mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Wangeigiza madrasa ingekuwa poa, kulingana na imani yao, huku kwingine sio sawa,Wangeigiza madrasa imefanya hivo tuone kama ingefaa si wao waisilam na wanaijua dini yao why wawafedheeshe wakristo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wachache watakuelewa mkuuAnother spinning story, kukicha tushazoea petrol 3300/Litre.
Hii ni mpya aiseee, kwahiyo huu ndio ukakasi wanao sema kumbe? vip wakati Masanja kujifanya wanawake kuimba nyimbo za kina Christina Shusho ? Basata kuna tatizoMamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu unaoitwa "Watasubiri Sana' baada ya kupata taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa wimbo na video hiyo inaleta ukakasi kwa waumini wa dini na dhehebu fulani.
Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.
Kwahiyo Wakristo msikitini au sehemu za kiislamu hawatakiwi kuzionyesha kwenye nyimbo zao hata kama kuna maudhui hayo? mimi nafikiri labda wangefanya jambo baya kwenye hilo kanisa ingekuwa tatizoWangeigiza madrasa ingekuwa poa, kulingana na imani yao, huku kwingine sio sawa,
sasa unataka kila dhambi afanye ! kila binadamu ajitahidi kwa uwezo wake, kwani ukisikia kiongozi wadini ndio unafikiri hana dhambi? wewe jitahidi kwa uwezo wako kufanya mema na kuacha dhambiNisamehewe!!!
But in short,imani uliyoitaja hapa msingi wake mkuu ni unafiki,nazini lakini nguruwe haramu,naiba ila kunywa pombe haramu,nasali lakini kutukana na kuita majina ya kuudhi asiyefanana na mimi siyo haramu.
Maisha ya milele wewe unaona vigori 72 ni wengi? mbona wachache hao ilitakiwa hata vigori 10000 angalau, wewe kinacho kuuma ni kuwa ukifika huko mbinguni kazi yako ni kuimba tu mpaka koo likukauke, sasa unaona wivu wengine kwenda kuenjoy life, kijana kupanga ni kuchaguaKituko kikuu ni cha kufikiri peponi kuna vigori 72 vya kugegeda.
Mudi alikuwa anapenda ngono sana, yani akaona awadanganye kabisa oooh mimi mtume wenu Mudi nimeambiwa na mnyazimungu tukifa basi kule peponi tutakuta mabikira 72 tutasugua sana mbususu, kwani hawa wa4 mnaowabandua tope huku earth hawawatoshi?
Duuh...! Sijui Diamond alikufanya nini wewe mama?. Maana sio kumdis kwa hivyo. Hebu weka wazi hapa kuna nini kati yako na huyu dogo?. Au ndio yale yale?
Tungewatangazia Fatwa.Wangefanya hivyo kwa imani yao wangelaaniwa na kuombewa hata kifo....
Mkuu lilikuwa wazo langu ndo mana nikatanguliza samahani ila pia nayaheshimu mawazo yako japo hukuweza kuniambia kwanini watu wanatofautisha dhambi.Uwezo wako wa ku reason ni mdogo sana, unahusisha matendo ya uisalam na misingi ya uislam, bahati nzuri hayo yote uloyataka kama
1. zinaa imekatazwa wazi na hujumu yake kwa alieona ni kupigwa mawe hadi kufa na asieona ni mijeledi 100,lipo katazo la moja kwa moja kua "usiikaribie zinaa" yani si kufanya tu hata vile vitakavyoshawishi
2. Kuhusu uizi, sheria inasema muizi akiiba mara ya kwanza anakatwa kinganya cha mkono wa kushoto nk.
Husu unafiki, katika uislam unasema wanafiki watakua tabaka la chini kabisa la moto, na kama unafahamu hadithi maarufu ya alama za unafiki ni tatu
A. Ukitoa ahadi hutekelezi
B. Ukiaminiwa unaleta uhaini mf umekopeshwa af usilipe
C. Ukizungumza huongea uongo
Yote haya ni mafundisho ya uislam, unapitaka kuujua uislam, usome uislam na sio wanaojiita waislam unaoshinda nao baa, ni sawa na leo nikitaka kujifunza ukiristo niende nikachukue Nabii Tito kama reference.
You have to learn principles not those given principles
Hata wewe yapo unayafanya mabaya japo unajidai ni mtu wa imani fulani, hata Diamomd binadamu sio Mungu yule, muhimu hajawai kusema kuwa zinaa sio dhambiHuyo diamond ndo anatia kinyaa kujifanya muislamu hanywi pombe ila anaimba zinaa
Aiseee hizi dini ni majanga kabisa alie zileta ametuwezaDharau kwa ukristo huku wote wakiwa ni Muslim..
Wangefanya hivyo kwa imani yao wangelaaniwa na kuombewa hata kifo....
Hii ndio tofaut ya saba mara sabini na jino kwa jino....
Dini Tumeletewa/Mungu hana dini..
Wala gharama za maisha hazichagui mwenye dini au mwenye Mungu[emoji3508]...
Turudi kwenye hoja za msingi kuhusu bei ya mafuta na mfumuko wa bei kwa kila kitu tusitolewe relini na haya mambo ya maigizo ya kizungu pita..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mamlaka inayoona youtube tu haioni uhalifu mwingine wa kimtandaoMamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA),
Sikiliza maudhui ya wimbo, Zuchu anapigiwa simu na anatoka kanisani kwenye mazoezi ya kwaya ili kwenda kudinywa/kuzini na Mondi kwani ndani ya wimbo hawaonyeshi kwamba ni wana ndoa!Mimi sijaona ukakasi 'wowote' kwenye video hii. Sana sana nimeona transformation 'kubwa sana' kuwa sasa kumbe hata ambao sio wakristo wanajua umuhimu wa kufuata maadili na misingi ya dini hasa kipindi cha uchumba!
So far, video 'iko poa saana' hasa ukichukulia kuwa imefanywa na watu ambao ni 'wachanga kiroho'.
Safari ya kiroho iko na ngazi zake. Kuna watoto wanaonyweshwa maziwa, kuna wanaopewa uji na kuna wazima wanaolishwa kande.
Sasa wale waliofikia steji ya kula kande wasiwazamishe wale wadogo ambao bado wanatambaa.
Kwa kusema haya, sioni sababu ya video ya 'mtasubiri sana' kufungiwa kwa grounds hizo zilizotumika.
Wale wanao ona ina ukakasi wasiitizame! (Wasikilize audio au watazame video nyingine ambazo hazina ukakasi).
Bwana wetu Yesu Kristo alisha sema, 'nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi'.
Msiwabebeshe mzigo mzito wasanii wetu na wakati Yesu mwenyewe alishasema kuwa mzigo huu utakuwa ni mwepesi kwa wale wote watakao mpokea na kufanyika kuwa wana wake!
Yaani sababu hiyo tu?Sababu yakufungiwa ni kutokana na maudhui ya kuudhi dhini ya dini ya kikristo,sehemu ambayo inamuonyesha Zuchu akiiacha kwaya na kukimbilia nje kuongea na simu kitu ambacho hakina uhalisia kwa madhehebu ya dini hiyo.
Hapa najiuliza tu hivi inakuaje Nabii Tito anaendelea kutamba mitaani,na hata clip za sheikh Mazinge zinatamba lakini hakuna tamko lolote la kulaani haya mambo,iweje tu kwa kipande cha wimbo wa domo kilete shida?
Nakufahamu wewe unaitwa Juma.Hii nchi ina viongozi vilaza sana,mi ni mkristo tena RC,nimejaribu kurudia ile sehemu sioni tatizo kabisaaaa halaf hata kama kuna tatizo sawa,mbona video inaonyesha Zuchu alitoka kanisani baada ya kwaya kumalizika
Wajue kua tumewastukia.Kama kiki zao hazikuumizi achana nazo
Sawa sawaWajue kua tumewastukia.