote mbele ya sheria. Wanadunda mtaani.

Halafu mnataka mkamue kodi za wauza maandazi ndio ziwaletee maendeleo? Huu ni ujinga wa kiwango cha lami.

Wanasiasa wengi ni wapumbavu sana.
 
VAT na PAYE vinaenda kupunguzwa next year Ili ku stimulate uchumi.

Uzuri wa kodi hizi mpya zinaenda maeneo specific yaani zinarudi kujenga madarasa zaidi ya 10,000 ,,vituo vya afya,miradi ya maji , barabara nk kwa hiyo sio pesa za kulipa salary.

Kama unabisha uliza wakandarasi na mafundi jinsi miradi ilivyofurika,safi Sana mama na Mwigulu kamatia hapo hapo.
Watu wasiende kula Bata ulaya na dubei ama paris na kufanyiwa masaje na watt wakali Kama Hawa.
Afu eti wakukumbuke wewe so unadhani hapo nyuma kulikuwa hakuna sehemu nyingine ya Kodi ya kuyafanya hayo mambo.
Yaani mtu anaiba ama anafuja pesa yetu Ila anadunda mtaani tu.
20210711_222047.jpg
 
Back
Top Bottom