Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Hapo wa kulaumiwa ni nani?Maana yake wananchi hawana hela.Kwa nini hwana hela?Uchumi mbovu.Nani kasababisha uchumi mbovu?Serikali na chama chakavu.Andika insha ya maneno laki tatu kutetea hoja.
 
Hv huko kwenu CCM, hakuna cha maana cha kuongelea? CCM mpo tangu 1960+, sasa hv idadi ya watz ni 60+ milioni,Ila wanachama wenu hawavuki milioni 10!
Sio kila m Tanzania ni mwanachama wachama cha siasa! Fafanueni wizi huu kwanza, acha makelele
 

Attachments

Kwamba hujamsikia Lissu akiomba michango mpaka kutoa akaunti ya benki pamoja na namba za simu? Kwamba hujamsikia Lissu akisisitiza anaomba sana kuchangiwa ili apate gari kuweza kuendelea na harakati za kukijenga chama? Kwamba hujaona magroup mbalimbali ya CHADEMA yakihamasishana kuchanga?

Je kwa kauli yako unataka kusema kuwa kwa kuwa wazo la kumchangia gari Lissu halijatokea kwa Mbowe kwa hiyo mmesusa kumchangia Lissu?

Unaweza kuniambia kwenye Join the chain ilipatikana shilingi ngapi? Maana hiyo si ilitangazwa na chama?

Kwenye maporomoko ya Hanang mlipata shilingi ngapi? Maana nako si mliweka namba ya simu na picha ya Mbowe?
 
Hapo wa kulaumiwa ni nani?Maana yake wananchi hawana hela.Kwa nini hwana hela?Uchumi mbovu.Nani kasababisha uchumi mbovu?Serikali na chama chakavu.Andika insha ya maneno laki tatu kutetea hoja.
Nani kasema hawana hela? Umekwenda ukawauliza wakakwambia hawana hela? Au umeamua kuja kupiga porojo zako za ki CHADEMA za kudanganya data?
 
Hv huko kwenu CCM, hakuna cha maana cha kuongelea? CCM mpo tangu 1960+, sasa hv idadi ya watz ni 60+ milioni,Ila wanachama wenu hawavuki milioni 10!
Sio kila m Tanzania ni mwanachama wachama cha siasa! Fafanueni wizi huu kwanza, acha makelele
Acha kurukaruka kama maharage kwenye chungu. Jibu hoja je CHADEMA mna wanachama hai wangapi?
 
Nani kasema hawana hela? Umekwenda ukawauliza wakakwambia hawana hela? Au umeamua kuja kupiga porojo zako za ki CHADEMA za kudanganya data?
Wewe uliwauliza saa ngapi kwamba wana hela?Umeziona?Au unaanzisha nyuzi za..."Ndugu zangu blah blah & blahs CHADEMA fyeee"...?
 
Embu nijibu jibu fupi hapa je CHADEMA ina wanachama hai wangapi?
 
Nani kasema hawana hela? Umekwenda ukawauliza wakakwambia hawana hela? Au umeamua kuja kupiga porojo zako za ki CHADEMA za kudanganya data?
Alitaka kujua kuwa lingekuwa Tanko la chama ndani YA siku2 tayari lengo lingefikiwa

Kumbukizi, kulipa fine za mahakama, kipindi cha JPM michango total TZS milion 300 zilopatikana ndani YA siku moja Na hili ilikuwa Na Tanko la chama la kuwalipia viongozi Wa CDM
 
Ndiyo hitimisho lako kujua uchumi na kumiliki fedha kwa kila mwananchi?Inawezekana upo darasa la watoto wenye mahitaji maalumu.Si bure.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uchumi wa Taifa letu unakua vyema kabisa kwa kipimo cha aina yoyote ile cha kiuchumi. Iwe ni katika kipato na nguvu ya uchumi wa mtu mmoja mmoja mpaka Uchumi wa nchi. Ripoti mbalimbali zimethibitisha jambo hilo. Ongezeko la mapato ni ishara pia kuwa shughuli za. Kiuchumi zinaendelea kuongezeka na kufanya vizuri mitaaani. Angalia hata takwimu za TIC yaani kituo cha uwekezaji Tanzania pamoja na usajili wa biashara mpya unavyoongezeka.
 
Umeandika matakataka.Kidunia Tanzania ni ya ngapi kwa umasikini?
 
Asiposikia na hili basi kweli huyu atakua masaaburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…