Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatari snKazi unazosemea zinahitaji sera nzuri za kiuchumi zitakazowezesha mzunguko stahiki wa pesa nyambafu wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari snKazi unazosemea zinahitaji sera nzuri za kiuchumi zitakazowezesha mzunguko stahiki wa pesa nyambafu wewe.
Ila zina ukweli. CHADEMA inawanyonyoa mno wananchi wake.Piga spana piga spana........huyu fala ma mods ndio wanamlea lea na nyuxi zake za hovyo.
Dishi limeyumba na uteuzi HUPATIMimi nimeweka hoja kwa takwimu safi kabisa na hesabu rahisi sana ambazo ni rahisi kuelewa hata kama wewe ni mbumbumbu wa hesabu. Kwanini CHADEMA huwa mnadanganya watu? Hao mamilioni ya wafuasi wenu wapo wapi ikiwa mnashindwa kuchanga hata buku buki tu hapo mkiwa laki moja tu inapatikana millioni mia moja ndani ya muda mfupi.lakini hata million 30 tu mmeshindwa kufikisha lakini mwili mzima mmejaa jasho la kuomba michango kwa watu.
Kwani mia tano au buku ndio mnasubiri mtafute kwa muda gani?Umeambiwa mwisho wa mchango ni lini?
Jibu hoja acha kukimbia kimbia kama kuku.Dishi limeyumba na uteuzi HUPATI
Wewe inakuhusu nini hata wakichangia miaka 2? mpuuzi haswaKwani mia tano au buku ndio mnasubiri mtafute kwa muda gani?
Unamaanisha hamjaona umuhimu wa Lissu kuwa na gari la kufanyia kazi harakati za kukijenga chama? Una maanisha mmempuuza Lissu na kutoona umuhimu wa kumchangia? Kweli CHADEMA mmechanganyikiwa kabisaHivi michango ndio njia sahihi ya kujua idadi ya wafuasi!?
Je kama wanachama wengine hawakuona umuhimu wa kuchanga!?
Mbona hii ni poor reasoning kabisa!?
Hawa UWT wamezoea zile za kwenda kwa wahindi kuwatishia wanatoa pesaSasa ndio ufurahi vizuri
Kwani Lisu sahivi anazunguka na daladala?Unamaanisha hamjaona umuhimu wa Lissu kuwa na gari la kufanyia kazi harakati za kukijenga chama? Una maanisha mmempuuza Lissu na kutoona umuhimu wa kumchangia? Kweli CHADEMA mmechanganyikiwa kabisa
Mbona hata hiyo mia mbili imewashinda?Wewe inakuhusu nini hata wakichangia miaka 2? mpuuzi haswa
Hujamsikia analalamika kuwa hana gari na anatamani apate haraka gari mpya ? Mpeni hela acheni roho mbaya ninyi wababaishajiKwani Lisu sahivi anazunguka na daladala?
Nyie UWT ni lini mlichangia ndani ya siku 2? CDM wanataka haki, nyie huwa mnachangisha wakuu wa idara na taasisi pamoja na wafanyabiashara kwa nguvuMbona hata hiyo mia mbili imewashinda?
Wakati analalamika alikuwa kwenye daladala? shame on youHujamsikia analalamika kuwa hana gari na anatamani apate haraka gari mpya ? Mpeni hela acheni roho mbaya ninyi wababaishaji
Nahisi kichwani una matatizo ya kifikra jamaa.Unamaanisha hamjaona umuhimu wa Lissu kuwa na gari la kufanyia kazi harakati za kukijenga chama? Una maanisha mmempuuza Lissu na kutoona umuhimu wa kumchangia? Kweli CHADEMA mmechanganyikiwa kabisa
Anashindwa kutofautisha chama kinachoendeshwa na mfuko wa serikali 100% (CCM) na chama kinachojikongoja chenye (vyama vilivyobaki vya siasa ikiwemo CDM).Nyie UWT ni lini mlichangia ndani ya siku 2? CDM wanataka haki, nyie huwa mnachangisha wakuu wa idara na taasisi pamoja na wafanyabiashara kwa nguvu
Hata kuandika tu hujui. Kubuni hoja ndio nini?Kubuni hoja acheni kupiga mayowe yenu hapa. Si huwa mnasema mna wanachama wengi? Sasa mbona hawaonekani hao wanachama huko waliko? CHADEMA imepuuzwa na kususiwa na watanzania.
Toa mchango!Umeambiwa mwisho wa mchango ni lini?