Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Ndio shida na tatizo kubwa sana la Ma CHADEMA huwa hoja ikiwazidi uwezo na kushindwa kujibu mnaanza kutukana matusi na lugha chafu kama wagonjwa. Jibu hoja na siyo kuropoka ujinga ujinga tu hapa.
Bablai sintopoteza muda wangu kubishana na ww,nafikiri ni mtu nmzima kabisa,we jiulize tu inakuhusu nn chadema wakiwa na mamilioni ya wanachama au wakiwa kumi inakuhusu nn?mbn kuna vitu serious vya kwenu wenye dhamana ya kuongoza hii nchi hamvitolei ufafanuzi,MF mwezi wa nane huu ndege iliyonunuliwa kwa kodi zetu imetelekezwa Malaysia nn kinaendelea?au rahisi wetu siku mbili izi yuko wap?
 
Mkuu siku hizi hawa watoto hadi wa kiume wanajiuza kwa mabasha..
When i say b*tches i don't mean only ladies cuz some of these nigg*z are b*tches too.
 
Umeielewa lakini hoja yangu au umekurupuka tu huko bar na kukimbilia jukwaani kuandika usichokijuwaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Nakunywa na Mkeo. Lisu kakushika pabaya. Michango achangiwe yeye wewe unakaa kuhesabu na kuumia Tuliza makasiriko na Chuki Chawa. Wacha "Wafu wazike wafu wao".
 
ila wewe mndali sijui mmalila itakuwa viongoz wa cdm wamewah kukutoa marinda, mbona unawachukia bila sababu
Mimi siwachukii bali nimeweka hoja ya kimahesabu ,kwa hiyo anayetaka kukosoa hoja hiyo akosoe kihoja na kimahesabu au kitakwimu.
 
Nakunywa na Mkeo. Lisu kakushika pabaya. Michango achangiwe yeye wewe unakaa kuhesabu na kuumia Tuliza makasiriko na Chuki Chawa. Wacha "Wafu wazike wafu wao".
Mmeumbuka vibaya sana awamu hii.njia ya muongo ni fupi sana. Uongo wenu wa kupika takwimu umefika mwisho. Watanzania wamewapuuzeni kwa sasa. Wamegundua ninyi ni madalali wa kisiasa.
 
Nakukumbusha hao wanachama unaosema waliwahi kuwachangia Mbowe na Wabunge wengie waliofungwa na Meko takriban Tsh. Milioni 400 ndani ya siku 3 tu
Pesa zile zilichangwa na watu mbalimbali wakiwepo hata CCM wenyewe. Kwa kuwa watu waliona haina haja ya wabunge wake akina Mdee waende jera.watu walihitaji ushindani wa kisiasa uwepo .unakumbuka polepole kwa niaba ya CCM alitoa pesa kusaidia jambo lile? Au umesahau mara hii.
 
Mkuu siku hizi hawa watoto hadi wa kiume wanajiuza kwa mabasha..
When i say b*tches i don't mean only ladies cuz some of these nigg*z are b*tches too.
CHADEMA hoja ikishawazidi urefu wa akili zenu mnaanza ngonjera na mayowe. Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja
 
Naona umepaniki na kuchanganyikiwa mpaka unashindwa kujibu hoja kwa hoja na kuishia kukurupuka kivyako.
 
Naona umepaniki na kuchanganyikiwa mpaka unashindwa kujibu hoja kwa hoja na kuishia kukurupuka kivyako.
Tufanye we mkuu ndugu yangu bigwa wa hoja na una akili kubwa kipindi unasoma mwalimu mkuu mamaako kwaiyo we bonge genius umeshinda ww mkuu
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na nimewataka tubishane kwa hoja na siyo makelele yenu na mimatusi yenu.
Hizo siyo hoja zenye maana za kujadiliwa hapa JF! Ni hoja za kitoto zilizojaa umbeya wa kisiasa.
Kama siyo Umbeya,michango ya gari la Lissu inakuhusu nini na inakuwashia nini?
 
Takwimu ya wanachama unaipata kupitia waliomchangia Lisu?
Hii ndo dhihirisho la uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo sana!
Jambo la kuchangia ni hiari sio lazima wote wachangie! Kuhusu uteuzi wako sahau hilo! Kaombe uchangiwe na wanaccm wenzio ununue hata SAN-LG tuone hao walio wengi kama watakuchangia, zero kabisa wewe!
 

Attachments

  • IMG_8868.jpeg
    60.5 KB · Views: 1
Narudia tena, kura hutolewa bila kutoa hata Senti Moja, hivyo wingi wa wafuasi kipimo chake sio michango ya hiyari. Sasa unaposema umesema kweli sijui unamaanisha nini? Kuna watu kibao ninao wajua hawajamchangia Lisu, lakini ukifika uchaguzi watampa kura.
 
πŸ‘
 
Mkuu hivi unaweza kupima idadi ya wanachama wote wa chama chako kwa kuangalia mahudhurio na michango ya wanachama wenzio kwenye harusi au msiba wa mwanachama mwenzio???
 
Jazba limehama kutoka kuchangiwa michango ya kununua gari imehamia kwenye sensa ya wanachama wa CDM?Utapata tabu sana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hoja niliyoweka mezani ni ya kimahesabu na takwimu ,kwa hiyo kama unataka kujibu hoja basi weka hesabu mezani na siyo kupiga mayowe na Makele yako hapa kama mlevi wa gongo.
Mkuu hoja yako sio sahihi kwa sababu hizi tatu:

1. Wazo na mchakato wa kununua gari hilo sio la chama.

2. Wazo na ombi hilo hapo juu halijatoka kwa Lisu mwenyewe,

3. Unatumia influence ya mwanachama mmoja ndani ya chama chake, kuhitimisha jumla jumla kuwa huo ndio ukubwa wa chama cha siasa.

Mkuu hoja zako zote toka hili jambo la hiyari na upendo limeanza mpaka sasa zimejikita on wrong premises.

Kwa ufinyu wako wa kupima na kuchanganua jambo badala ya kuona kuwa huo ni ushawishi wa mwanachama mmoja ndani ya chama chake, wewe unachukilia ndio kipimo cha ukubwa wa chama!

Kama kweli wewe ni sehemu ya wachambuzi wa mambo wa chama chako basi kuna shida, wamepigwa!

Mkuu kisaidie chama chako kwa kusimamia ukweli na sio sifa. Penye kuhitaji sifa stahiki sifia kwa haki, penye shida kosoa kwa haki.
 
Jazba limehama kutoka kuchangiwa michango ya kununua gari imehamia kwenye sensa ya wanachama wa CDM?Utapata tabu sana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maana imeonyesha wazi kuwa CHADEMA ni wapika data na hawana wanachama hata million moja tu.fikiria tu kuwa hata ikiwa wanachadema laki moja wangeamua kutoa elfu moja moja tu maana yake ni kuwa CHADEMA mpaka sasa wangekuwa wamepata millioni mia moja. Lakini bado wanatoka jasho utafikiri wameanikwa juani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…